Daata
JF-Expert Member
- Dec 24, 2012
- 4,673
- 1,875
unatumiwa wewe tu hujui au umekariri, hayo ma luxury coach unayopanda mengine yamepatikana kichawi.
Hebu toa ufafanuzi zaidi wanatumiaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unatumiwa wewe tu hujui au umekariri, hayo ma luxury coach unayopanda mengine yamepatikana kichawi.
yeye jombi alikuwa na vobweka gani mkuu?Jombi na si Nyombi
yeye jombi alikuwa na vobweka gani mkuu?
Sina jinsi kwakuwa tayari ninejifunza mwingine tena kwa muda mrefu tuu
Unafanyia practise hayo uliyojifunza.?! Uchawi unatisha sana mkuu.
Root hii si kweli uchawi upo tena live kabisa hata vitabu na misahafu vimeelezea uwepo wa uchawi ningejua uko wapi na una nafasi ningekualika uje huku niliko ujionee....niko field ya utambuzi wa kiroho na nguvu za kishirikina karibu sanaHakuna uchawi
Root hii si kweli uchawi upo tena live kabisa hata vitabu na misahafu vimeelezea uwepo wa uchawi ningejua uko wapi na una nafasi ningekualika uje huku niliko ujionee....niko field ya utambuzi wa kiroho na nguvu za kishirikina karibu sana
Wapi upo tufike
Ningekua na namba yako ningekutumia 700 ili 500 ununue juice halafu miambili yakutolea
Huu uchawi nitajifunza huu
NHapa nimekumbuka story za jambazi Nyombi yule wa mbeya,
eti alikuwa na uwezo wa kujigeuza kuwa sisismizi akatoka pale gereza la LUANDA la Mbeya
Huu uchawi nitajifunza huu
kama wewe mchawi nivute tuonane
Hahhahaaaaa mpwa si wewe hapa nakuona?
Hahhahaaaaa mpwa si wewe hapa nakuona?
Mtani sio kwa kunichunia huku
Salaam wakuu, leo naomba kujua kuhusu wachawi, je kwa nini huwa wanashindwa kutoka gerezani kama wakifungwa? Kwa nini hata wasijigeuze mende au mjusi ili watoke? Au ndio tuseme uchawi una sehemu zake za kuufanyia na sio popote?
ina maana hata huyu jamaa nae alikuwa mchawi?, wengine wanasema jamaa alikuwa na kpajiMbona vitabu vya Mwanamalundi vimejaa tele? Jamaa uliutumia uchawi wake kula bata zama za ukoloni?