Wabunge wataka Condester Sichwale aliyetolewa nje kisa mavazi aombwe radhi

Tulia mwenyewe ni kimeo tu
 
Kama dini yake inamruhusu kuvaa kiuchiuchi angeachwa tu, kwani kuna ajabu gani? Hiyo mbona kawaida sana kwa jamii nyingine/ ingawa serikali haina dini?
Huyu mbunge wangu naona sasa kazi imemshinda, watu wake wa jimbo tuna changamoto nyingi mfano maji vijiji vingi havina maji mradi wa maji kutoka ziwa victoria pale nyamtukuza haujakamilia sasa kageukia kuangalia akinadada wamevaa nini bungeni badala ya kusimamia hoja za msingi juu ya wananchi wake
 
Badala kujadili mambo muhimu ya kitaifa, watumishi wanaiba kwa kujilipa posho hadi 300m kwa wiki. Bunge la ccm linajadili mavazi, afu mtu anasema Magufuli (aliewaleta hawa bungeni) ni shujaa.
Ilikuwa ni lazima aondoke kwani alituhatibia Sana Nchi...
 
Mwendazake alijipambanua kama mzalendo, lakini kwa maoni yangu mimi naona hakuwa Mzalendo, ila alikuwa na ajenda yake ambayo alitaka kuipitisha kupitia neno la uzalendo.
Mungu akamuwahi na kupitisha "ajenda" ya kumuondoa....
 
Watu wavae vizuri. Mavazi ya heshima ni muhimu. Discipline inaanzia kwenye vitu vidogo sana. Huwezi beba jukumu la kuwakilisha watu zaidi ya laki tano afu unavaa skintight bungeni.
Discipline lazima iwepo asee.
Hivi unajua ulichoandika au unaongea kama hohehahe
 
Pia waombe radhi kwa kuacha covid-19 ikae bungeni tu😷
 
Libunge linaleta mambo yake ya dini kwenye chombo kisicho cha dini,
 
Vizee kama hivyo vikitoka nje ya vikao unavikuta vinalilia nyapu za hao hao wanaowaponda pumbavu kabisa
 
Kwani wametumwa na wananchi au Magufuli ndio aliwaingiza bungeni kwa kunajisi uchaguzi, ili wamuongezee muda wa kukaa madarakani?
... Mungu kampunguzia muda wa kukaa duniani! Na ijulikane maisha ni zaidi ya madaraka!
 
Kwani spika alimtoa nje kwa utashi wake au kwa mujibu wa kanuni za bunge.....?? Na hata aliyeomba muongozo aliomba kwa mujibu wa kanuni za bunge.....
... tatizo maamuzi yale yalikuwa more subjective (mwomba mwongozo na mtoa maamuzi) than objectivity. "Vazi la staha" ndio lipi? Kwa vipimo vipi? Mjinga yeyote mle aki-colude na Speaker mbunge yeyote anaweza kufukuzwa simply baadhi ya kanuni ni za kipumbavu.

Bora hata wangepiga kura kufikia maamuzi would be more representative kuliko mtu mmoja kuropoka na ikawa final!
 
Umemaliza mjadala,kama ni mwalimu,nina hakika darasa lako,wanapata A+ wote


Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
 
BADALA YA KUJADILI REPORT YA CAG,NA MAMBO MENGINE MUHIMU KWA TAIFA HILI BADO WANAJADILI MAMBO YA KUVAA NGUO
WABUNGE MULE WANAPENDA KUJADILI VI ISSUE VIDOGO VISIVYOKUWA NA MAANA
ISSUE MUHIMU HAWAJADILI

OVA
 
Acha udini.,usiingize udini katika mjadala huu.

Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
 
Acha udini,kwenye mjadala.Wapo wasio na ushungu wa buibui Hujawahi kuona picha za mama wa Yesu,Maria kavyaa ushungu,na na picha na sanamu hizo zipo makanisani na kwenye vitabu vya kanisani

Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…