Wachambuzi "Bingwa wa Kombe la Dunia Argentina aliandaliwa Mapema na Makusudi Kabisa ili Messi Ashinde"

Wachambuzi "Bingwa wa Kombe la Dunia Argentina aliandaliwa Mapema na Makusudi Kabisa ili Messi Ashinde"

Habari wadau.

Wachambuzi mbalimba wa soka wamedai kwamba Bingwa wa Kombe la Dunia ambae Ni Argentina aliandaliwa Mapema ili Messi atwae ubingwa kwa sababu za kibiashara.

Safari ya Argentina Hadi kufika hapa imekuwa ya kubebwa hukunikihusisha matukio mbalimba ambayo yanaashiria Argentina na Messi waliandaliwa ubingwa Mapema.

Star wa Zamani wa Nigeria Julius Agahowa akitokea mfano penati ya Messi ,amesema Dembele hakumgusa Di Maria na Wala sio refa wa Kati Wala VAR iliyoamua tukio lililopelekea France kufingwa na kutolewa kwenye mchezo kabla ya kujitahidi dakika za Mwisho.

Aidha Dr.Leak akiwatetea Argentina alisema mpira pia una bahati maana Wachezaji wa France walikuwa wakiwa kwenye move ya goli refa badala aache fair play amekuwa akipuliza filimbj hivyo kuwapa nafasi Wapinzani kujipanga na kuvuruga chances za France Kufunga.

My Take.

Ukweli Ni usemwe Argentina amebebwa toka wapigwe na Saudia ili tuu Messi atwae ubingwa kwa sababu za kibiashara na wapiga dili na wacheza kamali.View attachment 2451636
Acha niwe wa mwisho kuamini huu upuluzi.
 
Acheni nongwa, kwahiyo ufaransa alikuwa amesimama tu kipindi argentina anashambulia? Tatizo lenu matokeo yamekuja tofauti na fikra zenu ndio maana mnaumia
 
Wakishinda wanakuwa wafaransa, wakipoteza wanakuwa waafrica.
Screenshot_20221219-131902.png
20221219_131850.jpg



Ona hizo comments
 
Habari wadau.

Wachambuzi mbalimba wa soka wamedai kwamba Bingwa wa Kombe la Dunia ambae Ni Argentina aliandaliwa Mapema ili Messi atwae ubingwa kwa sababu za kibiashara.

Safari ya Argentina Hadi kufika hapa imekuwa ya kubebwa hukunikihusisha matukio mbalimba ambayo yanaashiria Argentina na Messi waliandaliwa ubingwa Mapema.

Star wa Zamani wa Nigeria Julius Agahowa akitokea mfano penati ya Messi ,amesema Dembele hakumgusa Di Maria na Wala sio refa wa Kati Wala VAR iliyoamua tukio lililopelekea France kufingwa na kutolewa kwenye mchezo kabla ya kujitahidi dakika za Mwisho.

Aidha Dr.Leak akiwatetea Argentina alisema mpira pia una bahati maana Wachezaji wa France walikuwa wakiwa kwenye move ya goli refa badala aache fair play amekuwa akipuliza filimbj hivyo kuwapa nafasi Wapinzani kujipanga na kuvuruga chances za France Kufunga.

My Take.

Ukweli Ni usemwe Argentina amebebwa toka wapigwe na Saudia ili tuu Messi atwae ubingwa kwa sababu za kibiashara na wapiga dili na wacheza kamali.View attachment 2451636
Yaani nilikuja kujua Argentina anabebwa na kuandaliwa ubingwa ile mechi ya Netherlands ile penalty ilikuwa nje ya box na jana refa kazima shambulizi la goli kwa France
 
Haya bas mwambieni Ronaldo akachukue kikombe cha kahawa anyanyue juu ntamlipia
 
Habari wadau.

Wachambuzi mbalimba wa soka wamedai kwamba Bingwa wa Kombe la Dunia ambae Ni Argentina aliandaliwa Mapema ili Messi atwae ubingwa kwa sababu za kibiashara.

Safari ya Argentina Hadi kufika hapa imekuwa ya kubebwa hukunikihusisha matukio mbalimba ambayo yanaashiria Argentina na Messi waliandaliwa ubingwa Mapema.

Star wa Zamani wa Nigeria Julius Agahowa akitokea mfano penati ya Messi ,amesema Dembele hakumgusa Di Maria na Wala sio refa wa Kati Wala VAR iliyoamua tukio lililopelekea France kufingwa na kutolewa kwenye mchezo kabla ya kujitahidi dakika za Mwisho.

