Njemba Soro.
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 3,732
- 6,561
ghana na tunisia ni failures? Tanzania tuna nini kuwazidi hao jamaa?Tunajilinganisha with failures? Ndio hii level tuliofika? Seriously
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ghana na tunisia ni failures? Tanzania tuna nini kuwazidi hao jamaa?Tunajilinganisha with failures? Ndio hii level tuliofika? Seriously
Mzize, Kibu, Msuva ingekuwa combination hatari sana, wana vimo na nguvu kama za wachezaji wa Afrika Magharibi, Kongo na Waarabu, wanakimbia na wanapenda kujaribu golini kila wakati. Wachezaji 6 tu wa kigeni wangetosha sana kwenye timu.Brother , Naamini kungekuwepo na combination ya mzize na kibu plus msuva tungepata matokeo .
Mzize amefundishwa hata kukaba.
Hata France , Giroud alionekana Hafungi au kufanya kitu kikubwa lakini alikuwa na kazi maalumu ya kupunguza mabeki wawe busy kwake ili nafasi ipatikane .
Mzize ni mpambanaji na siku akiwa Kwenye form ni hatari.
Ghana na Tunia, Algeria kule kuna nyota ambao wanacheza kwa kubakiza miguu yao na nguvu zao kwaajili ya timu zao ulaya, wanacheza kwa kujisikilizia maana tayari wanayo mafanikio, lakini Mzize bado anajitafuta angekuwa tayari kufia uwanjani pale kuipambania timu na kujipambania yeye mwenyewe, kwa vyovyote vile angeongeza juhudi kumzidi Samatta ili atoke. Ona pale kwenye mashindani wachezaji wanaocheza kwenye ligi zao za ndani na ndani ya Afrika ndio waliokuwa wanacheza kwa nguvu na bidii kubwa kuliko mafather wa Ulaya. Salah anajifanya kuwa ameumia lakini ni uongo mtupu, hakuumia sana kivileee bali anaiwazia Liverpool.ghana na tunisia ni failures? Tanzania tuna nini kuwazidi hao jamaa?
Hiyo sio kweli, bila kumpatia kijana nafasi mara kwa mara dk 90 hawezi kutoboa. Hawa makocha wakubwa wanaokuja Simba, Yanga, Azam, nk hawataki kujaribu wachezaji wadogo ili kulinda heshima na vibarua vyao. kwakuwa ana wachezaji 12 (zaidi timu) mahiri tayari kutoka nje anaamua kuchezesha hao hadi hapo watakapoumia, kuugua au kuwa na adhabu . Hata hawa akina Nondo, Bacca Ibrahimu, Fei, Mzize, Kibu walitokana na huruma ya Nabi na Robertihno tu kuwaamini dhidi ya wageni.Kuwa na wageni wengi wanao cheza ligi si tatizo, Inatakiwa wachezaji wetu waongeze Level za kiwango.
Samata, Msuva, Novatus Dismas n.k wote walitokea katika ligi hii kwenda nje na wageni walikuwepo.
Tatizo mpira/michezo ili ufanikiwe ucheze katika Top level Inatakiwa ujitoe na kuacha kila starehe na wengi Wana shindwa hasa wakianza kupata jina.
HujitambuiKatoka Ghana, Tunisia, Zambia na Algeria, Cameroun na Ivory Coast chupuchupu sisi ni kina nani hadi tulalamike hivi? Ridhika na ulichopata
Jua thamani yako, acha tamaa kutamani makubwa yaliyo juu ya uwezo wako. Ndio chanzo cha tabia mbaya kwa vijanaHujitambui
Nani achukue nafasi ya Msuva?, Kibabage acheze huku kwa Tshabalala?.Kaka hazingui akina msuva umri umekwemda huwezi kiwapa dk 90 wale, kibabage ni Bora kule wale waliotoka Ulaya
Siyo sababu ya msingi yaani mchezaji wa Tanzania Yuko mwenyewe na kipa anapiga puuuu kwakifupi hawajitumi ukiwa na wachezaji wengi wa kimataifa ndiyo vizuri maana unapokutana nao utaongeza uwezo wako ama mnataka tusubiri twenda kuongeza ujuzi kwenye timu za kimataifa? na ndiyo maana Tanzania hatuna namba 9 ya uhakika labda John B ambaye kwa sasa hawezi kutubeba,kumbukeni hizi club zinawekezwa na wanachama na wanachama wanataka matokeo haziwezi kusuburi watu wasio na uwezoLawama la kushindwa kwa Taifa stars AFCON kwanza liende kwa TFF kabla ya sehemu nyingine. Timu zetu kubwa kwenye ligi haziandai Wachezaji wa kuichezea timu ya taifa kwakuwa wamepewa ruksa ya kutafuta wachezaji 12 nje ya nchi. Hii inasababisha vijana kama Mzize na wengine wasipate muda wa kukosea na kusahihisha makosa Yao ndani ya timu zao. Timu za Simba, Yanga na Azam Zina miundombinu na mabechi mazuri ya ufundi, ndizo zingepaswa kutoa washambuliaji wazuri kwenye timu Yao ya Taifa lakini wapi wee, wanawatumia wageni ambao wanatufunga tunapokutana nao kwenye mashindano ya CAF.
