Wachawi wanavyoiba nyota za watu wanafanyaje?

nyie mnaojkutaga n waelewa sana et sayans na tcnlogia ndio ua mko empty box hata ao wazungu unao waamn kwa kutofatilia hayo mambo uwez kufanya nao kaz kama awajachek astronolgy yako kujua ww n mtu wa aina gan ndio mana kama unanyota kubwa sahau kula shavu na wazungu utaskia yule jamaa alkua housboy tu leo yuko mbele na wale wazungu wa kanisa flan, Weka akil yako katika mapokeo ya kujfunza vtu vipya sio kile unachokijua tu jfunze na usvyo vjua dunia n zaid ya uijuavyo
 
Tangu 3rd july
 
Niliwahi kushauriwa baada ya kuona nilikuwa na bahati sana kila kitu mbaka marafiki wengi walikuwa wananionea wivu, mfano tu hata mademu walikuwa wananigombania kabisa unashuhudia unakuta demu anaacha anakoenda naenda kula tena simjui hanijui nimekutana naye road tu, ukija kila nachofanya kinaenda, ikaja kuharibika kila kitu hovyo tu mbaka nikawa napiga punyeto mademu sina kabisaa nikitingoza nazungushwa nawakati nilikuwanatongozwa mimi yaan true kabisaa hapo ndipo nikahisi uchawi upo na nyota ya mtu huaribiwa kabisaa
 
Mbona umeishia njiani?
 
Umeeleweka sana mkuu. Mimi juzi kwenye kundi la Whatsapp la ofisi niliwachana na mtu niliyekuwa ni target yangu ujumbe aliupata na baada ya siku moja tukawa na kikao akawa hana amani.Uchawi wa kuiba nyota upo na huwa wakishindwa, wanaichafua .
Kuna jamaa nilimlea (alisomea) kwangu hadi akapata kazi. Akaja kutamani cheo kazini kwao, akaenda Tanga kwa Mandondo eti mganga (mimi naita mchawi) amfanyie maarifa apande cheo. Mchawi akamwambia mtoe ndugu yako kafara, harakaharaka akanitoa mimi, mchawi akahangaika kweli bila mafanikio, jamaa akamwambia mbona hakuna matokeo, mchawi akamwambia huyu uliyemtoa ni ndugu yako wa damu kweli? Mbona mizimu inamkataa? Inataka ndugu yako wa damu! Akasema siyo ndugu yangu wa ndani, mchawi akasema kama siyo ndugu yako wa damu kafara haitakubali, wakamalizana bila mafanikio. Siku moja huyu jamaa akakosana na mpwa wake aliyemsindikiza kwa Mandondo; hadi akamtia ndani Polisi, huyu Mpwa kikamuuma ni kwanini mjomba anitie Polisi? Natoa siri zake, ndiyo mimi kuambiwa kuwa nilitolewa kafara lakini mizimu ya mchawi ikagoma. #Kikulachokiinguonimwako.
 
Umemaliza.! Case closed!
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kwahiyo majini wanaichukua kutoka kwako wanaipeleka kwa mganga?
 
Kwa maono yangu ni mambo ya imani. Ila amini usiamini nyota huibwa kwa njia ya Kujamiiana, kushare vitu kiundani na ukaribu wa zaidi. Na nyota hizo hizo hupandishwa kwa dua na sala. Kama hujaelewa uliza hapa
Nyota zinapandishwaje?

Kupandishwa kwenda wapi?
 
Kwahiyo nyota inakaa rohoni? sio mwilini?

Mchawi anaweza kufika kwenye roho mtu?

Kumbuka roho ya mtu ina nguvu za kimungu! Mchawi anaweza kuingia huko? Kwa namna gani?
 
Umeeleweka sana mkuu. Mimi juzi kwenye kundi la Whatsapp la ofisi niliwachana na mtu niliyekuwa ni target yangu ujumbe aliupata na baada ya siku moja tukawa na kikao akawa hana amani.Uchawi wa kuiba nyota upo na huwa wakishindwa, wanaichafua .

Washenzi sana
Dawa yao ni Kumuomba Mungu sana na Dua kwa wingi
 
Angalau hapa naanza kuelewa.

Wanaifunga nyota kwa namna gani?

Ni kitu kinachoweza kuonekana kwenye roho? Wanakifungaje?
 
Eleza kwa lugha rahisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…