Wachawi tukutane hapa

Wachawi tukutane hapa

Nina maswali kadhaa kwako mchawi wa Sumbawanga.
1. Hivi nyama ya mtu tamu na utamu wake ni kama wa nyama gani?
2.Umesema ulipokuwa Kariakoo wachawi wenzio walikuwa uchi, wewe je, ulikuwa uchi?

3.Halafu mimi nashangaa sana. Ninyi wachawi zamani mlikuwa mnajificha sana,lakini siku hizi mambo hadharani,kama wewe sasa unajitangaza tu bila aibu kwamba umchawi,na kwa kweli wachawi ni watu ambao kwenye jamii hawakubaliki.Nini kimetokea?Naomba kujua.

1.sijawahi kuila kwaiyo sijui mkuu
2.wao ndo wataniona uchi lakini wew huwezi sababu huna nguvu(dark power)
 
Wachawi na wanga tofauti?
Ili kama wanga wapo pia wajue wakakutane wapi
Wachawi=wanadhuru, wakurestisha in peace kabisa ukilemaa.
Wanga= wazinguaji, wanaweza kukuingiza nyoya la kuku skioni. Kukujaza gesi tumboni ili ijambe tu au wanaweza kukutia vidole kwenye masaburi!![emoji13] [emoji13] raha yao wakuone ukihangaika!

Note; kuna mtu amenielekeza, sjui kama ni kweli!
 
Wachawi=wanadhuru, wakurestisha in peace kabisa ukilemaa.
Wanga= wazinguaji, wanaweza kukuingiza nyoya la kuku skioni. Kukujaza gesi tumboni ili ijambe tu au wanaweza kukutia vidole kwenye masaburi!![emoji13] [emoji13] raha yao wakuone ukihangaika!

Note; kuna mtu amenielekeza, sjui kama ni kweli!
Duuh kwahyo bora kuwa mchawi au mwanga? Ukiambiwa uchague kimoja wapo..
 
Back
Top Bottom