Wabunge wapigwa darasa kuhusu nishati safi na salama ya kupikia. Kila mbunge kupewa mitungi 100 ya gesi

Wabunge wapigwa darasa kuhusu nishati safi na salama ya kupikia. Kila mbunge kupewa mitungi 100 ya gesi

Ndio Tanzania hii kama huijui tulia tu baba wizi kila kona hao Wabunge ukuwoana wameshupalia jambo ujue kuna hela yaani wanatia aibu sana hao watu wanakera mnoo..
 
Acha wafaidi mema ya mama Tanzania wenyewe ndio wenye inchi SISI tu wapangaji
 
Kwa serikali hii lolote linawezeka, haishangazi!.
Serikali hii ni zaidi ya dhaifu hali.
 
Waziri wa Nishati, Januari Makamba anatuhumiwa kuhonga wabunge wote milioni 10 kila mbunge pamoja na kuwapa rushwa ya majiko 300 ya gesi kwa kila mbunge kama shinikizo la kupitisha bajeti ya Wizara ya Nishati wiki wiki hii.

Rushwa hizo anadaiwa kuzitoa Waziri Makamba kwa mfumo wa semina za wabunge kama sehemu ya kuwaziba mdomo wasizungumzie madudu na ubadhirifu mkubwa unaoikabili wizara ya nishati na madudu mengine ikiwemo mgogoro wa umeme ulivyoharibu uchumi wa wananchi na kupanda kwa gharama za gesi.

Taarifa za ndani ni kuwa kwenye semina hizo za wabunge zimeanza wiki iliyopita na zinaendelea ambapo ametangaza kugawa majiko 100 kwa kila mbunge lakini ukweli uliopo anadaiwa kuwapa majiko 300 ambayo wabunge wenyewe wataamua kwenda kuyagawa kwa baadhi ya wananchi au kwenda kuyauza ili yasije yakawaletea mgogoro wa kisiasa majimboni mwao kwani idadi ya wananchi majimboni ni kubwa kulinganisha na majiko hayo ambayo wananchi wengi watakosa na kutengeneza fitna kubwa za kisiasa majimboni.

Rushwa hizi zinatolewa wazi mchana kweupe mbele ya kamera za waandishi wa habari lakini wabunge wengi wamejiuliza hivi TAKUKURU iko wapi kwanini isimuhoji Waziri Makamba kwamba fedha hizo anazohonga wabunge na majiko hayo anayogawa amezipata wapi, wengine wakaenda mbali zaidi kuhoji kwanini ayatoe majiko na semina mfululizo wiki hii ambayo ndio ratiba ya bajeti yake na kama huo ni mpango wa Serikali kwa nini haukutolewa siku zote usibiri bajeti.





Nchi inakoelekea utadhani tumelongwa.

Kumpata Rais kupitia Kile kitabu cha mwaka 1977 imetungarimu sana watanganyika.
Kuuliza Sio ujinga, Dr Bashiru yuko kwenye hili bunge au yuko likizo?

Au ameamua kurudi CUF aliko kulia na kuzaliwa huko?
 
Waziri wa Nishati, Januari Makamba anatuhumiwa kuhonga wabunge wote milioni 10 kila mbunge pamoja na kuwapa rushwa ya majiko 300 ya gesi kwa kila mbunge kama shinikizo la kupitisha bajeti ya Wizara ya Nishati wiki wiki hii.

Rushwa hizo anadaiwa kuzitoa Waziri Makamba kwa mfumo wa semina za wabunge kama sehemu ya kuwaziba mdomo wasizungumzie madudu na ubadhirifu mkubwa unaoikabili wizara ya nishati na madudu mengine ikiwemo mgogoro wa umeme ulivyoharibu uchumi wa wananchi na kupanda kwa gharama za gesi.

Taarifa za ndani ni kuwa kwenye semina hizo za wabunge zimeanza wiki iliyopita na zinaendelea ambapo ametangaza kugawa majiko 100 kwa kila mbunge lakini ukweli uliopo anadaiwa kuwapa majiko 300 ambayo wabunge wenyewe wataamua kwenda kuyagawa kwa baadhi ya wananchi au kwenda kuyauza ili yasije yakawaletea mgogoro wa kisiasa majimboni mwao kwani idadi ya wananchi majimboni ni kubwa kulinganisha na majiko hayo ambayo wananchi wengi watakosa na kutengeneza fitna kubwa za kisiasa majimboni.

Rushwa hizi zinatolewa wazi mchana kweupe mbele ya kamera za waandishi wa habari lakini wabunge wengi wamejiuliza hivi TAKUKURU iko wapi kwanini isimuhoji Waziri Makamba kwamba fedha hizo anazohonga wabunge na majiko hayo anayogawa amezipata wapi, wengine wakaenda mbali zaidi kuhoji kwanini ayatoe majiko na semina mfululizo wiki hii ambayo ndio ratiba ya bajeti yake na kama huo ni mpango wa Serikali kwa nini haukutolewa siku zote usibiri bajeti.




Halafu kuna vimburu wa ccm wakiwa na kandambili kwenye miguu iliyopasuka magwambara kama farasi watakao kuja hapa kusema ccm ina haki. Walizojigawia ni kodi zetu nyie vimburu!
 
Inawezekanaje?

✅Tuna wabunge wangapi kwa sasa X 10,000,000,is it possible?

✅Ama semina huwa zinalenga kundi fulani la wabunge?

✅Bila posho husika wabunge hawawezi kuhudhuria semina?

✅Posho husika ni kichocheo cha uelewa wa wabunge wetu?

✅Je ni utaratibu kwa kila wizara kutoa,Posho,Takrima ktk kipindi kama hiki?

✅Nini wajibu,Madaraka,Nguvu na Mamlaka ya bunge Katika kioindi cha bajeti?

