sheiza
JF-Expert Member
- Sep 29, 2010
- 7,640
- 11,680
Atapata sapoti ya maguMbona mafisadi wamejaa huko atawasemaje huko aendako walipojaa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atapata sapoti ya maguMbona mafisadi wamejaa huko atawasemaje huko aendako walipojaa?
Mkuu na wote walio ondoka mwanzoni tulizani ni lamri kumbendio yanatimia mkuuhahahahha..Hizi zako ni ramli.hazina ukweli
Na baba yao Dr.Slaa, sasa kwao ni njia nyeupe.Habari wakuu naona kila dalili kwa wanachadema asilia wameamua kumsusia chama mbowe baada ya kukaribisha mafisadi.Habari za kiintelijensia zikizonifikia hivi punde mda wowote kuanzia sasa myika atatangaza kujiuzulu ubunge na kujivua nyazifa zote ndan ya cdm na kumfata kafulila ili kuiendeleza vita dhidi ya ufisadi iliyozimwa na mbowe
kina nani?Mkuu na wote walio ondoka mwanzoni tulizani ni lamri kumbendio yanatimia mkuu
Kama padre Slaa ni jembe basi Magufuli ndio mpini wake.Mkuu bila shaka nawe umefurahishwa na hili jembe letu Dr Slaa kupewa nafasi ili asaidie kujenga Taifa letu.!
Wanasema "gari bovu huwezi lisukuma kwa kukaa ndani yake"Habari wakuu naona kila dalili kwa wanachadema asilia wameamua kumsusia chama mbowe baada ya kukaribisha mafisadi.Habari za kiintelijensia zikizonifikia hivi punde mda wowote kuanzia sasa myika atatangaza kujiuzulu ubunge na kujivua nyazifa zote ndan ya cdm na kumfata kafulila ili kuiendeleza vita dhidi ya ufisadi iliyozimwa na mbowe
Habari wakuu naona kila dalili kwa wanachadema asilia wameamua kumsusia chama mbowe baada ya kukaribisha mafisadi.Habari za kiintelijensia zikizonifikia hivi punde mda wowote kuanzia sasa myika atatangaza kujiuzulu ubunge na kujivua nyazifa zote ndan ya cdm na kumfata kafulila ili kuiendeleza vita dhidi ya ufisadi iliyozimwa na mbowe
Magu hawajui mafisadi walioko huko? Hawezi kuwashughulikia hadi Mnyika ahamie huko? Viwanda vinakuja!!!!!Atapata sapoti ya magu
acha upunguani wewe hakuna mwanachama aliyehama Chadema mwenye akili timamu wote zinafanana na za kwako,Kafulila utumbili ulimponza na hajawahi kuwa mwanachma wa chadema,kwani udikteta unaowaondoa wenzako huko ccm na ufisadi wa sisonje kujijengea uwanja,kununua ndege bila utaratibu na kuteua kiukanda hyo haitoshi kuwa ufisadi na upanya buku?Habari wakuu naona kila dalili kwa wanachadema asilia wameamua kumsusia chama mbowe baada ya kukaribisha mafisadi.Habari za kiintelijensia zikizonifikia hivi punde mda wowote kuanzia sasa myika atatangaza kujiuzulu ubunge na kujivua nyazifa zote ndan ya cdm na kumfata kafulila ili kuiendeleza vita dhidi ya ufisadi iliyozimwa na mbowe
Itapendeza zaidikuna tetesi kuwa lowasa atajiondoa CHADEMA na kujiunga na CHAUMA.
Vipi unasemaje hapo?
Watuache na sisi tupumuwe sasa. Kutesa kwa zamu.Itatoa nafasi ya sisi wengine kupata vyeo.
Mbona mkisikia tetesi wa lumumba wanakuja ufipa huwa mnashangilia??Jamii forum tumeanza kupoteza maana ya jukwaa hili, watu wanazusha tu taarifa ambazo hazina ukweli, this is terrible
Shida ni ushahidi mkuu. Walitajiwa tuu ila ushahidi ukawa uko chadema mkuuHivi vijana wa ccm wanajitoaga ufahamu? hivi huo ufisadi umazalishwa na chama gani? ni wapinzani wangapi tangia huyo mnayemsifia kupambana na ufisadi wamefikishwa mahakamani? Ni lini ccm waliwahi kukiri kuwa serikali yake inafanya ufisadi? mbona vijana wenzangu mnashindwa kutumia ufahamu wenu vizuri!!!!!! eti wakapambane na ufisadi nje ya chadema,kweli kujitoa ufahamu ni dhambi kubwa...mbona mmekuwa wanafiki sana, hatujaona waliosema pesa ya mboga wakichukuliwa hatua yoyote, wapo kwenye chama gani?
Anakaribishwa kama ni kweli,ni asset huyu.Dah,labda ndio maana alikuwa kimya sana,Kobe alikuwa anatunga sheria!Habari wakuu naona kila dalili kwa wanachadema asilia wameamua kumsusia chama mbowe baada ya kukaribisha mafisadi.Habari za kiintelijensia zikizonifikia hivi punde mda wowote kuanzia sasa myika atatangaza kujiuzulu ubunge na kujivua nyazifa zote ndan ya cdm na kumfata kafulila ili kuiendeleza vita dhidi ya ufisadi iliyozimwa na mbowe
Habari wakuu naona kila dalili kwa wanachadema asilia wameamua kumsusia chama mbowe baada ya kukaribisha mafisadi.Habari za kiintelijensia zikizonifikia hivi punde mda wowote kuanzia sasa myika atatangaza kujiuzulu ubunge na kujivua nyazifa zote ndan ya cdm na kumfata kafulila ili kuiendeleza vita dhidi ya ufisadi iliyozimwa na mbowe
mbowe ametaza ajenda ufisadi kuzungumzwa ndani ya chamaNdugu mwandishi mbowe anazimaje vita ya ufisadi? Kwani yy ni mahakama au ni serikali? Mahakama ya mafisadi si ipo? Nilitegemea hao mafisadi wangekuwa keko by now
Acha tu wakimbie kwa kweli maana walichokuwa wanakipigania kimenajisiwa.Habari wakuu naona kila dalili kwa wanachadema asilia wameamua kumsusia chama mbowe baada ya kukaribisha mafisadi.Habari za kiintelijensia zikizonifikia hivi punde mda wowote kuanzia sasa myika atatangaza kujiuzulu ubunge na kujivua nyazifa zote ndan ya cdm na kumfata kafulila ili kuiendeleza vita dhidi ya ufisadi iliyozimwa na mbowe
Anamfuata Kafulila wapi?.........kwenye uDC?Habari wakuu naona kila dalili kwa wanachadema asilia wameamua kumsusia chama mbowe baada ya kukaribisha mafisadi.Habari za kiintelijensia zikizonifikia hivi punde mda wowote kuanzia sasa myika atatangaza kujiuzulu ubunge na kujivua nyazifa zote ndan ya cdm na kumfata kafulila ili kuiendeleza vita dhidi ya ufisadi iliyozimwa na mbowe