Aidha Dr.Leak akiwatetea Argentina alisema mpira pia una bahati maana Wachezaji wa France walikuwa wakiwa kwenye move ya goli refa badala aache fair play amekuwa akipuliza filimbj hivyo kuwapa nafasi Wapinzani kujipanga na kuvuruga chances za France Kufunga.

My Take.

Ukweli Ni usemwe Argentina amebebwa toka wapigwe na Saudia ili tuu Messi atwae ubingwa kwa sababu za kibiashara na wapiga dili na wacheza kamali.View attachment 2451636
Huu ni umbumbumbu, yaani kwa mpura ule uliopigwa bado kuna watu wanaleta doubt,? Kama penalty ndani ya mchezo mbona kila timu ilipata ?,kipindi cha kwanza pande zote
 
Habari wadau.

Wachambuzi mbalimba wa soka wamedai kwamba Bingwa wa Kombe la Dunia ambae Ni Argentina aliandaliwa Mapema ili Messi atwae ubingwa kwa sababu za kibiashara.

Safari ya Argentina Hadi kufika hapa imekuwa ya kubebwa hukunikihusisha matukio mbalimba ambayo yanaashiria Argentina na Messi waliandaliwa ubingwa Mapema.

Star wa Zamani wa Nigeria Julius Agahowa akitokea mfano penati ya Messi ,amesema Dembele hakumgusa Di Maria na Wala sio refa wa Kati Wala VAR iliyoamua tukio lililopelekea France kufingwa na kutolewa kwenye mchezo kabla ya kujitahidi dakika za Mwisho.

Aidha Dr.Leak akiwatetea Argentina alisema mpira pia una bahati maana Wachezaji wa France walikuwa wakiwa kwenye move ya goli refa badala aache fair play amekuwa akipuliza filimbj hivyo kuwapa nafasi Wapinzani kujipanga na kuvuruga chances za France Kufunga.

My Take.

Ukweli Ni usemwe Argentina amebebwa toka wapigwe na Saudia ili tuu Messi atwae ubingwa kwa sababu za kibiashara na wapiga dili na wacheza kamali.View attachment 2451636
Kwamba Argentina kabebwa fainali? Hivi kweli Kati ya aliyepewa penati moja na mwingine mbili nani kapendelewa? Wenzetu waliofungwa hata hawalalamiki wamekubali yaishe. Asiyekubali kushindwa si mshindani.
 
Nyie mmeleweshwa na safari ya Penaldo kubeboa papai badala ya kombe[emoji38][emoji38]

1. Wakati Argentina inafungwa na Saudi Arabia kwa nini hamkusema wanabebwa, mbwa nyie?

2. Wakati Argentina wanafunga goli mbili na zote zinarudishwa na Nertherlands kwa nini hamkusema Argentina wanabebwa, mbwa nyie?

3. Wakati timu nzima ya Argentina inapigwa kadi na za njano na refa, kwa nini hamkusema wanabebwa, mbwa nyie?

4. Wakati kipa wa Argentina Martinez anadaka na kutoa penalty zenu hao FIFA ndo waliingia golini kudaka? Au ndo walipindisha miguu ya wachezaji wenu, mbwa nyie?

5. Wakati Argentina wanafika fainali timu nyingine zilikuwa wapi? Kwa nini fainali isingekuwa kati ya France na Portugal?

Kuna wakati unaweza sema watu ni was.e.nge sana. Tujufunze ku appreciate juhhdi za watu.
Umewaambia ukwel usio na shaka,hizo penati za jana zilipindiswha na FIFA?,maumivu yakizidi mwone daktari
 
Habari wadau.

Wachambuzi mbalimba wa soka wamedai kwamba Bingwa wa Kombe la Dunia ambae Ni Argentina aliandaliwa Mapema ili Messi atwae ubingwa kwa sababu za kibiashara.

Safari ya Argentina Hadi kufika hapa imekuwa ya kubebwa hukunikihusisha matukio mbalimba ambayo yanaashiria Argentina na Messi waliandaliwa ubingwa Mapema.

Star wa Zamani wa Nigeria Julius Agahowa akitokea mfano penati ya Messi ,amesema Dembele hakumgusa Di Maria na Wala sio refa wa Kati Wala VAR iliyoamua tukio lililopelekea France kufingwa na kutolewa kwenye mchezo kabla ya kujitahidi dakika za Mwisho.

