Wabunge wataka Umri wa kugombea Urais uwe 35; Zitto asema umri mkubwa ni ushamba

Wabunge wataka Umri wa kugombea Urais uwe 35; Zitto asema umri mkubwa ni ushamba

Kuna points tatu za kipuuzi kabisa ambazo kwa namna yoyote ile wananchi wazipinge.

1. Umri wa urais usiwe chini ya miaka 40. Cheo cha urais kimeharibika to the point kwamba kila mtu anaona anaweza kuwa rais. Tunahitaji mtu ambaye ameshakuwa tested. Kwa nchi kama yetu ambayo 'institutions' zake sio imara ni hatari sana kuweka rais-mtoto. Na mbaya zaidi Tanzania ina madini mengi, mafuta na gas. Mafioso wengata sana kupata rais-dogo ili wamplekeshe kama Kabila wa DRC.


2. Kipindi cha urais 7 yrs na kiwe kimoja. Mtu aliyetoa hii hoja anatakiwa apelekwe Keko! 7 yrs kama unakuwa na rais mwizi hakutakuwa na kitu kimabakia, na akijua kwamba hana nafasi ya pili atachukua hadi shuka!

3. Mbunge kuwa na mgombea mwenza. Another silly point. Mgombea wa ubunge awe ni mtu mmoja na asimame kwa miguu yake. Bunge la mbeleko ni kitanzi. Maana mgombea mwenza anawajibika kwa nani?

mimi pia naungana na wewe kuwa hayo hapo juu ni mawazo ya rofa kama yalivyo ya marofa wengine
 
Umri wa Urais unatakiwa uongeze hadi iwe miaka 45; Ubunge kweli uwe na kikomo na kusiwe na mbunge anayepita bila kupingwa lazima wote wagombee (viti maalum vifutwe of course)....
 
Maoni ya kipumbavu na kijuha na kama wabunge wa Chadema mmeshiriki maoni haya ya kuweka kipindi cha rais kiwe kimoja1 kwa miaka 7 basi mjue na nyie mmekuwa mafaalla pia na kama mnataka rais wa Zanzibar awe makamu wa rais basi na huo ni ufalllla.

Sijui MODS huwa wanatumia vigezo gani kutoa BAN, nasema sijui kwa kweli.
 
Umri wa Urais unatakiwa uongeze hadi iwe miaka 45; Ubunge kweli uwe na kikomo na kusiwe na mbunge anayepita bila kupingwa lazima wote wagombee (viti maalum vifutwe of course)....

Ahaaa naona unamtengenezea njia rafikiyo kipenzi al maarufu kama joka la mdimu, na unataka kuwaondoa washindani wake wa ukweli ahaaaaa. dunia ina mambo .
 
...miaka 7 alafu turambe garasha kama hili tulilonalo(mr dhaifu) kha!...MUNGU TUEPUSHIE MBALI...
 
haha ndio walichokuwa wamemtonya Zitto?mark wa words tayari paln ni mbaya na execution itakuwa mbovu sana.
Kwa nini watu wanarukwa na roho hivyo wakati CDM inapaa?Kuna sir kubwa sana ktk carpet la CCM kuna uovu mkubwa sana.God Bless kila kitu kita fail.
 
Hawa wabunge walikutana na Tume ya Katiba? Urais miaka 7 wizi mtupu. Mgombea mwenza kwenye ubunge wizi mtupu.

Vijana wengi waliopewa nafasi za kisiasa bado wanaonekana kutokomaa; kuwapa nafasi ya urais kunaweza kuwa na wizi mtupu.

Suala la kuboresha Muungano ni wizi mtupu. In fact, huu Muungano ukiondoka ndiyo tunaweza kuwa na system bora ya utawala. Ona wanavyojichanganya eti Makamu wa Rais atoke Zanzibar as if Rais ni lazima atoke Tanganyika.

Dual citizenship wizi mtupu. Kwa system tuliyonayo Wachina, Waoman, etc wengi watakuwa raia. Watu watakuja kujutia hapa.

Viongozi wa juu kuidhinishwa na bunge impossible unless tuhame kutoka kwenye presidential system to parliamentary system.

Kama majina matatu ya majaji yataidhinishwa na bunge kwenye uteuzi pia bunge litaidhinisha kumsimamisha kazi jaji mkuu?

