Wabunge Wote Wasiotaka Kura za Wazi are Cowards ni wakati Muafaka Wakajitoa huko Dodoma Haraka Sana!

Wabunge Wote Wasiotaka Kura za Wazi are Cowards ni wakati Muafaka Wakajitoa huko Dodoma Haraka Sana!

Kuna jambo lolote wewe umewahi kutofautiana na ma ccm wenzako hata kama halina maana ktk jamii?wewe ni bendera fuata upepo kubembeleza cheo.Sheria kusainiwa kuna kura pale?maana ni maamuzi ya rais pekee kwa mamlaka aliyopewa baada ya kupita sehemu mbalimbali na hata museveni alikua ana refer research zilizofanyika juu ya ushoga

- Museveni ameweka mfano wazi kiongozi unasimama na kuweka msimamo wako wazi unasimamia nini na kwa nini na huogopi mtu wala vitisho jamani tafadhalini waoga waoga wote huko Dodoma ondokeni waachieni wananchi wanaoweza kusimama na kuhesabiwa!1

Le Mutuz
 
Mkuu mimi ni mwana CCM lakini katka hili CCM is fighting a losing battle.
Kugeuza watu mawazo kwa CCM ilipofikia kisiasa ni kazi inayohitaji a master and maverick politician anayeweza kuwaunganisha tena wana CCM.

CCM ina makundi, CCM haina dira, viongozi wanapigana vijembe hadharani,viongozi wengine wanapenyeza rupia kuendeleza ndoto zao za kisiasa, ilhali HAKUNA UNIFYING IDEOLOGY.
Huko zanzibar, imejitwalia madara zaidi ndani ya muungano bila idhini ya vikao mahsusi vya CCM, kama nakumbuka vizuri wana CCM walijulishwa tu yale yaliyotokea huko Zenj.


Nasema hivi kwa uchungu tu.
Inabidi tuwe wakeli ili tujue tatizo letu liko wapi.

KURA YA SIRI- itawabeba hata wale wana CCM waliochoshwa na mwenendo huu wa kisiasa, ni kama referendum ya kisiasa kwa uhai wa chama.
Mbaya zaidi kura ya siri itarudisha serikali ya Tanganyika, hilo ni wazi.

Kura ya siri ikipigwa na mjumbe haina athari ya kuchukuliwa hatua na chama, lakini ndicho atakacho kuwa nacho mtu moyoni.
Tuwe wakweli.

Is it you ? Kweli watu hubalika, ahsante Mungu kwa kugusa roho na nafsi za watu.
 
Vain Vapid Verbosity.
- ha! ha! Wanafiki wakubwa mlisema CUF ni mashoga halafu mkajiunga nao, halafu hamuachi maneno yenu yale yale asiye na mawazo kama yenu huwa hmakosi maneno ya matusi hoja kaputi,

- Kaka tizama mfano wa Museveni, amesaini sheria mbele ya umma na huku kuna vitisho kila kona toka kwa wazungu ungekwua wewe ingekwuaje?

Le Mutuz
 
- Kaka ungeanza na Zitto na Kitila kufukuzwa chama na Migamba kupigwa ngumi hivi ilikuwa ni kwa sababuy ya nini kaka?

Le Mutuz

Kutembeza waraka wa mapinduzi ndani ya chama,jee kwa nini Jirani yako Abdul Jumbe yupo kifungoni mpaka leo?
 
Mbona kwenye kura za maoni hampigi wazi ili kuchagua viongozi wenu wa chama au nyie ni cowards.

- Kaka kitendo cha mwanaume mzima kusimama mbele ya wananchi kulilia kupiga kura kwa siri kisa eti unaogopa wanaume wengine ni ujuha na coward hufai kuwa kiongozi dawa ni kujoondoa tu!!

Le Mutuz
 
- Nimeshitushwa sana na habari za mzozo wa Kupiga kura huko Dodoma kwenye bunge la Katiba, siamini kwamba leo 2014 Tanzania tuna viongozi watuwazima na akili timamu wanalia lia kama watoto wadogo eti wanaogopa kupiga kura za wazi are you kidding me or what? Katika kuishi kwangu nje miaka mingi sana sijawahi kusikia Viongozi wanaume wakililia kupiga kura za siri on anything, sasa sisi Tanzania tumemkosea nini Mungu mpaka kuweza kuwa na Viongozi wa Taifa waoga waoga mpaka kuogopa kupiga kura ya wazi?

- Mimi nilidhani Wanasiasa wote Duniani huwa wanalilia kazi zao kuonekana wazi kwa wananchi na hizi kura ndio haswa ilikuwa nafasi za wanasiasa wetu kuonyesha misimamo yao wazi kwenye kura na kuweza kusimama kuitetea kwa nini wamepiga kura kama walizopiga, badala yake naona wanaume watuwazima wakilia lia kila siku kuomba wapige kura za siri kusudi wasijulikane na wananchi wanaowaongoza wamepigaje kura zao, Really?

- Naomba wale Viongozi wote huko bungeni Dodoma wanaolilia kama watoto habari za kupiga kura za siri waondoke huko mara moja, cause hawafai, ni kiongozi gani Duniani leo anayeogopa kupiga kura ya wazi na kusimama mbele ya Taifa kutoa sababu za kwa nini amepiga kura yake kama alivyopiga? Ukweli ni kwamba hawafai kuwa Viongozi na hata kuwa wawakilishi wa wengine, wananchi wa Tanzania hatujawatuma viongozi waoga na cowards huko Dodoma ni simply kwamba hawawezi na hawatufai, waondoke mara moja na wawaachie wananchi wengine nafazi zao, wananchi wasio ogopa kuhesabiwa na umma!!, Wananchi tunataka katiba mpya na inatakiwa kuandikwa na wananchi walio tayari kufa kwa kusimamia misimamo yao, sio waoga waoga kama fisi fukuza wote huko Dodoma waoga waoga!!

