Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushaidi?
Kuna Mtu angejimilikisha BAHARI ya HINDIHii Dunia ingekuwa tunaishi Milele sijui ingekuwaje!
Hapo kazungumziwa mbuzi na sio Mtu,kama kuna mtu anakula kwa kurefusha mkono zaidi tushughulike ñaye.Kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba zake
Waziri wa Nishati, Januari Makamba anatuhumiwa kuhonga wabunge wote milioni 10 kila mbunge pamoja na kuwapa rushwa ya majiko 300 ya gesi kwa kila mbunge kama shinikizo la kupitisha bajeti ya Wizara ya Nishati wiki wiki hii.
Rushwa hizo anadaiwa kuzitoa Waziri Makamba kwa mfumo wa semina za wabunge kama sehemu ya kuwaziba mdomo wasizungumzie madudu na ubadhirifu mkubwa unaoikabili wizara ya nishati na madudu mengine ikiwemo mgogoro wa umeme ulivyoharibu uchumi wa wananchi na kupanda kwa gharama za gesi.
Taarifa za ndani ni kuwa kwenye semina hizo za wabunge zimeanza wiki iliyopita na zinaendelea ambapo ametangaza kugawa majiko 100 kwa kila mbunge lakini ukweli uliopo anadaiwa kuwapa majiko 300 ambayo wabunge wenyewe wataamua kwenda kuyagawa kwa baadhi ya wananchi au kwenda kuyauza ili yasije yakawaletea mgogoro wa kisiasa majimboni mwao kwani idadi ya wananchi majimboni ni kubwa kulinganisha na majiko hayo ambayo wananchi wengi watakosa na kutengeneza fitna kubwa za kisiasa majimboni.
Rushwa hizi zinatolewa wazi mchana kweupe mbele ya kamera za waandishi wa habari lakini wabunge wengi wamejiuliza hivi TAKUKURU iko wapi kwanini isimuhoji Waziri Makamba kwamba fedha hizo anazohonga wabunge na majiko hayo anayogawa amezipata wapi, wengine wakaenda mbali zaidi kuhoji kwanini ayatoe majiko na semina mfululizo wiki hii ambayo ndio ratiba ya bajeti yake na kama huo ni mpango wa Serikali kwa nini haukutolewa siku zote usibiri bajeti.
Waziri wa Nishati, Januari Makamba anatuhumiwa kuhonga wabunge wote milioni 10 kila mbunge pamoja na kuwapa rushwa ya majiko 300 ya gesi kwa kila mbunge kama shinikizo la kupitisha bajeti ya Wizara ya Nishati wiki wiki hii.
Rushwa hizo anadaiwa kuzitoa Waziri Makamba kwa mfumo wa semina za wabunge kama sehemu ya kuwaziba mdomo wasizungumzie madudu na ubadhirifu mkubwa unaoikabili wizara ya nishati na madudu mengine ikiwemo mgogoro wa umeme ulivyoharibu uchumi wa wananchi na kupanda kwa gharama za gesi.
Taarifa za ndani ni kuwa kwenye semina hizo za wabunge zimeanza wiki iliyopita na zinaendelea ambapo ametangaza kugawa majiko 100 kwa kila mbunge lakini ukweli uliopo anadaiwa kuwapa majiko 300 ambayo wabunge wenyewe wataamua kwenda kuyagawa kwa baadhi ya wananchi au kwenda kuyauza ili yasije yakawaletea mgogoro wa kisiasa majimboni mwao kwani idadi ya wananchi majimboni ni kubwa kulinganisha na majiko hayo ambayo wananchi wengi watakosa na kutengeneza fitna kubwa za kisiasa majimboni.
Rushwa hizi zinatolewa wazi mchana kweupe mbele ya kamera za waandishi wa habari lakini wabunge wengi wamejiuliza hivi TAKUKURU iko wapi kwanini isimuhoji Waziri Makamba kwamba fedha hizo anazohonga wabunge na majiko hayo anayogawa amezipata wapi, wengine wakaenda mbali zaidi kuhoji kwanini ayatoe majiko na semina mfululizo wiki hii ambayo ndio ratiba ya bajeti yake na kama huo ni mpango wa Serikali kwa nini haukutolewa siku zote usibiri bajeti.
Kha we unasemaje! wapewe tu hata kama ni peanut on their standards?! wengine uharo tu aiseeStuka Hivi unatumia makalio kufikiri ama!?
Milioni 10 ni hongo kwa mbunge!? Hivyo ni vijihela tu vya kuendea sokoni kwao....Hivi unajua pesa wanoipata hawa wabunge lakini!?
Laiti ungejua fedha wanazopata usingeandika thread....ndio washoboke na hivyo vihela vya nyanya kwao!?....Nonsense!
Hao ndo aina ya wabunge alotuachia Mwendazake km legacyWaziri wa Nishati, Januari Makamba anatuhumiwa kuhonga wabunge wote milioni 10 kila mbunge pamoja na kuwapa rushwa ya majiko 300 ya gesi kwa kila mbunge kama shinikizo la kupitisha bajeti ya Wizara ya Nishati wiki wiki hii.
