Wachezaji 12 wageni kwenye timu ni sumu kwa Taifa stars

Kuwa na wageni wengi wanao cheza ligi si tatizo, Inatakiwa wachezaji wetu waongeze Level za kiwango.
Samata, Msuva, Novatus Dismas n.k wote walitokea katika ligi hii kwenda nje na wageni walikuwepo.
Tatizo mpira/michezo ili ufanikiwe ucheze katika Top level Inatakiwa ujitoe na kuacha kila starehe na wengi Wana shindwa hasa wakianza kupata jina.
 
mpaka siku akiwa kwenye form?
 
Yaani mtu akiwa anacheza nje ya TZ hata kama huko anacheza rede tayari utashangaa anaitwa timu ya Taifa-Taifa Stars
 
mpaka siku akiwa kwenye form?
Asipikuwa Kwenye form asingefunga lakini bado angetoa mchango kwa kupambana .
Wachezaji walioenda Afcon asilimia kubwa walionyesha kutopambana asilimia 100 walikuwa wavivu na wachovu.

Mechi ya Zambia ndiyo ilikuwa imetuvusha.
Wanakuja kushituka kujifunika jana wakati kumeshapambazuka .
 
Nini kilimtoa huyu Amahl Kwenye kikosi ??
Halafu wanawekwa wachezaji daraja la 5 na 7?


 
Kimsingi idadi ya wachezaji wa nje ilitakiwa kubakia ile ya wachezaji 7! Mambo ya kuruhusu wachezaji 12, ndiyo yanayobabisha timu kama Yanga kusajili wachezaji kutoka nje, kwa ajili ya burudani tu!
 
Pelekeni Vijana wadogo wakutosha kwenda Ulaya kucheza Mpira...!

Haya mawazo mfu ya kuzuia Team kusajiri wachezaji 12 ni Ujinga, Ushamba na kutoona wenzetu wanafanya nini...!

Hivi Wachezaji wa Simba na Yanga watafanya nini kushindana na Team za Mataifa mengine ya West Africa!?

Asilimia 90℅ ya Team zinazoshiriki Afcon, Nusu ya First eleven ni Wachezaji ambao hawakuzaliwa hata kwenye Mataifa yao, Means wote hao wamezaliwa Ulaya na wanacheza Ulaya, then wachezaji 3 ama 4 ndo wamezaliwa kwenye Nchi zao na wote wanacheza Ulaya, then Mchezaji mmoja tu nd anacheza Africa, na kweyewe kucheza tu Africa haitoshi, utasikia Al ahly, Mamelodi, Wydad etc, Hawa Akina Mzinze na Bajana watakusaidia ninj dhidi Wachezaji wanaocheza Ligi kubwa za Ulaya...!?

Tunataka tupambane na West africa, tupite Njia zile zile, leo Cape Verde imewatoa Jasho Miamba ya Soka la Africa,nchi yenye watu Mil. 1 tu, ila Team nzima inacheza Ulaya, wakirudi Africa, wanaonyesha Ubora wao.....!

Unataka kushindana na Waliofanikiwa, pita njia yao..
 
12 timu zimetoka tena zingne timu kumbwa na zenye historia kubwa afrika zmetoka na tena zimetoka zikiwa na point 2 sawa na taifa stars

Ila hatuoni kua uwo ni mchozo sasa tunatafta wakumtupia walawa ebu tuache tabia za Wana Simba ndo huwa hawana uvumilivu na awapendi kukubali matokeo

Algeria point2
Ghana point2
Tunisia point2
Mm sio mtu wa mpira yawezekana nachangia point au pumba na yawezekana takwimu zisiwe za ukwel ila tuache lawana na tukubali kushindwa tujipange upya AFCON ipo sana one day yes tutafka final
 
Timu kubwa ilizotaja zina wachezaji wageni zaidi ya asilimia 80% ktk first 11 zao hao wazawa watatoka wapi
 
Point 2 zinafaida gani!? TFF mnajielewa kweli!!!
 
Comfort zone sawa na ile kwamba hata new york umeme unakatika.
Maendeleo ni hatua, hii ni mara yetu ya 3 tu kushiriki unataka hapohapo ufike hadi robo ama nusu fainali? Huwezi kupaa kabla hujajifunza kukimbia.
 
Uko sahihi mkuu. Tatizo watz ni watu wa lawama sana. Mie ninawapongeza sana Stars kwa hatua hii kubwa walofikia. Ni mwanzo mzuri sana. Timu kubwa tu zimeshindwa kufaulu hatua ya mtoano na zingine zimepita kwa bahati nasibu mfano Ivory Coast mwenyewe.
 

Kwa hivyo Taifa Stars ilienda AFCON kupata point mbili?
 
Lawama kubwa ni kwa Serikali, hizi Nchi zetu changa bila mkono wa Serikali hakuna kupiga hatua. Inategemea kweli Simba, Yanga, Ruvu wawe na Academy za kueleweka wakati hata udhamini haupo. Tuwe siriasi kama Uganda, michezo iwe sehemu ya Shule. Hakuna kucheza Mpira hadi uandikishwe Shule. Huko wawepo walimu wa michezo.
 
Viongozi wa juu wanaofanya maamuzi huko TFF wote ni Watanzania ? inabidi ile kauli ifanyiwe kazi !
sio tff tuu kwani dotto yule jamaa aliyepewa cheo kipya kisichokuwepo kwenye katiba ni mtanzania??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…