Wachagga, watoto wakizaliwa mnapeleka wapi vitovu?

Duuuuh maskini wee lol
 
Umeona eh ! Pole sana
 
Weweeeee...... nakueleza sasa kwamba hata huyo myahudi yesu ni MZIMU ..... sema tu namna ya kuelewa mimi na wewe ni tofauti.... LAKINI KILA ALIYEKWISHA KUFA NI MZIMU TU..
Unavuka mipaka Sasa...ni Bora ukae kimya Kama hujui kitu
 
Ulie na mababu ili mtoto adhuhurike?? Unaona izo ni mila nzuri ?
 
Point hapo ni mtoto kupata madhara, ni moja ya maombi yao?
Mbona mila nyingine ni za kipumbavu na kichawi kabisa? Umuombee mtu mabaya adhuhurike!
Upumbavu ni wako. Aliyekuambia anadhurika nani. Ulisikia wapi? Or else uulize ndugu yako kama mtoto si wa huyo jamaa. Koma kabisa na tamaduni za watu. Unawashwaaa. Nyie ukeketajo hamuuoni? Kulogana? Bastard

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Mbona umeandika maneno mengi sana kwa jazba?

Mtu mwenye furaha na amani ya moyo hawezi kurespond kiasi hiki.. ! Nikuombee mzigo wa stress ulizonazo uutue!
 
Mbona wachaga wamekua wakali sana?
Sky Eclat vitovu vya watoto hua mnapeleka wapi?
 
Kuna wanga na waganga kutwa kucha wanahaha tutafuta vitovu vya watoto vina Kazi kubwa Sana katika ishu za anga.
Kwahio ni rahisi mtu kucheza na future ya mtoto wako Pindi akikipata kitovu chake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…