Mzee
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 13,602
- 5,809
Hizi hoja walichangia Asubuhi au Jioni?
Kama ni jioni, mmhh! Maana huwa vikao wanakula kwanza mambo yao ya kuvuruga ubongo, wanafikiria Anticlockwise.
Hapo kuna hoja za kipuuzi.
1. Kupunguza umri wa Raisi.
2. Kipindi cha raisi kuwa kimoja cha 7yrs.
3. Mbunge kuwa na mgombea mwenza, huu ni upuuzi uliokithiri.
Kama ni jioni, mmhh! Maana huwa vikao wanakula kwanza mambo yao ya kuvuruga ubongo, wanafikiria Anticlockwise.
Hapo kuna hoja za kipuuzi.
1. Kupunguza umri wa Raisi.
2. Kipindi cha raisi kuwa kimoja cha 7yrs.
3. Mbunge kuwa na mgombea mwenza, huu ni upuuzi uliokithiri.