Mathanzua
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 17,251
- 22,929
Nina maswali kadhaa kwako mchawi wa Sumbawanga.Habari zenu
Niende moja kwa moja kwenye mada maana wachawi hatunaga maneno mengi ni vitendo tu.
Kwa miaka mingi sana nilipenda wachawi wote wa (jf)tufahamiane! Ndiwooo tufahamiane hili tusilogane(interlogertive)
Mimi nipo SUMBAWANGA huku mimi ndo brand manager nina uwezo wakuamisha mimba na uchungu.
Ukimpa mtu mimba na ukaikataa kwa makusudi nina uwezo wa kuiamisha mimba hiyo ije kwako.
Huwa napiga root kutoka SUMBAWANGA hadi UYOLE,MBEYA
DAR-ES-SALAAM nilishawahi kwenda ila nilichokutana nacho kule ni hatar hasa hasa pale KARIAKOO wachawi kila kona ya lile soko kama unavyojua waarabu wanatambuana kwa vilemba niliwajua nao wakanijua aisee yaaani walikua watupu(uchi wa mnyama)
Tufaamiane basi
Cc.wachawi
Karibuni SUMBAWANGA
1. Hivi nyama ya mtu tamu na utamu wake ni kama wa nyama gani?
2.Umesema ulipokuwa Kariakoo wachawi wenzio walikuwa uchi, wewe je, ulikuwa uchi?
3.Halafu mimi nashangaa sana. Ninyi wachawi zamani mlikuwa mnajificha sana,lakini siku hizi mambo hadharani,kama wewe sasa unajitangaza tu bila aibu kwamba umchawi,na kwa kweli wachawi ni watu ambao kwenye jamii hawakubaliki.Nini kimetokea?Naomba kujua.