- MUNGU AIBARIKI TANZANIA

Le Mutuz Big Show


Kuwa makini na hoja zako za 'domokrasia'. Kura ya SIRI ni msingi muhimu wa demokrasia kote duniani!
 
- Kiongozi mzima wa wananchi mwenye akili timamu kuogopa kupiga kura ya wazi? I become a coward unfit to lead kaka huwezi kuwa kiongozi wa Taifa ukaanza kulilia kura za siri hufai ondoka kwenye uongozi mara moja waachie wanaoweza kusimama wahesabiwe!! na wapo wengi tu!!

Le Mutuz

Kwa nn iwe ni ccm asilimia kubwa wanapingana na kura ya siri? Hivi mnafikiri mtanzania wa 2014 anafanana na wa mwaka 1977? mnajipotezea heshima katika jamii
 
Is it you ? Kweli watu hubalika, ahsante Mungu kwa kugusa roho na nafsi za watu.
masopakyindi ameamua kuwa mkweli na kutokua mshabiki. Huenda mtu ukawa unakipenda kitu fulani, lakini usikipende sana kiasi cha kupofusha kuona mapungufu yake.
 
Last edited by a moderator:
- Coward that is what you are unfit to lead, ondoka kama upo huko Dodoma hufai simply hufai toka huko Dodoma waachie wanaume wanaoweza kusimama na kuhesabiwa, wewe unatetea mediocre ya kupiga kura kwa siri ili iwe nini? Utaandika katiba mpya kwa siri?

- Kaka kasome Founding Fathers wa Amerika kama walipiga kura kwa siri, infact Madison alitishia kuvunja process nzima iwapo hoja yake ya kuimarisha mahakama ingekataliwa na alismama na kusema wazi sio kwa siri, wale wote huko Dodoma ambao hamuwezi kusimama kuhesabiwa wakati muafaka sasa ondokeni huko you cowards!!

Le Mutuz

Le mutuz wakati mwingine nakuona kama huna akili za kutosha. Kura na katiba ni vitu viwili tofauti. Katiba haiwezivna haitaka iwe ya siri. Pia America na Tanzania ni sehemu mbili tofauti huwezi kulinganisha. Sifa kubwa America ili ugombee urais lazima Uwe tajiri, kwa nini usiseme iwe na Tanzania . Mnataka kura ya wazi ili katiba iwe ya familia ya ccm? Katiba ni ya wananchi kura ya siri ni lazima
 
- Kaka wanaume wanaandika katiba mpya kwa kura za siri ulisikia wapi hiyo? Huko dodoma wameenda watu wengi wasiofaaa fukuza wote tuanze upya ibidi na waulizwe mapema wanataka kupiga kura za siri au za wazi, kura inapigwa wazi

Le Mutuz

Nin maana ya demokrasia wewe zuzu Le Mutuz.
 
- Nimeshitushwa sana na habari za mzozo wa Kupiga kura huko Dodoma kwenye bunge la Katiba, siamini kwamba leo 2014 Tanzania tuna viongozi watuwazima na akili timamu wanalia lia kama watoto wadogo eti wanaogopa kupiga kura za wazi are you kidding me or what? Katika kuishi kwangu nje miaka mingi sana sijawahi kusikia Viongozi wanaume wakililia kupiga kura za siri on anything, sasa sisi Tanzania tumemkosea nini Mungu mpaka kuweza kuwa na Viongozi wa Taifa waoga waoga mpaka kuogopa kupiga kura ya wazi?

Narudia kukuuliza tena, unauhakika duniani kote haijawahi kutokea kura ya siri?
 
Le mutuz wakati mwingine nakuona kama huna akili za kutosha. Kura na katiba ni vitu viwili tofauti. Katiba haiwezivna haitaka iwe ya siri. Pia America na Tanzania ni sehemu mbili tofauti huwezi kulinganisha. Sifa kubwa America ili ugombee urais lazima Uwe tajiri, kwa nini usiseme iwe na Tanzania . Mnataka kura ya wazi ili katiba iwe ya familia ya ccm? Katiba ni ya wananchi kura ya siri ni lazima

- ha! ha! ha! ha! ha1 mr. genius amekuja kunijibu nisiye na akili za kutosha! ha1 ha1 ha1

hii imenivunja mbavu sana! ha! ha!

Le Mutuz
 
Narudia kukuuliza tena, unauhakika duniani kote haijawahi kutokea kura ya siri?

- Kura ya siri kluandika katiba mpya? sijawahi kusikia kaka!! kwani kaka hukumuona Museveni majuzi akindika Sheria mpya kwa uwazi au hukuona!!

Le Mutuz
 
Ahaaa huyuuu mutuz msengeremaaa kweliii we mbo wenywe wameteuliwa kwa siriii na rais au kulikuwa na kura ya wazi uteuzii wao


Sent from my iPhone 5 using JamiiForums
 
masopakyindi ameamua kuwa mkweli na kutokua mshabiki. Huenda mtu ukawa unakipenda kitu fulani, lakini usikipende sana kiasi cha kupofusha kuona mapungufu yake.
Kweli mkuu, hata Mwalimu alikuja na sera ya chama iitwayo TUJISAHIHISHE.
CCM isipofanya hivyo haitweza kuwaunganisha wanachama wake kwa woga tu wa kuchukuliwa hatua za ku vote nje ya matakwa ya viongozi wao.
 
Back
Top Bottom