Ntalukwilasa
JF-Expert Member
- Jun 24, 2017
- 979
- 1,256
Aondoke tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena ataenda sisiemu na ushahidi wake wa richmomd.Anakaribishwa kama ni kweli,ni asset huyu.Dah,labda ndio maana alikuwa kimya sana,Kobe alikuwa anatunga sheria!
Magufuli noma.
Hujui alichoiba Lowasa ? kamuulize Msingwa, Lema , Mbowe, na yule wazawa walomsmoke watakuambia kaiba nini.Acha ufala wewe mafisadi unao humo humo CCM Lowasa kaiba nini? Kwani Lowasa ndiyo alinunua kivuko kibovu ndege kujenga uwanja wa ndege chato kuuza nyumba za serikali na kula chenji ya rada chenji bunge la katiba kiwanda hewa kule Lindi
Sio rahisi mnyika yuko iringa sasa hivi anapiga kampeni ya kufa mtu.Habari wakuu naona kila dalili kwa wanachadema asilia wameamua kumsusia chama mbowe baada ya kukaribisha mafisadi.Habari za kiintelijensia zikizonifikia hivi punde mda wowote kuanzia sasa myika atatangaza kujiuzulu ubunge na kujivua nyazifa zote ndan ya cdm na kumfata kafulila ili kuiendeleza vita dhidi ya ufisadi iliyozimwa na mbowe
Uko sahihi. Limekuwa baraza la ramli.JF inageuka ya hovyo kwa Kuruhusu muda wote nyuzi za hovyo hizi! Kaanza Juzi ELizabon, Lowassa kakanusha, na sasa Mpuuzi mwingine huyu hata kuandika tu hajui. JF Chukueni heshima yenu.
Hope viongozi wanasikia.Jamii forum tumeanza kupoteza maana ya jukwaa hili, watu wanazusha tu taarifa ambazo hazina ukweli, this is terrible
Mkuu.. Unafikiri kwa kutumia nini?Acha ufala wewe mafisadi unao humo humo CCM Lowasa kaiba nini? Kwani Lowasa ndiyo alinunua kivuko kibovu ndege kujenga uwanja wa ndege chato kuuza nyumba za serikali na kula chenji ya rada chenji bunge la katiba kiwanda hewa kule Lindi
Afadhali aende tu, huwezi kuishi na kinyesi sebuleni....wakae tu na Lowasa wao.
Aiseee!! Kaazi kwelikweli.. Kumbe Fisi bado anasubiri kwamba ipo siku mikono ya binadamu itadkndoka nayeye apate kitoweo..Hii ni habari njema, waache nafasi na sisi tupate vyeo tuanze kula, wenzetu wameshavimbiwa.
Huko CCMee kuna vinyesi vingapiAfadhali aende tu, huwezi kuishi na kinyesi sebuleni....wakae tu na Lowasa wao.