Wachambuzi mnisaidie: Hii vita SMO ya Russia ukiendelea miaka miwili ijayo huku Ukraine anasaidiwa na Dunia nzima, Nini kitatokea?

Wachambuzi mnisaidie: Hii vita SMO ya Russia ukiendelea miaka miwili ijayo huku Ukraine anasaidiwa na Dunia nzima, Nini kitatokea?

JE Russia ataishiwa silaha.?
Je Pro Ukraine countries wanaweza kupenyeza majeshi yao Kwa Jina la Ukraine wakamtembezea moto Russia Hadi Kremlin.

JE Russia anaweza kutumia mbinu za kikatili za US kuizima Kiev Kwa Nyuklia kama Hiroshima mchezo uishe.

JE, Russia anareserve ya kutosha ya silaha kupigana hata miaka kumi huku adui akiwa na masponsor Dunia nzima. ( Hili ninamashaka maana nimeona video maengineer wa kirusi wanahariri vifaru vya kizamani viende vitani na nimeona kapokeamsaafawa vifaru 20.



Nini maoni yako.


Mimi ni pro Russia Kwa kichinichini
Russia pia anasaidiwa na mataifa mengi: iran ilipeleka jeshi kitambo, kwasasa Russia anatumia drones za iran, chechnia wako front line. Beralus ni launch pad ya Russia etc. Kwa ufupini kuwa vita hii ni ya mataifa mengi
 
Tutegemee anguko la kiuchumi kwa nchi hzo zote mbili.. ila mwsho wa siku mmoja atanyoosha mikono atakapo anza kufirisika
Russia ameanza kupata maumivu kwakuwa aridhan vita isingechukua mda mrefu na gharama kubwa
 
Zaidi ya kutoa silaha, West hawawezi kutuma vikosi vyao wakafe, hiyo ondoa kabisa
Ingekuwa Zimbabwe sijui wap huko wangepeleka, ila siyo Russia mana wanajua muziki wake
West ni lazima waingie, kumbuka kuwa mateka wa mwanzo 3 walikuwa wa UK, kimsingi ni lazima wawepo kutoa msaada wa kiufundi na kujua hali halis maana putin binafsi ni tishio kwao
 
JE Russia ataishiwa silaha.?
Je Pro Ukraine countries wanaweza kupenyeza majeshi yao Kwa Jina la Ukraine wakamtembezea moto Russia Hadi Kremlin.

JE Russia anaweza kutumia mbinu za kikatili za US kuizima Kiev Kwa Nyuklia kama Hiroshima mchezo uishe.

JE, Russia anareserve ya kutosha ya silaha kupigana hata miaka kumi huku adui akiwa na masponsor Dunia nzima. ( Hili ninamashaka maana nimeona video maengineer wa kirusi wanahariri vifaru vya kizamani viende vitani na nimeona kapokeamsaafawa vifaru 20.



Nini maoni yako.


Mimi ni pro Russia Kwa kichinichini
Mkuu Urusi miezi 7 tu alilazimika kuajiri vijana wa JKT kwenda vitani, majenerali amebadilisha kama nguo yake hawana idadi, lakini adui alikuwa Kyiv alipovamia sasa Ukrain wameweza kumtoa adui miji mikuu na kubakisha ya pembeni na pembeni yenyewe Jeshi la Ukrain linaendelea kumega maeneo yao ya ardhi utegemee miaka miwili itakuwaje?

Putin saiv analenga mabomu out of targets, ameenda kushambulia nyumba za raia na kuua 19 wachambuzi wengi wameona ni mtu ambaye hana malengo, ameshindwa kulinda majimbo aliyopiga kura kupitisha sheria kwamba sasa ni ya urusi, Ukrain wana advance wana retake towns kila leo
 
Russia pia anasaidiwa na mataifa mengi: iran ilipeleka jeshi kitambo, kwasasa Russia anatumia drones za iran, chechnia wako front line. Beralus ni launch pad ya Russia etc. Kwa ufupini kuwa vita hii ni ya mataifa mengi
Chechnia hii nchi ipo bara gani MKUU !!!??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Urusi miezi 7 tu alilazimika kuajiri vijana wa JKT kwenda vitani, majenerali amebadilisha kama nguo yake hawana idadi, lakini adui alikuwa Kyiv alipovamia sasa Ukrain wameweza kumtoa adui miji mikuu na kubakisha ya pembeni na pembeni yenyewe Jeshi la Ukrain linaendelea kumega maeneo yao ya ardhi utegemee miaka miwili itakuwaje?

Putin saiv analenga mabomu out of targets, ameenda kushambulia nyumba za raia na kuua 19 wachambuzi wengi wameona ni mtu ambaye hana malengo, ameshindwa kulinda majimbo aliyopiga kura kupitisha sheria kwamba sasa ni ya urusi, Ukrain wana advance wana retake towns kila leo
[emoji635]"My actions are correct and timely," Putin answered the question of whether he regretted anything.

