Wachawi tukutane hapa

Wachawi tukutane hapa

Nilisafiri na ungo hadi white house kwa Trump.
Hapa ninavyokoment nipo makaburini huku nafufua misukule.
Huwa wananiita kiranja wa wachawi.

Ndiyo maana sijielewi elewi juu yako, ushanifanyia yako kumbe!
 
Tabia mojawapo kubwa sana ya Wachawi ni kuwa na husuda yaani wivu wa Hali ya Juu sana kutopenda kuona Mtu mwingine alifanikiwa , akiendelea , hapendi kuona Mtu amekula vizuri akashiba, hapendi kuona Mtu kavaa vizuri na kupendeza, hapendi kuona wana ndoa wakielewana na kustawi, hapendi kuona Mtu anafaulu shuleni, hapendi kuona Mtu ana Gari au Nyumba nzuri, n.k mbaya zaidi yani kubwa kuliko uchawi ni dhambi yenye kurithiwa toka kizazi hata kizazi, Mtu aweza kuwa mlevi au mwizi lakini siyo lazima kuwepo na mrithi wa ulevi au Wizi , lakini familia/Ukoo ukiwa na mchawi basi lazima urithiwe na Mtu wa karibu ! Au mnasemaje akina Mshana jr, mzizi mkavu etc? Je hili ni Kweli au siyo Kweli? Na kiukweli jaribu kufuatilia maeneo yenye kusifika Kwa uchawi angalia Kama kuna maendeleo [emoji87][emoji87][emoji87] maana kila Watu wakijaribu kuinuka ktk Nyanja mbalimbali wanarudishwa nyuma ! Angalia Bagamoyo iko karibu na Dar, Tanga n.k ndo maana wengine hawathubutu kujaribu kujenga makwao
 
Wachawi walimuua mama yangu
Nilikuwa nampenda sana, mama hajafaidi matunda yake kama mzazi, mama hajamuona mjukuu wake,mama hajamuona mke wangu

Wachawi Mungu akawalipe sawasawa na matendo yenu.
 
Wachawi siwezi kuwasahau .. moja yatukio natoka zangu kuangalia mpira mechi ya Madrid na atletico Madrid final ya UEFA ,njia panda nawaona watu watatu nachungu ndani mmeweka moto ukiwaka balaaa ,,kwadharau Nkawasalimia mkaa kimya !!! Sema nini sitousahau usiku huo ...Mlinitembeza usiku kucha utazan Mimi ni mgeni kumbe kila kona za mtaa nazijua lakin maajabu geto nikafika saa 11 asubuh ...daaahhhhhh shikamooo wachawi Sema namm mlinitambua siku zilizofuata ..dawa yamoto moto
 
Back
Top Bottom