Wachaga endekezeni speed barabarani, mtakwisha!

Wachaga endekezeni speed barabarani, mtakwisha!

Hili mie naweza nikakubaliana nawewe kwa asilimia 100% ajali nyingi ni matokeo ya ku loose control ya magari na hii yote ni sababu ya kupenda overtake za ajabu ajabu tu[emoji41]!

Mtu anaona kuna gari inakuja upande wake anabet eti akate semi 3 halafu atoke kabla gari ya upande wake haijafika! Hio huwa ni ngumu sana kutoboa hasa ukiwa na mgari wa diesel au engine yenye horsepower ndogo on full throttle!

Ni muhimu sana pia kujua hali ya chombo chako, means uwe umekizoea kimatumizi na mwenendo wake. Mie kabla ya kusafiri hata na gari ngeni huwa lazima nizunguke zunguke nayo kwanza niangalie aerodynamics zake. Ukamataji wa brakes pia, Cornering ikoje, Sio unaazima gari tu unasafiria huelewi.
It's all about horses.

Diesel au Petrol haihusiki sana.

Kuna diesel ina 300hp na petrol ina 150hp.

Unadhani nani atakuwa fast kwenye overtaking?
 
wachagga wana mtindo wa kutaka sifa wanapoenda moshi anajua njiani atampita masawe mbele atamkuta lyimo na wengine wengi sasa akiwapita kwa speedi anajua watamtaja tu haaa jamani mmemuona mushi alivyotupita huyu yupo vizuri basi akisifiwa hivyo kichwa hilo . wachaga kila sehemu hupenda sifa tweeter wamejaa wao tuu kila kona kumsema makufuli
Ahaaaahaaahaaa[emoji16][emoji16]

Mkuu umeua!
 
Eti ni kweli wachaga wanaongoza kwa kuazima/kukodisha magari ili waende nayo kilimanjaro kwa maonyesho?
Hehehehe[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1787]

Itakuwa kweli asee..lyimo kaazima Prado la dingi kasepaaa
 
Back
Top Bottom