✅Nini mantiki,Umuhimu wa semina kwa wabunge toka kwa wizara tarajiwa ktk kuwakirisha bajeti?

✅Posho zinazotolewa zipo kwenye bajeti iliopitishwa na bunge mwaka 2022/2023?



Mungu Mwenyezi atujalie kufumbuliwa macho na fahamu zetu
 
Stuka Hivi unatumia makalio kufikiri ama!?

Milioni 10 ni hongo kwa mbunge!? Hivyo ni vijihela tu vya kuendea sokoni kwao....Hivi unajua pesa wanoipata hawa wabunge lakini!?

Laiti ungejua fedha wanazopata usingeandika thread....ndio washoboke na hivyo vihela vya nyanya kwao!?....Nonsense!
Kha we unasemaje! wapewe tu hata kama ni peanut on their standards?! wengine uharo tu aisee
 
Waziri wa Nishati, Januari Makamba anatuhumiwa kuhonga wabunge wote milioni 10 kila mbunge pamoja na kuwapa rushwa ya majiko 300 ya gesi kwa kila mbunge kama shinikizo la kupitisha bajeti ya Wizara ya Nishati wiki wiki hii.

Rushwa hizo anadaiwa kuzitoa Waziri Makamba kwa mfumo wa semina za wabunge kama sehemu ya kuwaziba mdomo wasizungumzie madudu na ubadhirifu mkubwa unaoikabili wizara ya nishati na madudu mengine ikiwemo mgogoro wa umeme ulivyoharibu uchumi wa wananchi na kupanda kwa gharama za gesi.

Taarifa za ndani ni kuwa kwenye semina hizo za wabunge zimeanza wiki iliyopita na zinaendelea ambapo ametangaza kugawa majiko 100 kwa kila mbunge lakini ukweli uliopo anadaiwa kuwapa majiko 300 ambayo wabunge wenyewe wataamua kwenda kuyagawa kwa baadhi ya wananchi au kwenda kuyauza ili yasije yakawaletea mgogoro wa kisiasa majimboni mwao kwani idadi ya wananchi majimboni ni kubwa kulinganisha na majiko hayo ambayo wananchi wengi watakosa na kutengeneza fitna kubwa za kisiasa majimboni.

Rushwa hizi zinatolewa wazi mchana kweupe mbele ya kamera za waandishi wa habari lakini wabunge wengi wamejiuliza hivi TAKUKURU iko wapi kwanini isimuhoji Waziri Makamba kwamba fedha hizo anazohonga wabunge na majiko hayo anayogawa amezipata wapi, wengine wakaenda mbali zaidi kuhoji kwanini ayatoe majiko na semina mfululizo wiki hii ambayo ndio ratiba ya bajeti yake na kama huo ni mpango wa Serikali kwa nini haukutolewa siku zote usibiri bajeti.



Hao ndo aina ya wabunge alotuachia Mwendazake km legacy
 
Waziri wa Nishati, Januari Makamba anatuhumiwa kuhonga wabunge wote milioni 10 kila mbunge pamoja na kuwapa rushwa ya majiko 300 ya gesi kwa kila mbunge kama shinikizo la kupitisha bajeti ya Wizara ya Nishati wiki wiki hii.

Rushwa hizo anadaiwa kuzitoa Waziri Makamba kwa mfumo wa semina za wabunge kama sehemu ya kuwaziba mdomo wasizungumzie madudu na ubadhirifu mkubwa unaoikabili wizara ya nishati na madudu mengine ikiwemo mgogoro wa umeme ulivyoharibu uchumi wa wananchi na kupanda kwa gharama za gesi.

Taarifa za ndani ni kuwa kwenye semina hizo za wabunge zimeanza wiki iliyopita na zinaendelea ambapo ametangaza kugawa majiko 100 kwa kila mbunge lakini ukweli uliopo anadaiwa kuwapa majiko 300 ambayo wabunge wenyewe wataamua kwenda kuyagawa kwa baadhi ya wananchi au kwenda kuyauza ili yasije yakawaletea mgogoro wa kisiasa majimboni mwao kwani idadi ya wananchi majimboni ni kubwa kulinganisha na majiko hayo ambayo wananchi wengi watakosa na kutengeneza fitna kubwa za kisiasa majimboni.

Rushwa hizi zinatolewa wazi mchana kweupe mbele ya kamera za waandishi wa habari lakini wabunge wengi wamejiuliza hivi TAKUKURU iko wapi kwanini isimuhoji Waziri Makamba kwamba fedha hizo anazohonga wabunge na majiko hayo anayogawa amezipata wapi, wengine wakaenda mbali zaidi kuhoji kwanini ayatoe majiko na semina mfululizo wiki hii ambayo ndio ratiba ya bajeti yake na kama huo ni mpango wa Serikali kwa nini haukutolewa siku zote usibiri bajeti.




Kwa nini wahongwe? Kwani Bajeti ya Nishati Ina shida zipi Hadi kuwe na ulazima wa kuhongwa?
 
wabunge wengi wamejiuliza hivi TAKUKURU iko wapi kwanini isimuhoji Waziri Makamba kwamba fedha hizo anazohonga wabunge na majiko hayo anayogawa amezipata wapi,
Unaweza shangaa na TAKUKURU nao wamelambishwa, Hii nchi Mungu ndiye ataamua hatima yake baada ya ile ya March 17!
 
Sawa kiongozi tupe ushahidi tumtie nguvuni haraka!
ushahidi wa kwanza majiko ya gesi aliyogawa kwa Wabunge wote ikiwa bajeti yake ni wiki hii na Wizara ya Nishati imekuwa ikilalamikiwa tangu awe waziri mwingine endeeleni kuchunguza
 
Back
Top Bottom