Wachawi na magereza

Wachawi na magereza

ivi yule mtoto aliyetikisa sana kwa kula nyama za watu akienda kwa jina la utani Rama mla watu Yuki wapi?
 
Ningekua na namba yako ningekutumia 700 ili 500 ununue juice halafu miambili yakutolea

Ha ha haaaa. Asante mkuu, hizi makitu kama hufanyia mambo fulani huwezi kuzijua. Wengi wanaishia kubisha tuu. Hiyo 700 ukaitoe kanisani basi, utakuwa umenipa indirectly
 
ivi yule mtoto aliyetikisa sana kwa kula nyama za watu akienda kwa jina la utani Rama mla watu Yuki wapi?
dah aisee imenikumbusha mbali sana, ebu niulize sasa yule mchawi ni gani anayeonekana? au vitu volifeli?
 
Dogo nilimkuta butimba mwanza,nienda kumuona rafikiyangu ila ameisha yoka kuwa hana hatia
 
Huwa najiuliza kwanini uchawi hautumiwi kwa maendeleo?
 
Nimekutana na wawili walioweza kutoka gerezani kwa nguvu za kichawi.

Mmoja alifungwa kama leo, kesho yake asubuhi askari wakakuta kinyesi mbele ya mlango huku kufuri zito bado lipo mlangoni, walipofungua wakauliza, ni nani kanya mbele ya mlango na huku ulikuwa umefungwa, jamaa akajibu ni yeye. Akaulizwa alitokaje mpaka akaenda kunya kwa nje akajibu "niliamka usiku nikajikuta tu nimetoka nje ya gereza na kujisaidia kisha nikarudi ndani tena"

Siku hiyo hiyo akaachiwa huru asitoroshe wafungwa wengine. Alipoachiwa alienda kituo cha polisi na gunia la nyoka kulipiza kisasi kwa waliomkamata...ilikuwa patashika

Huu uchawi nitajifunza huu
 
Nimekutana na wawili walioweza kutoka gerezani kwa nguvu za kichawi.

Mmoja alifungwa kama leo, kesho yake asubuhi askari wakakuta kinyesi mbele ya mlango huku kufuri zito bado lipo mlangoni, walipofungua wakauliza, ni nani kanya mbele ya mlango na huku ulikuwa umefungwa, jamaa akajibu ni yeye. Akaulizwa alitokaje mpaka akaenda kunya kwa nje akajibu "niliamka usiku nikajikuta tu nimetoka nje ya gereza na kujisaidia kisha nikarudi ndani tena"

Siku hiyo hiyo akaachiwa huru asitoroshe wafungwa wengine. Alipoachiwa alienda kituo cha polisi na gunia la nyoka kulipiza kisasi kwa waliomkamata...ilikuwa patashika

Hahahahaaa Mjomba unanichekesha balaaa...
Gunia la minyoka... teh teh teh
 
Back
Top Bottom