Rushwa hizo anadaiwa kuzitoa Waziri Makamba kwa mfumo wa semina za wabunge kama sehemu ya kuwaziba mdomo wasizungumzie madudu na ubadhirifu mkubwa unaoikabili wizara ya nishati na madudu mengine ikiwemo mgogoro wa umeme ulivyoharibu uchumi wa wananchi na kupanda kwa gharama za gesi.
Taarifa za ndani ni kuwa kwenye semina hizo za wabunge zimeanza wiki iliyopita na zinaendelea ambapo ametangaza kugawa majiko 100 kwa kila mbunge lakini ukweli uliopo anadaiwa kuwapa majiko 300 ambayo wabunge wenyewe wataamua kwenda kuyagawa kwa baadhi ya wananchi au kwenda kuyauza ili yasije yakawaletea mgogoro wa kisiasa majimboni mwao kwani idadi ya wananchi majimboni ni kubwa kulinganisha na majiko hayo ambayo wananchi wengi watakosa na kutengeneza fitna kubwa za kisiasa majimboni.
Rushwa hizi zinatolewa wazi mchana kweupe mbele ya kamera za waandishi wa habari lakini wabunge wengi wamejiuliza hivi TAKUKURU iko wapi kwanini isimuhoji Waziri Makamba kwamba fedha hizo anazohonga wabunge na majiko hayo anayogawa amezipata wapi, wengine wakaenda mbali zaidi kuhoji kwanini ayatoe majiko na semina mfululizo wiki hii ambayo ndio ratiba ya bajeti yake na kama huo ni mpango wa Serikali kwa nini haukutolewa siku zote usibiri bajeti.
Waziri wa Nishati, Januari Makamba anatuhumiwa kuhonga wabunge wote milioni 10 kila mbunge pamoja na kuwapa rushwa ya majiko 300 ya gesi kwa kila mbunge kama shinikizo la kupitisha bajeti ya Wizara ya Nishati wiki wiki hii.
Rushwa hizo anadaiwa kuzitoa Waziri Makamba kwa mfumo wa semina za wabunge kama sehemu ya kuwaziba mdomo wasizungumzie madudu na ubadhirifu mkubwa unaoikabili wizara ya nishati na madudu mengine ikiwemo mgogoro wa umeme ulivyoharibu uchumi wa wananchi na kupanda kwa gharama za gesi.
Taarifa za ndani ni kuwa kwenye semina hizo za wabunge zimeanza wiki iliyopita na zinaendelea ambapo ametangaza kugawa majiko 100 kwa kila mbunge lakini ukweli uliopo anadaiwa kuwapa majiko 300 ambayo wabunge wenyewe wataamua kwenda kuyagawa kwa baadhi ya wananchi au kwenda kuyauza ili yasije yakawaletea mgogoro wa kisiasa majimboni mwao kwani idadi ya wananchi majimboni ni kubwa kulinganisha na majiko hayo ambayo wananchi wengi watakosa na kutengeneza fitna kubwa za kisiasa majimboni.
Rushwa hizi zinatolewa wazi mchana kweupe mbele ya kamera za waandishi wa habari lakini wabunge wengi wamejiuliza hivi TAKUKURU iko wapi kwanini isimuhoji Waziri Makamba kwamba fedha hizo anazohonga wabunge na majiko hayo anayogawa amezipata wapi, wengine wakaenda mbali zaidi kuhoji kwanini ayatoe majiko na semina mfululizo wiki hii ambayo ndio ratiba ya bajeti yake na kama huo ni mpango wa Serikali kwa nini haukutolewa siku zote usibiri bajeti.
Sawa kiongozi tupe ushahidi tumtie nguvuni haraka!TAKUKURU mko wapiiii mkamateni haraka sana huyu January, hii si rushwa ya wazi wazii??
Akamatwe harakaa iwezekanavyoooo
Unaweza shangaa na TAKUKURU nao wamelambishwa, Hii nchi Mungu ndiye ataamua hatima yake baada ya ile ya March 17!wabunge wengi wamejiuliza hivi TAKUKURU iko wapi kwanini isimuhoji Waziri Makamba kwamba fedha hizo anazohonga wabunge na majiko hayo anayogawa amezipata wapi,
Rushwa kivipi?TAKUKURU mko wapiiii mkamateni haraka sana huyu January, hii si rushwa ya wazi wazii??
Akamatwe harakaa iwezekanavyoooo
ushahidi wa kwanza majiko ya gesi aliyogawa kwa Wabunge wote ikiwa bajeti yake ni wiki hii na Wizara ya Nishati imekuwa ikilalamikiwa tangu awe waziri mwingine endeeleni kuchunguzaSawa kiongozi tupe ushahidi tumtie nguvuni haraka!
Inaumiza kwa kweliiiiiWee...sio Kwa January hujui kua ndo last born wa mama hao
Ushahidi upii? Si huu uzi au hujasomaa??Sawa kiongozi tupe ushahidi tumtie nguvuni haraka!
Kugawa hela na mitungi kwa wabunge sio rushwaa?? au wee unaona nn??Rushwa kivipi?