Wachawi tukutane hapa

Wachawi tukutane hapa

Serikali haiwezi kuamini uchawi hata siku moja labda kwa nchi za wenzetu wao uchawi nje nje na kila kitu kipo wazi

Ndo mana ukipatikana na tuhuma za uchawi serikali ndo yakwanza kukutetea.
Mkuu, serikali sio kwamba haiamini uchawi inaamini maana hata hao wenyewe wana viashiria vingi tu vya uchawi eg. Tourch of arm. Unajuwa nini maana ya kukizungusha hiki kitu all over the country before something happen? Hawa serikali ni wachawi ila wewe ukipeleka kesi yako inayohusu uchawi hautasikilizwa kwa7babu hizi kesi hazina ushahidi ndio maana wajifanya hawaamini lakini nafsi zao zinaamini kuwa uchawi upo.
 
Naomba niwauliza nyie wachawi... Eti nikweli ukiacha mlango wazi ni vigumu nyinyi kuingia ndani, na kwanini kama mnaeza kupitia ukutan ukaingia ndani kwann usi njigi njigi warembo wote wa kitaa
 
Wachawi watu wabaya sana wana mambo ya ajabu vitisho, visasi, chuki, wivu...........zao kbs.
Mkuu ni kweli kabisa kuna rafiki yangu mwanae anasoma shule fulani ipo Tanga yupo form2,mtihani wa kuingia form2 alikuwa wa kwanza kapewa zawadi shuleni,alipokwenda kuanza term ya kwanza form2 kaanza kupagawa na mapepo hadi ninapoandika hapa bado hajakaa sawa!sasa sijui kama ndo wamefanya yao!ila tupo kwenye maombi mazito maana giza halijawahi kuishinda nuru!
 
aisee mloge Mkulu bs amtumbue Bashite na mloge atoe ajira kwa vijana
 
Nilisafiri na ungo hadi white house kwa Trump.
Hapa ninavyokoment nipo makaburini huku nafufua misukule.
Huwa wananiita kiranja wa wachawi.

Mcutiie Mbona unaniangusha tena dahhh
 
Mkaloge wapi.? Leo nendeni BoT watu waimalize weekend kwa wema zaidi
 
nataka uniuzie busha la elf5 nimrushie jamaa flan hv anamfatafata wife
 
Huu uzi peleka jukwaa la utanii brooo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
awa wanga na wachawi wa kibongo/afrika siku wakiweza ku merge na technologia ya wazungu. dunia itakuwisha. just imagine mtu amekaa kwa laptop yake ana browse JF au FB anacheck list ya member atamchagua mtu anatuma vitu vyake online nihatari. Kwa sababu wanapenda kutest sana hawa jamaa
 
naomba kuelezwa vitu ambavyo mchawi akivipata kutoka kwa mtu anaye mloga anaweza akamfunga kukojoa nk huyo anaye mloga
 
Back
Top Bottom