redio
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 5,813
- 12,921
Kuwa na wageni wengi wanao cheza ligi si tatizo, Inatakiwa wachezaji wetu waongeze Level za kiwango.Kaka exposure ni jambo kubwa katika kufanilisha mission. Wachezaji wetu hawapi exposure kubwa ndani ya timu kutokana na wageni wengi na hawakupata exposure AFCON, wameachwa nyumbani, watakuwa lini? Tanzania kwasasa hatuna mshambuliaji mzawa zaidi ya Mzize, ambae nae ameachwa AFCON hii, unadhani AFCON ijayo atakawa Bora kutoka wapi?
Samata, Msuva, Novatus Dismas n.k wote walitokea katika ligi hii kwenda nje na wageni walikuwepo.
Tatizo mpira/michezo ili ufanikiwe ucheze katika Top level Inatakiwa ujitoe na kuacha kila starehe na wengi Wana shindwa hasa wakianza kupata jina.