Viti maalumu vya ubunge vinaweza kuwa na manufaa tuu kama vita-base on their original aim. Siku hizi unamkuta mwanamke ana degree tatu au alikuwa mkuu wa wilaya, au mbunge wa kuchaguliwa lakini sasa eti ni mbunge wa viti maalum. Hata aibu hana.

Suala la wizara kutambuliwa na Katiba ili ziwe chache, inaonyesha tuu jinsi tulivyo bad in governance. Kabisa tunashindwa kukubaliana nje ya katiba kuwa tuwe na wizara chache? Vitu vingine hata haviitaji kuwepo kwenye katiba.

Pendekezo la wabunge kuwa ubunge na udiwani uwe na kikomo ni unafiki tuu unawasumbua. Wenyewe hawawezi kulikubali hilo. Wameshindwa kujipunguzia posho ndiyo sembuse ubunge?

Just imagine hayo ni maoni yaliyotolewa na wabunge wanaotaka kuhodhi madaraka ya nchi. Wakipewa hayo madaraka itakuwaje?
 
msiniambie wametoa point pumba kama hizi.... raisi miaka saba? watu tunataka ipungue mpaka minne...?? mgombea mwenza wanataka kula hela zetu hawa?? raisi wa zanzibar awe makamu... huo ni ujiiiiinga.....
 
Maoni ya kipumbavu na kijuha na kama wabunge wa Chadema mmeshiriki maoni haya ya kuweka kipindi cha rais kiwe kimoja1 kwa miaka 7 basi mjue na nyie mmekuwa mafaalla pia na kama mnataka rais wa Zanzibar awe makamu wa rais basi na huo ni ufalllla.
kaka kumbe nawe umeona .... ila punguza jazba nyingine nipunguzie mie usipigwe ban
 
Maoni ya kipumbavu na kijuha na kama wabunge wa Chadema mmeshiriki maoni haya ya kuweka kipindi cha rais kiwe kimoja1 kwa miaka 7 basi mjue na nyie mmekuwa mafaalla pia na kama mnataka rais wa Zanzibar awe makamu wa rais basi na huo ni ufalllla.

usitukane watu. Nenda kwenye tume ya katiba katoe maoni yako pia.
 
Nimefurahi sana nilipoona hii hoja Dual citizenship ... Panahusika sana hapo... Hii kitu muhimu... Esp kwa diaspora..
 
maoni yamejaa ubinafsi si kwa maslahi ya taifa,ndio maana tunapinga wabunge kuwemo kwenye bunge la katiba kwani wataenda kutetea maslahi yao badala ya kutetea maslahi ya taifa
 
-Nakubaliana na suala la kushusha umri wa Urais.Inawezekana kuna uwezekano wa kupata wenye uwezo wa kuwa Rais

-Nakubaliana na hoja ya kuwa na approval ya uteuzi wa CDF,Chief Justice,IGP,AG na CAG
-Pia tufikirie kuwa na bicameral parliamentary system.Kama ni uwakilishi tuachane na ukuu wa wilaya na mkoa kwa kufanya decentralization

-Hapo kwa serikali tatu tungekuwa na federal system ambayo inakidhi hoja yangu hapo juu ya decentralization

-Nashindwa kuelewa ni kwa nini wabunge hawajaongelea kuhusu impeachment ya Rais.

Pia ningependekeza vipindi vya urais viwe miaka 4 kwa two terms.Miaka 7 ni hqtari hasa kwa mazingira haya ya wimbi la ufisadi na kutowajibika.Pia impeachment process haijarahisishwa.Napinga vikali hili la miaka 7

-Pia hapo kwenye bicamneral parliament.Bunge la law chamber liwe miaka 3 kwa vipindi viwili na chaguzi zifanyike kwa kupishana na uchaguzi wa Rais uwe baada ya uchaguzi wa Bunge na magavana

Nakubaliana na wewe. Raisi lazima awe impeached kama kuna kasoro. Na umri kushushwa hapo sikubaliani nawewe.
 
Hawa wabunge walikutana na Tume ya Katiba? Urais miaka 7 wizi mtupu. Mgombea mwenza kwenye ubunge wizi mtupu.

Vijana wengi waliopewa nafasi za kisiasa bado wanaonekana kutokomaa; kuwapa nafasi ya urais kunaweza kuwa na wizi mtupu.

Suala la kuboresha Muungano ni wizi mtupu. In fact, huu Muungano ukiondoka ndiyo tunaweza kuwa na system bora ya utawala. Ona wanavyojichanganya eti Makamu wa Rais atoke Zanzibar as if Rais ni lazima atoke Tanganyika.