Aidha Dr.Leak akiwatetea Argentina alisema mpira pia una bahati maana Wachezaji wa France walikuwa wakiwa kwenye move ya goli refa badala aache fair play amekuwa akipuliza filimbj hivyo kuwapa nafasi Wapinzani kujipanga na kuvuruga chances za France Kufunga.

My Take.

Ukweli Ni usemwe Argentina amebebwa toka wapigwe na Saudia ili tuu Messi atwae ubingwa kwa sababu za kibiashara na wapiga dili na wacheza kamali.View attachment 2451636
sasa ulitegemea mashabiki wa ronaldo wangesemaje? we hukumsikia pepe na bruno wanatolewa na moroco ila wanamlaumu messi!

kwan nan aliwazuia ufaransa kufunga? kuna goli la ufaransa lililokataliwa? mbona nao wamepata penat 2 na refa wala haja review kwenye VAR, swala la kubebwa ni mtazamo tu, ukishaamini unaonewa hata nzi akikugusa utasema uonevu unaendelea, hvi ,mtu asiye na uwezo ana bebwaje?, watu wanapambana unaona kipa anaokoa mpaka penat halafu unasema imepangwa? ingekuwa rahisi hvyo na ronaldo angekuwa fainali.

recently argentina ndo timu best timu, walikuwa na unbeaten run ndefu , waliwakalisha mpaka brazil fainal copa america, tukubali tu uwezo wanao na wamesatahili, pia bahati imekuwa upande wao maana 2014 walikosa tu bahat wangebeba, pia wameingia fainali 3 za copa america kabla ya kushinda. RESPECT THEIR STRUGGLE, hizo cheap evidence hazibadilishi chochote, ARGENTINA ARE WORLD CHAMPIONS. let that SINK in
 
Habari wadau.

Wachambuzi mbalimba wa soka wamedai kwamba Bingwa wa Kombe la Dunia ambae Ni Argentina aliandaliwa Mapema ili Messi atwae ubingwa kwa sababu za kibiashara.

Safari ya Argentina Hadi kufika hapa imekuwa ya kubebwa hukunikihusisha matukio mbalimba ambayo yanaashiria Argentina na Messi waliandaliwa ubingwa Mapema.

Star wa Zamani wa Nigeria Julius Agahowa akitokea mfano penati ya Messi ,amesema Dembele hakumgusa Di Maria na Wala sio refa wa Kati Wala VAR iliyoamua tukio lililopelekea France kufingwa na kutolewa kwenye mchezo kabla ya kujitahidi dakika za Mwisho.

Aidha Dr.Leak akiwatetea Argentina alisema mpira pia una bahati maana Wachezaji wa France walikuwa wakiwa kwenye move ya goli refa badala aache fair play amekuwa akipuliza filimbj hivyo kuwapa nafasi Wapinzani kujipanga na kuvuruga chances za France Kufunga.

My Take.

Ukweli Ni usemwe Argentina amebebwa toka wapigwe na Saudia ili tuu Messi atwae ubingwa kwa sababu za kibiashara na wapiga dili na wacheza ka

Msikie huyu nae 😁😁😁 hio 36 games unbeaten angekua anacheze Ulaya hata 30 wasingetoboa

South Amerca ukitoa Brazil hamnaga timu kali kali


By the way ilikua tu abebe kombe , the nature ilikua inambebe or else angelisikia tu

Dua zenu pia zilimbeba 😃
timu gani ya ulaya imewafunga argentina world cup hii? na ulaya pangekuwa pagumu hvyo italy asingekuwa na unbeaten run 37 kati ya 2018 mpaka 2021. Pia ukumbuke hao brazil walipigwa fainal na argentina tena wakiwa maracana, walikuwa full kikosi na hakuna kitu walifanya. astahiliye heshima apewe tu
 
Ninachokijua ata sh mia mbili inatosha kununua kamba ujinyonge kama Argentina kuwa bingwa unaumia
 
Uko sahihi kiongozi wangu hizi takataka sijui zinawaza kwa kutumia kiungo gani aisee Jana Ufaransa wamepata penalty mbili Moja ya dk za majeruhi wakati wa Extra time Sasa kubebwa kupi wanakokuzungumzia?

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
kama kweli fifa au refa angekuwa anawabeba argentina, ile penati ya mwisho asingetoa.. maana muda ulikuwa umeisha na argentina wangebeba ndoo, wanaongelea kubebwa kupi hawa
 
Acheni nongwa, kwahiyo ufaransa alikuwa amesimama tu kipindi argentina anashambulia? Tatizo lenu matokeo yamekuja tofauti na fikra zenu ndio maana mnaumia
Wapumbavu hao
 
Back
Top Bottom