Wachambuzi "Bingwa wa Kombe la Dunia Argentina aliandaliwa Mapema na Makusudi Kabisa ili Messi Ashinde"

Mazumbukuku wa MISS PENATI watakaza mafuvu yao hapa hadi mishipa ipasuke lakini ukweli usemwe mbeleko FC/Argentina waliandaliwa na FIFA kwa sababu za kibiashara.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Nilishangaa sana jana kuona Watu wamepata advantage ya kwenda kufunga kwa counter attack ghafla Refa anapuliza kipenga, nilinyong'onyea sana[emoji849]

Inamaana angeacha France wamalize shambulizi kisha atoe kadi kwa mchezaji faulo angeshtakiwa na kufungiwa kuchezesha tena timu za kimataifa [emoji848][emoji57]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Zumbukuku mojawapo la BEBWA BEBWA MISS PENATI hili hapa mazumbukuku menziye yamemgongea LIKE [emoji38]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Uko sahihi kiongozi wangu hizi takataka sijui zinawaza kwa kutumia kiungo gani aisee Jana Ufaransa wamepata penalty mbili Moja ya dk za majeruhi wakati wa Extra time Sasa kubebwa kupi wanakokuzungumzia?
Tangu dunia iumbwe haijawahitokea timu yoyote kupata penati 7 mfululizo kati ya mechi 7 kwenye kombe la dunia.

Fikiri kwa kutumia ubongo (akili) wala si moyo (mahaba).

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Eeeh hata kombe lenyewe halikiki kwanza ni friendly mechi tulivoambiwa


Mie bhana hamuniimpress hata msemeje [emoji1][emoji1]
Mataaira sana hayo timu MISS PENATI, kibaya zaidi yanakariri kila asiyeyakubali na mbeleko FC/Argentina yao ni mshabiki wa CR 7.

Kombe la dunia limepoteza uhalisia kabisa sababu tu ya ujinga wa FIFA kukaa kibiashara zaidi.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
We nae bhana bichwa gumu which sides are u kwanza[emoji3]

Wanaokubeba inafika taimu wanakupotezea cuz hubebeki na this is wat happened kwa sec half
Kisamehe bure tu, kitoto chenyewe ni cha miaka ya 2000 na ni kifupi kama MISS PENATI, unategemea atakuwa na afya ya akili [emoji848][emoji56]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Yaani nilikuja kujua Argentina anabebwa na kuandaliwa ubingwa ile mechi ya Netherlands ile penalty ilikuwa nje ya box na jana refa kazima shambulizi la goli kwa France
Wajinga hawawezi kuisha duniani Chifu, huoni hata hapa jinsi yanavyokaza mafuvu hayo Mataahira [emoji848][emoji1787]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Aiseee mpaka dk ya 80 zero shoot on target halafu unaongea nini?
 

Hawa watu wa Ajabu sana jana France wamepata penalty 2 kama Argentina wanabebwa si refa angevunga?? Chuki zitawaua watu wanatafuta kila sababu
 
Hakuna kitu kama icho, wamepambana na wote tumeona.
 

Mabingwa wa Euro 2020 Italy alifungwa 3-0 na Argentina kwenye final ya Finallisma 2022. Unajua mpira au una mihemuko??
 
Kwamba Argentina kabebwa fainali? Hivi kweli Kati ya aliyepewa penati moja na mwingine mbili nani kapendelewa? Wenzetu waliofungwa hata hawalalamiki wamekubali yaishe. Asiyekubali kushindwa si mshindani.

Mwingine kapewa mbili sababu ni za halali.. mwingine kapewa moja isiyo halali..

Watu wanapinga uhalali wa penalty anazopewa Argentina kila mechi..

Mechi zote za mtoano lazima apewe penalty
 
Yaani timu ya Argentina ipambane kote huko hadi wafike fainal, halafu mtu aseme wamebebwa kwa sababu ya Penalty anayoitilia mashaka? wangepitia mechi zote waone ni maamuzi mangapi yaliyotolewa yanayo onesha kuwa na utata?
Wasituletee ushabiki wa Yanga na Simba hapa!!!
 
Mi namkubali sana Christiano na Real Madrid.

LAKINI KUNA MUDA TUNAPASWA KUIPA SOKA HAKI YAKE. HAWA WATU WAMETAWALA SOKA KWA 15 yrs na Ronaldo ameshakata moto.

Mi sioni kama kutakuwa na ladha kama mmojawao asingebeba Worldcup..!

Tujifunze kupongeza na hilo halimaanishi kama Ronaldo siyo katika greatest players kuwah kutokea!!.. Ilikuwa ni lazima na ilibidi mmojawao abebe hili kombe kufanya ubora wa kizazi chao uwe juu.
 
Matukio yanaongea 👇
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…