William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
- Thread starter
-
- #61
Kuna jambo lolote wewe umewahi kutofautiana na ma ccm wenzako hata kama halina maana ktk jamii?wewe ni bendera fuata upepo kubembeleza cheo.Sheria kusainiwa kuna kura pale?maana ni maamuzi ya rais pekee kwa mamlaka aliyopewa baada ya kupita sehemu mbalimbali na hata museveni alikua ana refer research zilizofanyika juu ya ushoga
Mkuu mimi ni mwana CCM lakini katka hili CCM is fighting a losing battle.
Kugeuza watu mawazo kwa CCM ilipofikia kisiasa ni kazi inayohitaji a master and maverick politician anayeweza kuwaunganisha tena wana CCM.
CCM ina makundi, CCM haina dira, viongozi wanapigana vijembe hadharani,viongozi wengine wanapenyeza rupia kuendeleza ndoto zao za kisiasa, ilhali HAKUNA UNIFYING IDEOLOGY.
Huko zanzibar, imejitwalia madara zaidi ndani ya muungano bila idhini ya vikao mahsusi vya CCM, kama nakumbuka vizuri wana CCM walijulishwa tu yale yaliyotokea huko Zenj.
Nasema hivi kwa uchungu tu.
Inabidi tuwe wakeli ili tujue tatizo letu liko wapi.
KURA YA SIRI- itawabeba hata wale wana CCM waliochoshwa na mwenendo huu wa kisiasa, ni kama referendum ya kisiasa kwa uhai wa chama.
Mbaya zaidi kura ya siri itarudisha serikali ya Tanganyika, hilo ni wazi.
Kura ya siri ikipigwa na mjumbe haina athari ya kuchukuliwa hatua na chama, lakini ndicho atakacho kuwa nacho mtu moyoni.
Tuwe wakweli.
- ha! ha! Wanafiki wakubwa mlisema CUF ni mashoga halafu mkajiunga nao, halafu hamuachi maneno yenu yale yale asiye na mawazo kama yenu huwa hmakosi maneno ya matusi hoja kaputi,
- Kaka tizama mfano wa Museveni, amesaini sheria mbele ya umma na huku kuna vitisho kila kona toka kwa wazungu ungekwua wewe ingekwuaje?
Le Mutuz
- Kaka ungeanza na Zitto na Kitila kufukuzwa chama na Migamba kupigwa ngumi hivi ilikuwa ni kwa sababuy ya nini kaka?
Le Mutuz
- So unasema binadam mzima ni yule kiongozi wa wananchi anayelilia kupiga kura kwa siri mwanaume mzima? ha! ha! ha!
Le Mutuz
Mbona kwenye kura za maoni hampigi wazi ili kuchagua viongozi wenu wa chama au nyie ni cowards.
We jamaa unaguswa sana na jinsia ya kiume.... nakosa imani sana na ww. Hawa wanaume walikufanya nn?
- Nimeshitushwa sana na habari za mzozo wa Kupiga kura huko Dodoma kwenye bunge la Katiba, siamini kwamba leo 2014 Tanzania tuna viongozi watuwazima na akili timamu wanalia lia kama watoto wadogo eti wanaogopa kupiga kura za wazi are you kidding me or what? Katika kuishi kwangu nje miaka mingi sana sijawahi kusikia Viongozi wanaume wakililia kupiga kura za siri on anything, sasa sisi Tanzania tumemkosea nini Mungu mpaka kuweza kuwa na Viongozi wa Taifa waoga waoga mpaka kuogopa kupiga kura ya wazi?
- Mimi nilidhani Wanasiasa wote Duniani huwa wanalilia kazi zao kuonekana wazi kwa wananchi na hizi kura ndio haswa ilikuwa nafasi za wanasiasa wetu kuonyesha misimamo yao wazi kwenye kura na kuweza kusimama kuitetea kwa nini wamepiga kura kama walizopiga, badala yake naona wanaume watuwazima wakilia lia kila siku kuomba wapige kura za siri kusudi wasijulikane na wananchi wanaowaongoza wamepigaje kura zao, Really?
