Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa nnDuh
hadi nimecheka
Ningekua na namba yako ningekutumia 700 ili 500 ununue juice halafu miambili yakutolea
dah aisee imenikumbusha mbali sana, ebu niulize sasa yule mchawi ni gani anayeonekana? au vitu volifeli?ivi yule mtoto aliyetikisa sana kwa kula nyama za watu akienda kwa jina la utani Rama mla watu Yuki wapi?
ivi yule mtoto aliyetikisa sana kwa kula nyama za watu akienda kwa jina la utani Rama mla watu Yuki wapi?
Nimekutana na wawili walioweza kutoka gerezani kwa nguvu za kichawi.
Mmoja alifungwa kama leo, kesho yake asubuhi askari wakakuta kinyesi mbele ya mlango huku kufuri zito bado lipo mlangoni, walipofungua wakauliza, ni nani kanya mbele ya mlango na huku ulikuwa umefungwa, jamaa akajibu ni yeye. Akaulizwa alitokaje mpaka akaenda kunya kwa nje akajibu "niliamka usiku nikajikuta tu nimetoka nje ya gereza na kujisaidia kisha nikarudi ndani tena"
Siku hiyo hiyo akaachiwa huru asitoroshe wafungwa wengine. Alipoachiwa alienda kituo cha polisi na gunia la nyoka kulipiza kisasi kwa waliomkamata...ilikuwa patashika
Huu uchawi nitajifunza huu
Huwa najiuliza kwanini uchawi hautumiwi kwa maendeleo?
Huu uchawi nitajifunza huu
Kwani mpaka sasa umeshajifunza uchawi wa aina ngapi.?!
Chonde sana mkuu!,usijifunze;Sumu huwa haionjwi wala nyuki huwa hapigwi busu.
mkuu dadavua kidogo basi
Naona nakaribia kumaliza wote kuazia wa kitabu mpaka wa majini
Nimekutana na wawili walioweza kutoka gerezani kwa nguvu za kichawi.
Mmoja alifungwa kama leo, kesho yake asubuhi askari wakakuta kinyesi mbele ya mlango huku kufuri zito bado lipo mlangoni, walipofungua wakauliza, ni nani kanya mbele ya mlango na huku ulikuwa umefungwa, jamaa akajibu ni yeye. Akaulizwa alitokaje mpaka akaenda kunya kwa nje akajibu "niliamka usiku nikajikuta tu nimetoka nje ya gereza na kujisaidia kisha nikarudi ndani tena"
Siku hiyo hiyo akaachiwa huru asitoroshe wafungwa wengine. Alipoachiwa alienda kituo cha polisi na gunia la nyoka kulipiza kisasi kwa waliomkamata...ilikuwa patashika
NHapa nimekumbuka story za jambazi Nyombi yule wa mbeya,
eti alikuwa na uwezo wa kujigeuza kuwa sisismizi akatoka pale gereza la LUANDA la Mbeya