Wachawi wanavyoiba nyota za watu wanafanyaje?

Bado siamini kama mtu anaweza kuiba nyota yako lakini bado naendelea kujifunza zaidi katika hili

Nyota yako inafifia baada ya wewe kutofahamu madhaifu yako ya asili

Ukumbuke nyota 1 unashea na watu wengine wengi sana hivyo unaweza kufikiri fulani ameiba nyota yako kumbe nyota zenu zinafanana na wewe ulizembea kushughulika na madhaifu yako
 
Mbowe hawezi kufungwa siyo kwa sababu ya nyota bali ni kwa sababu kesi yake haina ukweli wowote na jumuiya za kimataifa hazitakubali hilo
Kwani nyota yake siyo ya jelajela? Mara ngapi anaingia jela hadi sasa? Kama nyota zinahamishika vipi hamuwezi kuwahamishia PLPL na Ally nyota ya jelajela ya Mbowe?
 
Trh 25/12


Namba zako za bahati ni
1, 4, 8, 10, 13, 17, 19, 22, 26

Kazi nzuri kwako ni zile zinazohusiana na masuala ya hela (finance) na umeneja. Ukiwa meneja kwenye kampuni yoyote lazima hiyo kampuni ifanikiwe

Una wachawi wengi wanaokuloga wakiongozwa na TABIA YAKO YA KUTAKA KUFAHAMU KILA KITU PIA WEWE NI MGUMU KATIKA KUSAMEHE, na mara nyingi unakuwa unawaza mambo mabaya yatakutokea
 
We nae toa mapicha yako ya kutisha huko
 
Shukuran mkuu
 
Kitu kingine kizuri kujifunza baada ya hizo nyota ni kufahamu kuhusu MALAIKA, LUGHA WANAYOTUMIA MALAIKA NA ISHARA ZAO WANAPOKUJIBU AU KUKUELEKEZA JAMBO
 
You sound Metaphysicist than Occultist and Cosmologist either!
 
You sound Metaphysicist than Occultist and Cosmologist either!
Occult sipendi kabisa ingawa nyota yangu ina uhusiano wa karibu na mambo hayo

Naamini bahati na mikosi unatengeneza mwenyewe ukisaidiwa kwa karibu na nyota yako (haiba yako ya asili)

Labda white wizard hiyo nipo tayari kufanya ila siyo black wizard
 
We nae toa mapicha yako ya kutisha huko
If you reviewed my post comprehensively, it included prior- apology to the Content Manager, the Editor and the audience for graphic images. If you are not of the mass-communication fraternity, you won't understand this.
 
Japokuwa najuwa kuwa nyota zinakaa angani tu lkn kwa muktadha wa mada niungane na hadhira kwamba nyota zinakaa ndani ya mtu, sasa basi, nijuavyo ni kuwa kinachoweza kuhamisha nyota (siyo kuiondoa yote) ni zinaa na uasherati.
Kwa mara ya kwanza nimekutana na mtu anayejua kuhusiana na nyota, ni kweli bro, nyota ya mtu inachukuliwa lea urahisi sana bila yeye kujua anapozini.
Na wachawi wakitaka kukuchukulia nyota yako kirahisi, njia kubwa wanachofanya, pepo au roho chafu au jini mahaba linamwingia mwanamke waliomchagua, halafu huyo mwanamke wanakukutanisha Naye inaweza kuwa kwenye basi, kazini, au ex wako,na yule mwanamke akikuona tu anaanza kukupenda isivyo kawaida.
Basi ukilala Naye, lile jini ndio linapata access ya kuchukua nyota yako
 
Ukumbuke kuzini ni starehe na starehe ni gharama

Kama unataka kupoteza hela kirahisi wewe kuwa bize na wanawake hukawii kufilisika

Ila kama una hela za kutosha na vitega uchumi vingi hakuna uzinzi utaiba nyota yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…