- Naomba wale Viongozi wote huko bungeni Dodoma wanaolilia kama watoto habari za kupiga kura za siri waondoke huko mara moja, cause hawafai, ni kiongozi gani Duniani leo anayeogopa kupiga kura ya wazi na kusimama mbele ya Taifa kutoa sababu za kwa nini amepiga kura yake kama alivyopiga? Ukweli ni kwamba hawafai kuwa Viongozi na hata kuwa wawakilishi wa wengine, wananchi wa Tanzania hatujawatuma viongozi waoga na cowards huko Dodoma ni simply kwamba hawawezi na hawatufai, waondoke mara moja na wawaachie wananchi wengine nafazi zao, wananchi wasio ogopa kuhesabiwa na umma!!, Wananchi tunataka katiba mpya na inatakiwa kuandikwa na wananchi walio tayari kufa kwa kusimamia misimamo yao, sio waoga waoga kama fisi fukuza wote huko Dodoma waoga waoga!!
- MUNGU AIBARIKI TANZANIA
Le Mutuz Big Show
- Kiongozi mzima wa wananchi mwenye akili timamu kuogopa kupiga kura ya wazi? I become a coward unfit to lead kaka huwezi kuwa kiongozi wa Taifa ukaanza kulilia kura za siri hufai ondoka kwenye uongozi mara moja waachie wanaoweza kusimama wahesabiwe!! na wapo wengi tu!!
Le Mutuz
masopakyindi ameamua kuwa mkweli na kutokua mshabiki. Huenda mtu ukawa unakipenda kitu fulani, lakini usikipende sana kiasi cha kupofusha kuona mapungufu yake.Is it you ? Kweli watu hubalika, ahsante Mungu kwa kugusa roho na nafsi za watu.
Kuwa makini na hoja zako za 'domokrasia'. Kura ya SIRI ni msingi muhimu wa demokrasia kote duniani!
- Coward that is what you are unfit to lead, ondoka kama upo huko Dodoma hufai simply hufai toka huko Dodoma waachie wanaume wanaoweza kusimama na kuhesabiwa, wewe unatetea mediocre ya kupiga kura kwa siri ili iwe nini? Utaandika katiba mpya kwa siri?
- Kaka kasome Founding Fathers wa Amerika kama walipiga kura kwa siri, infact Madison alitishia kuvunja process nzima iwapo hoja yake ya kuimarisha mahakama ingekataliwa na alismama na kusema wazi sio kwa siri, wale wote huko Dodoma ambao hamuwezi kusimama kuhesabiwa wakati muafaka sasa ondokeni huko you cowards!!
Le Mutuz
- Kaka wanaume wanaandika katiba mpya kwa kura za siri ulisikia wapi hiyo? Huko dodoma wameenda watu wengi wasiofaaa fukuza wote tuanze upya ibidi na waulizwe mapema wanataka kupiga kura za siri au za wazi, kura inapigwa wazi
Le Mutuz
masopakyindi ameamua kuwa mkweli na kutokua mshabiki. Huenda mtu ukawa unakipenda kitu fulani, lakini usikipende sana kiasi cha kupofusha kuona mapungufu yake.
- Nimeshitushwa sana na habari za mzozo wa Kupiga kura huko Dodoma kwenye bunge la Katiba, siamini kwamba leo 2014 Tanzania tuna viongozi watuwazima na akili timamu wanalia lia kama watoto wadogo eti wanaogopa kupiga kura za wazi are you kidding me or what? Katika kuishi kwangu nje miaka mingi sana sijawahi kusikia Viongozi wanaume wakililia kupiga kura za siri on anything, sasa sisi Tanzania tumemkosea nini Mungu mpaka kuweza kuwa na Viongozi wa Taifa waoga waoga mpaka kuogopa kupiga kura ya wazi?
- Kaka si hata CUF mlisema mashoga kujiunga nao maana yake il;ikuwa nini eti na nyie kumbe ni mashoga au? ha! ha! ha!
Le Mutuz
Le mutuz wakati mwingine nakuona kama huna akili za kutosha. Kura na katiba ni vitu viwili tofauti. Katiba haiwezivna haitaka iwe ya siri. Pia America na Tanzania ni sehemu mbili tofauti huwezi kulinganisha. Sifa kubwa America ili ugombee urais lazima Uwe tajiri, kwa nini usiseme iwe na Tanzania . Mnataka kura ya wazi ili katiba iwe ya familia ya ccm? Katiba ni ya wananchi kura ya siri ni lazima
Narudia kukuuliza tena, unauhakika duniani kote haijawahi kutokea kura ya siri?
Kweli mkuu, hata Mwalimu alikuja na sera ya chama iitwayo TUJISAHIHISHE.masopakyindi ameamua kuwa mkweli na kutokua mshabiki. Huenda mtu ukawa unakipenda kitu fulani, lakini usikipende sana kiasi cha kupofusha kuona mapungufu yake.