Wachawi na magereza

Wachawi na magereza

attachment.php
 

Attachments

  • witch.jpg
    witch.jpg
    6 KB · Views: 255
Root hii si kweli uchawi upo tena live kabisa hata vitabu na misahafu vimeelezea uwepo wa uchawi ningejua uko wapi na una nafasi ningekualika uje huku niliko ujionee....niko field ya utambuzi wa kiroho na nguvu za kishirikina karibu sana
[emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Utapewa majibu kibao, mara sijui magereza nayo yamezindikwa mara sijui nini bla bla kibao, Ila mleta mada jua kitu kimoja, uchawi hakuna zaidi ya stori tu..za sisi watu wa ngozi nyeusi ambao hatuwezi kufunua vitabu na kujipatia maarifa, zaidi ya kutegemea soga za vijiweni tu!
 
Ningekua na namba yako ningekutumia 700 ili 500 ununue juice halafu miambili yakutolea
Siku hizi sipendi sana kusoma soma humu maana najikuta napata hasira, yaani umpe 700 kwa hiyo stori ya kusimuliwa tu? Sawa tu na mimi nikiamua kukuambia kwamba nilipokuwa Sumbawanga nilimtukana mzee asubuhi nikajikuta nimelala mtoni, ndo mnapenda kuamini upuuzi wa hivyo?, na log off!
 
Back
Top Bottom