Wachechniya wamechukua tenda ya kuwafurusha Ukraine kutoka Kursk. Wamekomboa maeneo kadhaa huku jeshi la Urusi likisonga mbele Donest

Wachechniya wamechukua tenda ya kuwafurusha Ukraine kutoka Kursk. Wamekomboa maeneo kadhaa huku jeshi la Urusi likisonga mbele Donest

Sasa hao waukraine waliopo kursk wanafanya nini si watakufa tu kwa njaa hawana supply yoyote ya chakula maji wala silaha wanatakiwa kujisalimisha au kufa njaa
Mbinu hii Warusi waliwahi itumia walipovamiwa na Napoleon Bonaparte, walipiga viuagugu kwenye majani farasi wakafa njaa wakafunga njia no water and food supply walikufa kama nzi yaani kweli una akili timamu unapigana na URUSI unaingia ndani ya URUSI huku unakenua kenua
 
Back
Top Bottom