Subscribe to @Sputnik

Sent using Jamii Forums mobile app
 
JE Russia ataishiwa silaha.?
Je Pro Ukraine countries wanaweza kupenyeza majeshi yao Kwa Jina la Ukraine wakamtembezea moto Russia Hadi Kremlin.

JE Russia anaweza kutumia mbinu za kikatili za US kuizima Kiev Kwa Nyuklia kama Hiroshima mchezo uishe.

JE, Russia anareserve ya kutosha ya silaha kupigana hata miaka kumi huku adui akiwa na masponsor Dunia nzima. ( Hili ninamashaka maana nimeona video maengineer wa kirusi wanahariri vifaru vya kizamani viende vitani na nimeona kapokeamsaafawa vifaru 20.



Nini maoni yako.


Mimi ni pro Russia Kwa kichinichini
Nchi zote zitakuwa hoi.
Uchumi wa ulaya hata mwaka haujaisha unaoumulia oxygen, uingerezs uchumi wake uko kwenye hatari zaidi ya kuanguka, germany viwanda vinafungwa, itafika kipindi hata pesa ya kumpa ukraine itakosa.
 
Zaidi ya kutoa silaha, West hawawezi kutuma vikosi vyao wakafe, hiyo ondoa kabisa
Ingekuwa Zimbabwe sijui wap huko wangepeleka, ila siyo Russia mana wanajua muziki wake
Russia ipi.! Hii ambayo wanajeshi wameisha hadi wanapeleka mgambo/wafungwa na silaha wameishiwa sasa wamebaki kutishia nyuklia.
 
Nchi zote zitakuwa hoi.
Uchumi wa ulaya hata mwaka haujaisha unaoumulia oxygen, uingerezs uchumi wake uko kwenye hatari zaidi ya kuanguka, germany viwanda vinafungwa, itafika kipindi hata pesa ya kumpa ukraine itakosa.
Sasa Ujerumani akifikia hapo sasa Russia yenyewe si atakuwa hayupo maanake uchumi wake unazidiwa hata na Korea Kusini.
 
Sasa Ujerumani akifikia hapo sasa Russia yenyewe si atakuwa hayupo maanake uchumi wake unazidiwa hata na Korea Kusini.
Uchumi wake haujatetereka euro inaanguka waka ruble inazidi kutengamaa.
 
.
JamiiForums1695996088.jpg
 
Hujui brinkmanship inavyotumika kwenye Geopolitics
Hatma ya hii Vita, inaamuliwa Kremlin

Ilikua aidha waende mdogo mdogo wakilinda miundo mbinu na raia, au waweke ubinadam pembeni na wapambane kama vita inavyotaka

Vita ni mbaya, na kadri inavyozidi kuwa mbaya na hatari ndio inavyowahi isha

Ndio Russia walicho amua now, ili vita iishe haraka damage kwa udai inabidi iwe kubwa

So now angalia kitakachotokea

Na hakuna Marekani wala nchi yoyote ya Ulaya magharibi itakayo ingilia zaidi ya kutuma silaha zaidi

Otherwise wawe wajinga kupita kiasi ku risk WW3 kwa nchi isiyo na maslahi yoyote kwao
😂😂😂afu unamwambia mwenzako hajui chochote😂😂😂
 
JE Russia ataishiwa silaha.?
Je Pro Ukraine countries wanaweza kupenyeza majeshi yao Kwa Jina la Ukraine wakamtembezea moto Russia Hadi Kremlin.

JE Russia anaweza kutumia mbinu za kikatili za US kuizima Kiev Kwa Nyuklia kama Hiroshima mchezo uishe.

JE, Russia anareserve ya kutosha ya silaha kupigana hata miaka kumi huku adui akiwa na masponsor Dunia nzima. ( Hili ninamashaka maana nimeona video maengineer wa kirusi wanahariri vifaru vya kizamani viende vitani na nimeona kapokeamsaafawa vifaru 20.



Nini maoni yako.


Mimi ni pro Russia Kwa kichinichini
Pia uchumi wa nchi za ulaya unaporomoka kwa kasi ya ajabu huku uchumi wa Russia ukikua,pamoja na vikwazo vyote alivyowekewa,acha ulaya iendelee kujimaliza yenyewe
 
Vita vimewakuta Warusi hadi Moscow, maana wanasakwa hadi wanywa gongo waende wakapigane......
Akina yakhe walikua wamezoea kuishi maisha huku wakskliza habari za vita kwenye radio na TV, ila ghafla wamejikuta wanaikimbia nchi.
Marekani hupigana vita aina nyingi tena kwa wakati mmoja ila ni zamani sana tangu waburuze wananchi waende kuisaidia taifa.
 
Back
Top Bottom