Lawama ingine kubwa iende kwenye uteuzi wa timu, tumeteua wachezaji kutoka nje wengi ambao hatuwajui vizuri na kuwaacha tunaowajua vizuri akina Mwenda, Mzize, kyombo na wengine. Hawa vijana wangeenda kule wangejifunza mengi sana.
Lawama ingine ni wizara ya michezo, inaonekana zaidi wakati wa mashindano zaidi kuliko wakati wa maandalizi ya wachezaji. Hi serikali haioni kuwa wachezaji 12 kila timu inaiua timu ya Taifa? Viwanja vyetu vingi ni vya CCM na vibovu, viwanja vya serikali vizuri viko wapi? Kwanini serikali haihoji timu kubwa kukosa viwanja au kwaajili ya conflict of interest ña viwanja vya CCM na uwanja wa taifa dhidi ya viwanja vya timu? Maana wanajua kama kila timu ikimiliki uwanja wake viwanja vya CCM vitabaki vya kichezea magwaride ya sherehe za muungano. Vijana wa makocha wazuri? Vitaru vya watoto viko wapi? Sera ya michezo ipo? shule Zina viwanja?
wala hio sio issue hata kidogo,issue ni miundo mbinu ya kulea na kukuza vipaji kwa watoto wetu,ambako ndiko watakapofunzwa sayansi ya uchezaji mpira.makocha wazawa ukimuacha oscar mirambo,hakuna kocha mzawa mwenye elimu ya sayansi ya mpira,hao wote wengine ni wababaishaji tu,kuhusu hizo pointi 2 tulizopata haikuwa kazi ya kocha wazawa,bali adel amrouche ndiye aliyefanya hayo yote,hao makocha wetu walidandia tu mafanikioLawama la kushindwa kwa Taifa stars AFCON kwanza liende kwa TFF kabla ya sehemu nyingine. Timu zetu kubwa kwenye ligi haziandai Wachezaji wa kuichezea timu ya taifa kwakuwa wamepewa ruksa ya kutafuta wachezaji 12 nje ya nchi. Hii inasababisha vijana kama Mzize na wengine wasipate muda wa kukosea na kusahihisha makosa Yao ndani ya timu zao. Timu za Simba, Yanga na Azam Zina miundombinu na mabechi mazuri ya ufundi, ndizo zingepaswa kutoa washambuliaji wazuri kwenye timu Yao ya Taifa lakini wapi wee, wanawatumia wageni ambao wanatufunga tunapokutana nao kwenye mashindano ya CAF.
Lawama ingine kubwa iende kwenye uteuzi wa timu, tumeteua wachezaji kutoka nje wengi ambao hatuwajui vizuri na kuwaacha tunaowajua vizuri akina Mwenda, Mzize, kyombo na wengine. Hawa vijana wangeenda kule wangejifunza mengi sana.
Lawama ingine ni wizara ya michezo, inaonekana zaidi wakati wa mashindano zaidi kuliko wakati wa maandalizi ya wachezaji. Hi serikali haioni kuwa wachezaji 12 kila timu inaiua timu ya Taifa? Viwanja vyetu vingi ni vya CCM na vibovu, viwanja vya serikali vizuri viko wapi? Kwanini serikali haihoji timu kubwa kukosa viwanja au kwaajili ya conflict of interest ña viwanja vya CCM na uwanja wa taifa dhidi ya viwanja vya timu? Maana wanajua kama kila timu ikimiliki uwanja wake viwanja vya CCM vitabaki vya kichezea magwaride ya sherehe za muungano. Vijana wa makocha wazuri? Vitaru vya watoto viko wapi? Sera ya michezo ipo? shule Zina viwanja?
Pelekeni upumbavu wenu huko....Nyie wachezaj w kitanzania tunawajua tabia zenu mbovu...au kama vipi nendeni nyie mkacheze nje kwani mmezuiwa mafala ninyi....wachezaji wa kitanzania ni wachache sana wanaishi kama profesionals........yaani tukiandika matabia ya wachezaji wa kitanzania hapa tutataapika.......anyway ukiliangalia bunge la tanzania na viongozi waliopo serikali ni mfano wa tabia za wachezaji wa tanzania.....au tabia za shirika kama tanesco la kitanzania....au angalia reli....ukiona hujaelewa nenda hospitali za uma uone uozo wa watanzania....Leo Ihefu inacheza na Kagera sugar ikiwa na wachezaji 2 wazawa TU uwanjani, wengine 9 ni wageni. Tunaiua taifa stars.