Dual citizenship wizi mtupu. Kwa system tuliyonayo Wachina, Waoman, etc wengi watakuwa raia. Watu watakuja kujutia hapa.

Viongozi wa juu kuidhinishwa na bunge impossible unless tuhame kutoka kwenye presidential system to parliamentary system.

Kama majina matatu ya majaji yataidhinishwa na bunge kwenye uteuzi pia bunge litaidhinisha kumsimamisha kazi jaji mkuu?

Viti maalumu vya ubunge vinaweza kuwa na manufaa tuu kama vita-base on their original aim. Siku hizi unamkuta mwanamke ana degree tatu au alikuwa mkuu wa wilaya, au mbunge wa kuchaguliwa lakini sasa eti ni mbunge wa viti maalum. Hata aibu hana.

Suala la wizara kutambuliwa na Katiba ili ziwe chache, inaonyesha tuu jinsi tulivyo bad in governance. Kabisa tunashindwa kukubaliana nje ya katiba kuwa tuwe na wizara chache? Vitu vingine hata haviitaji kuwepo kwenye katiba.

Pendekezo la wabunge kuwa ubunge na udiwani uwe na kikomo ni unafiki tuu unawasumbua. Wenyewe hawawezi kulikubali hilo. Wameshindwa kujipunguzia posho ndiyo sembuse ubunge?

Just imagine hayo ni maoni yaliyotolewa na wabunge wanaotaka kuhodhi madaraka ya nchi. Wakipewa hayo madaraka itakuwaje?

Achana na mawazo mgando. Hatuwezi kuishi sisi kama sisi katika hii dunia inayozidi kuwa ndogo.
Tunahitaji dual citizenship na ku open doors to people of any background and nature to come in Tanzania and work and live.
You think why USA is a powerful nation on earth?
 
Achana na mawazo mgando. Hatuwezi kuishi sisi kama sisi katika hii dunia inayozidi kuwa ndogo.
Tunahitaji dual citizenship na ku open doors to people of any background and nature to come in Tanzania and work and live.
You think why USA is a powerful nation on earth?

Wengi wanadhani dual citizenship ni kwa faida ya wanasiasa waliopo tzn ... Bado hawajui umuhimu wa hii kitu...

Kenya nadhani wanayo.na inawasaidia sana ..
 
Ukitakafari kwa kina, 'mbunge mwenza' technically ni viti maalum. Wanachofanya hawa walafi wa vyeo kupumbaza watu kuwa wanataka kufuta viti maalum lakini wanarudisha kwa 'jina' la mgombea mwenza. This is 'structural unemployment' Mbunge mwenza maana yake nini hasa?

Kama sikosei sasa tuna Wilaya 133 (naomba nisahihishwe), kwa maana hiyo tutakuwa na wabunge 266 (133 x 2=266). Hapa kila mtu atakuwa mbunge kamili kwa maana ya malipo/posho etc.

Tujiulize, kama tuna uwezo wa kuhudumia (posho etc) wabunge 266 kwa nini tusitenge majimbo 266 ili kila mmoja akagembee kwenye jimbo badala ya huu UKUPE? Kuna Wilaya nyingine ambazo ni kubwa sana - kioneo na hata kwa idadi ya watu. Mfano Kinondoni ni Wilaya, kuna watu wangapi Kinondoni? Kwanini tusiwe na formula ya kugawa majimbo ili kuhakikisha uwiano mzuri katika representation?

nakubaliana na wewe mkuu, good idea hii ya mgombea mwenza ubunge italeta shida
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Nimefurahi sana nilipoona hii hoja Dual citizenship ... Panahusika sana hapo... Hii kitu muhimu... Esp kwa diaspora..

hii mimi mwenyewe nimeipenda ila tusipo weka vema sheria kama kawaida yetu vichwa vya nazi basi Tanzania itakuwa shamba la bibi kama kawaida hili litahitaji sheria imara ili kusudi mgeni ajaye afanye kazi kwa manufaa ya watanzania wasiojiweza kuwa na uraia wa nchi mbili.
 
Hawa wabunge walikutana na Tume ya Katiba? Urais miaka 7 wizi mtupu. Mgombea mwenza kwenye ubunge wizi mtupu.

