Wachawi wanavyoiba nyota za watu wanafanyaje?

At least you are making sense!

Ahsante sana mkuu!
 
Farao alitumia uchawi kufanya miujiza thus alishindwa kwa
 
Mambo meng yamekaaga kiimani tu usipo amini hayapo na huto yaona na wala hayatokuzulu wala kukusumbua

Wacawi ni watu gan ushawai kuwaona
Nyota ni nn unafanyaje kaz na inafanana vp iyo nyota na inatokana na nn

Ayo mambo yote ni mambo ya iman na kuamin na ndo maana ukiwahoji watu weng wanaoyatetea ayo mambo watakujibu tu ww sio mtu wa imani mara ww wakishua maana yake wachawi na nyota ni vtu vya maskini
 
Wachawi wapo na wanafanya kazi.

Lakini hizi habari za nyota zina utata.
 
Jiwe alikuwa mchawi balaa
 
Asante sana mkuu, umemaliza Kila kitu. Kuna watu hawaamini uwepo wa mambo ya roho mchafu kwa sababu tu hawajawahi kukutana na changamoto za kiroho. Ipo pia mtu kumtazama mtu mwingine kwenye utosi. Ogopa sana mtu mkiwa mnaongoea halafu akawa anakuangalia kwenye utosi Kama Kuna kitu vile
 
Asante Sana Mkuu Ulivosema yote ni Kweli ila Sikujua Kuhusu Mambo ya bustani Mengine yote ni Kweli Shukrani
 
Umetisha Mkuu[emoji23][emoji23][emoji106]
 
Naomba niangalizie na me mkuu tar 1/9
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…