Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leseni haijawahi kusababisha ajali, ni kama bunduki bila kutumiwa na mtu haiwezi kuuwa mtuShida ya leseni kutolewa kiholela
Gari haikuonyeshi ki-alama cha jeneza mwenzetuSpeed yangu mm huwa my 120-160 kmh vipi hapo mdau ni kubwa au ndogo
Hela tunazo hatuna hela za mawazo kama ninyi msioenda makwenuKrismasi imeisha tukutane kwenye ADA sasa kwa speed Ile Ile ya kwenda Moshi
Acha wivu pambana na wewe ununue,mwenye chake muungwanaKwa hiyo wachaga huu ulimbukeni wa kupenda show-off za kukimbiza magari zinawasaidia nini hasa, vipi wanapata na mademu nini......
Mtakwisha kwa sifa za kijingaNdugu zangu wachaga nawaandikieni kwa uchungu mkubwa. Mkiendekeza speed barabarani mjiandae na matokeo yake. Wiki mbili tumezika vijana yapata 8 kwa ajali. Yawafaa nini?
View attachment 2041879
Hawa si ndio kesi imalizika leo na kulilipwa 300m?Ndugu zangu wachaga nawaandikieni kwa uchungu mkubwa. Mkiendekeza speed barabarani mjiandae na matokeo yake. Wiki mbili tumezika vijana yapata 8 kwa ajali. Yawafaa nini?
View attachment 2041879
Usifananishe wana wa Israel na wanywa mbege.Hao sawa na Wana wa Israel Mungu amewapa akili na Mali lkn wakaidi balaa ...acha wafe tu...hata Musa alipowavusha jangwani Bado walimfanyia ujeuri...
Wewe mshamba Sisi Sio level YakoUsifananishe wana wa Israel na wanywa mbege.