Vijana wengi waliopewa nafasi za kisiasa bado wanaonekana kutokomaa; kuwapa nafasi ya urais kunaweza kuwa na wizi mtupu.

Suala la kuboresha Muungano ni wizi mtupu. In fact, huu Muungano ukiondoka ndiyo tunaweza kuwa na system bora ya utawala. Ona wanavyojichanganya eti Makamu wa Rais atoke Zanzibar as if Rais ni lazima atoke Tanganyika.

Dual citizenship wizi mtupu. Kwa system tuliyonayo Wachina, Waoman, etc wengi watakuwa raia. Watu watakuja kujutia hapa.

Viongozi wa juu kuidhinishwa na bunge impossible unless tuhame kutoka kwenye presidential system to parliamentary system.

Kama majina matatu ya majaji yataidhinishwa na bunge kwenye uteuzi pia bunge litaidhinisha kumsimamisha kazi jaji mkuu?

Viti maalumu vya ubunge vinaweza kuwa na manufaa tuu kama vita-base on their original aim. Siku hizi unamkuta mwanamke ana degree tatu au alikuwa mkuu wa wilaya, au mbunge wa kuchaguliwa lakini sasa eti ni mbunge wa viti maalum. Hata aibu hana.

Suala la wizara kutambuliwa na Katiba ili ziwe chache, inaonyesha tuu jinsi tulivyo bad in governance. Kabisa tunashindwa kukubaliana nje ya katiba kuwa tuwe na wizara chache? Vitu vingine hata haviitaji kuwepo kwenye katiba.

Pendekezo la wabunge kuwa ubunge na udiwani uwe na kikomo ni unafiki tuu unawasumbua. Wenyewe hawawezi kulikubali hilo. Wameshindwa kujipunguzia posho ndiyo sembuse ubunge?

Just imagine hayo ni maoni yaliyotolewa na wabunge wanaotaka kuhodhi madaraka ya nchi. Wakipewa hayo madaraka itakuwaje?
Nakubaliana na wewe kasoro kitu kimpja.
Dual citizen kwa mtanzania aliyezaliwa Tanzania na wazazi watanzania kwa nini asiwe na uhuru wa kuwa raia wa nchi nyingine? Kama hiyo nchi itamruhusu kuwa raia wa nchi nyingine?
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Kwakweli wabunge wetu wamedhihilisha wanadegree za MULUGO. Kama hawa ndo wabunge wanafikilia hivi kumbe ata raisi anajitahidi katika kufikilia.
 
Wabunge wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano, pamoja na mambo mengine..Wataka Umri wa mgombea uraisi upunguzwe tka miaka 40 hadi 35...Wataka Mawaziri wateuliwe nje ya wabunge...Uteuzi wa viongozi wa juu uthibitizhwe na Bunge...Idadi ya Wizara ijulikane kikatiba na ziwe chache...

Wataka matokeo ya rais yapingwe mahakamani...Muungano wa kimkataba (treaty-based union)...Rais wa Zanzibar awe Makamu wa rais...Majina matatu ya jaji mkuu yapendekezwe kwa rais kwa uteuzi na jaji athibitishe na Bunge na Rais asiwe na mamlaka ya kuwaondoa mpaka ridhaa ya wabunge, Hapa inahusu pia uteuzi wa CDF,IGP, Mkuu wa TISS, Magereza, Uhamiaji nk....

Wataka pia ubunge na udiwani uwe na kikomo...Viti maalumu vifute na badala yake majibo yawe ni wilaya na kuwe na mgombea ubunge na mgombea mwenza wake..Kama mgombea ni mwanaumwe, mgombea mwenza awe mwanamke na akichaguliwa mmoja wote wameshinda kama kwa rais...Uraisi uwe wa Kipindi kimoja cha miaka 7.....

Pia uraia wa nchi mbili (Dual Citizenship)...Kuwe na tume kikatiba itakayo shunghulikia kero za Muungano...Chiligati ataka Articles of Unioni zirejee kama ilivyokuwa mwanzo mambo 11...Mafuta gesi visiwe vya Muungano (hapa ni wabunge wa CCM na CUF bara na Visiwani waliungana)....Ubunge na Udiwani uwe na kikomo cha vipindi viwil (Miaka mitano kila kipindi)....Na mambo mengine mengi...
Source Mimi Mweneyewe Bungeni Dodoma leo...
[/

Wafanye hata miaka mitano (5)
 
Back
Top Bottom