Wachezaji Bongo waliovuma kwa muda mfupi kisha wakapotea kwenye soka

Abubakary Mkangwa alicheza soka lake vizuri tu mpaka mwisho
Alitwaa ubingwa na Mtibwa Sugar mara mbili mara ya mwisho mwaka 2000 alichukua ufungaji bora mtibwa sugar ikiwa chini ya mwalimu Thom Olaba kama sijakosea.
Abubakari mkangwa
Salihina mjengwa
Athuman Machupa
Abuu mtiro
 
Hujamtendea haki Echesa, Huyu alicheza misimu mingi sana pale kenya baadae alienda Malaysia akacheza misimu miwili ndipo aliposajiliwa na Simba akacheza misimu miwili pia alipoondoka alirejea kenya tena akaendelea kucheza ligi kuu ya kenya kama sijakosea .
Hilary Echesa
 
Ali Mohammed SHIBOLI.
 
Credo Mwaipopo aliwahi sana kutoka kwenye mainstream

Pia kuna kipa mmoja Mengi Matunda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…