Shadrack K. Lwila
JF-Expert Member
- Jul 17, 2016
- 4,925
- 14,287
Habari zenu
Niende moja kwa moja kwenye mada maana wachawi hatunaga maneno mengi ni vitendo tu.
Kwa miaka mingi sana nilipenda wachawi wote wa (jf)tufahamiane! Ndiwooo tufahamiane hili tusilogane(interlogertive)
Mimi nipo SUMBAWANGA huku mimi ndo brand manager nina uwezo wakuamisha mimba na uchungu.
Ukimpa mtu mimba na ukaikataa kwa makusudi nina uwezo wa kuiamisha mimba hiyo ije kwako.
Huwa napiga root kutoka SUMBAWANGA hadi UYOLE,MBEYA
DAR-ES-SALAAM nilishawahi kwenda ila nilichokutana nacho kule ni hatar hasa hasa pale KARIAKOO wachawi kila kona ya lile soko kama unavyojua waarabu wanatambuana kwa vilemba niliwajua nao wakanijua aisee yaaani walikua watupu(uchi wa mnyama)
Tufaamiane basi
Cc.wachawi
Karibuni SUMBAWANGA
Niende moja kwa moja kwenye mada maana wachawi hatunaga maneno mengi ni vitendo tu.
Kwa miaka mingi sana nilipenda wachawi wote wa (jf)tufahamiane! Ndiwooo tufahamiane hili tusilogane(interlogertive)
Mimi nipo SUMBAWANGA huku mimi ndo brand manager nina uwezo wakuamisha mimba na uchungu.
Ukimpa mtu mimba na ukaikataa kwa makusudi nina uwezo wa kuiamisha mimba hiyo ije kwako.
Huwa napiga root kutoka SUMBAWANGA hadi UYOLE,MBEYA
DAR-ES-SALAAM nilishawahi kwenda ila nilichokutana nacho kule ni hatar hasa hasa pale KARIAKOO wachawi kila kona ya lile soko kama unavyojua waarabu wanatambuana kwa vilemba niliwajua nao wakanijua aisee yaaani walikua watupu(uchi wa mnyama)
Tufaamiane basi
Cc.wachawi
Karibuni SUMBAWANGA