Utafiti wa hivi karibuni hapa hapa JF umethibitisha pasipo na shaka kuwa, wakati mwingine hata post za kijinga nazo hupata likes!Habari wakuu naona kila dalili kwa wanachadema asilia wameamua kumsusia chama mbowe baada ya kukaribisha mafisadi.Habari za kiintelijensia zikizonifikia hivi punde mda wowote kuanzia sasa myika atatangaza kujiuzulu ubunge na kujivua nyazifa zote ndan ya cdm na kumfata kafulila ili kuiendeleza vita dhidi ya ufisadi iliyozimwa na mbowe
Unataka awafuate akina pyu! pyu!. Lets wait and see.Hata Lisu nae atatimkia zake CCM, ni swala la muda tu.
acha upunguwani unabebwa na tetesi za wapuuzi eti anahamia kwa maccm, roho na akili hiyo hana na ndo kwanza mwenzako anakimbiza maccm huko Iringa kwa uchaguzi wa kesho kutwaAcha aende maana sioni tofauti ya kuwepo au kutokuwepo kwake kwenye chama!
Hata Magu atatimkia CCM maana sioni kama yuko CCMHata Lisu nae atatimkia zake CCM, ni swala la muda tu.
hii mijinga haijui hata dunia inaendaje inakurupuka na thread za hovyohovyo wakati mnyika anakimbiza mbaya huko iringaSio rahisi mnyika yuko iringa sasa hivi anapiga kampeni ya kufa mtu.
Fisadi mkuu kwa sasa ni yule anayetumia hela ya uma kinyume na sheria na taratibu zaidi akijenga kwaoHabari wakuu naona kila dalili kwa wanachadema asilia wameamua kumsusia chama mbowe baada ya kukaribisha mafisadi.Habari za kiintelijensia zikizonifikia hivi punde mda wowote kuanzia sasa myika atatangaza kujiuzulu ubunge na kujivua nyazifa zote ndan ya cdm na kumfata kafulila ili kuiendeleza vita dhidi ya ufisadi iliyozimwa na mbowe
vita ya ufisadi ipi, si mnasema magu ameokomesha ufisadi?? huo ufisadi uliofanywa lini na nani??. magu huyu si alisema hafukui makaburi?? wataenda kupambana na ufisadi UPI na wa nani?? . kweli?? wanakwenda Vitani kupambana na ufisadi waChato airport, au chato referal hospital, au ufisadi wa hostel za UDSM, au ununuzi was BombaddierHabari wakuu naona kila dalili kwa wanachadema asilia wameamua kumsusia chama mbowe baada ya kukaribisha mafisadi.Habari za kiintelijensia zikizonifikia hivi punde mda wowote kuanzia sasa myika atatangaza kujiuzulu ubunge na kujivua nyazifa zote ndan ya cdm na kumfata kafulila ili kuiendeleza vita dhidi ya ufisadi iliyozimwa na mbowe
Lumumba wanafiki sana kwa kweliHabari wakuu naona kila dalili kwa wanachadema asilia wameamua kumsusia chama mbowe baada ya kukaribisha mafisadi.Habari za kiintelijensia zikizonifikia hivi punde mda wowote kuanzia sasa myika atatangaza kujiuzulu ubunge na kujivua nyazifa zote ndan ya cdm na kumfata kafulila ili kuiendeleza vita dhidi ya ufisadi iliyozimwa na mbowe
InawezekanaHili jukwaa kwasasa limevamiwa na waganga wa kienyeji wapigao ramli,tunazidi kupoteza maana halisi ya jukwaa.
Habari wakuu naona kila dalili kwa wanachadema asilia wameamua kumsusia chama mbowe baada ya kukaribisha mafisadi.Habari za kiintelijensia zikizonifikia hivi punde mda wowote kuanzia sasa myika atatangaza kujiuzulu ubunge na kujivua nyazifa zote ndan ya cdm na kumfata kafulila ili kuiendeleza vita dhidi ya ufisadi iliyozimwa na mbowe
Daah CHADEMA ndio wanamamlaka ya kushtakiHabari wakuu naona kila dalili kwa wanachadema asilia wameamua kumsusia chama mbowe baada ya kukaribisha mafisadi.Habari za kiintelijensia zikizonifikia hivi punde mda wowote kuanzia sasa myika atatangaza kujiuzulu ubunge na kujivua nyazifa zote ndan ya cdm na kumfata kafulila ili kuiendeleza vita dhidi ya ufisadi iliyozimwa na mbowe