Wachezaji bora wa muda wote kipindi cha miaka 25

Wachezaji bora wa muda wote kipindi cha miaka 25

How many trophies do he have!!!talk with fact bro na how many individual awards he got? Ukijibu utakuwa umejuw how is he a [emoji238][emoji238][emoji238]

watu majeuri tu hakuna mchezaji anamzid Mess individual awards, yan hayupo wanasahau kwamba hata huyo ronaldo kaenda spain kaupiga ten years lakin combe la spain kauchukua mara mbili tu muda wote huwa Messi kadominate, ujue hapo watu wanahate sababu Messi namba moja Ronaldo namba mbili, basi tu huwa hawataki amzid ronaldo ila ndio kamzid sasa wafanyaje wanaanza kuhate
 
Unataka trophies gani tena ? Why do you guys hate this man to this extent ? Do you think he landed five balondors just like that ? and he is going for the six one...jaman punguzen roho ya wivu na vitu kama hivyo, mpira unachezwa popote aisee...Mnataka afanyaje ?

Wivu unawatesa hawa
 
Ilikuwa ni Kombe la Dunia la mwaka 1962 ambapo michuano ilipigwa pale Chile, mechi ya kwanza tu Pele anaumia. Garrincha anaibeba Brazil kwenye makwapa yake mpk fainali ambapo Pele ndio anarejea.

Na kudhihirisha hilo, Garincha ndio akawa Mchezaji bora wa mashindano. Sema tu dunia haijawahi kumtambua Garincha licha ya kusifiwa na kuchukuliwa kuwa mmoja wa wakokota mpira bora zaidi katika historia ya mchezo huo.

Yeah 62 ilikuwa, ila mmatumbi hatakuelewa hapa.
 
watu majeuri tu hakuna mchezaji anamzid Mess individual awards, yan hayupo wanasahau kwamba hata huyo ronaldo kaenda spain kaupiga ten years lakin combe la spain kauchukua mara mbili tu muda wote huwa Messi kadominate, ujue hapo watu wanahate sababu Messi namba moja Ronaldo namba mbili, basi tu huwa hawataki amzid ronaldo ila ndio kamzid sasa wafanyaje wanaanza kuhate

Haters wanapaswa kujivunia kwa Ronaldo kuwa nyuma ya mfalme. Mchezaji gani ama shabiki gani asiependa mchezaji wake kupangwa na Messi! Wote wanapenda na kujivunia.
 
Anaupiga mwingi akiwa anachezea timu gani? Ya taifa au klabuni kwake...hebu tuanzie hapo kwanza.
Mkuu tuweke porojo pembeni, hayo mafanikio tuweke kando kwanza mie binafsi napenda kumjaji mtu kwa kile anachokifanya mchezaji uwanjani..

Swali fupi.
Katika miaka 25 ni nani unaona uwanjani anaupiga mwingi kushinda ule wa andunje messi
 
Anaupiga mwingi akiwa anachezea timu gani? Ya taifa au klabuni kwake...hebu tuanzie hapo kwanza.
Kote kote..

Najua we umelenga national team
Kapitie rekod zake national team..

Kawabeba waargentina lakin hawajabebeka, kombe la dunia 2018 kawababeba kwenye mabega yake kawapeleka kilichotokea ni hadithi kocha kafanya matipu tu, mafanikio ya team si mchezaji mmoja.. Kuna kipindi hata barca kocha anawaangusha, argentina wana tatizo jingine lakini sio messi kusema haupigi mwingi kule, akicheza vizuri wanamuimba timu ikifeli wanamkataa ni kama ozil na wajeruman akicheza vizur mjeruman, timu ikifeli ooohh, mturuki.

Kawapeleka fainal ya kombe la dunia mara moja
Copa america huko amecheza fainali 3 ile ya venezuela 2007 na hizi mbili mfululiz wanakufa kwa penati kwa vijan wa chile.
Rekod ya magoli si haba goli 65 kati games 129 hapo ana wastani wa kufunga goli moja katika kila mechi 2

Kifupi messi kaupiga mwingi kote ila timu ya taifa hajapata mafanikio, ubora na kunyanyua kombe ni vitu viwili tofauti.
 
Kacheza santos alafu wanamringanisha na Messi ambai amekuwa bora kwa miaka 11 na zaidi [emoji23][emoji23][emoji23]

Eti ana 3 world cup wakt ile ilikuwa ni tim work, 1963 kama ckosei hakucheza baadhi ya mechi mpaka final brazil inachukua ubingwa pele hakucheza.
Hayupogo hata kwenye wafungaji 5 Bora wa world cup sijui alikuwaga anacheza nn au alikuwa beki?
 
Messi sio mchezaji bora, kigezo hajaibeba mgongoni Argentina kwenye kombe la dunia kama anavyoibeba Barcelona, hivyo hivyo kwa Christiano ronaldo

Hawa ndio bora siku zote

Pele
Garincha
Maradona
Ronaldo de Lima
Zidane
Ronaldinho
Romario
Robato baggio
Iniesta
Ngolo Kante

Orodha ni ndefu kigezo kuzibeba team zao za taifa hadi kutwaa kombe la dunia
 
Hv ni Busquet baba yake au huyu kijana anaecheza mpaka sasa?.. kama ni huyu wa sasa tuache mahaba hafai kuwepo.
Kuna Seedorf, Makelele, Nedved, Okocha, Carlos.
Itakuwa hauna akili timamu Baba ake alikuwa goalkeeper wa sub awekwe Kwa kigezo gani busquets aliyemuhamisha namba Alonso Spain ni huyu huyu kiungo mkaji mwenye udambwi dambwi dunia nzima
 
Messi sio mchezaji bora, kigezo hajaibeba mgongoni Argentina kwenye kombe la dunia kama anavyoibeba Barcelona, hivyo hivyo kwa Christiano ronaldo

Hawa ndio bora siku zote

Pele
Garincha
Maradona
Ronaldo de Lima
Zidane
Ronaldinho
Romario
Robato baggio
Iniesta
Ngolo Kante

Orodha ni ndefu kigezo kuzibeba team zao za taifa hadi kutwaa kombe la dunia

Ni maono yako hayo siwezi kukuraumu, ila tunachoamini sisi mashabiki wake na ndicho FIFA n.k wanachokiamini. endelea kuteseka


Screenshot_20190503-183352_Instagram.jpg


Uyo de lima kashika mkia, hata ivyo wamemhurumia tu. Hakupaswa kuwemo top 10 jombaa.

Gaucho unaemusifia ata kwa tochi humpati top 10jombaa
 
Vipi kuhusu Diego Almando Maradona alikuwa peke yake sio?....kikosi cha Argentine wakati ule kinafanana na cha sasa wakati wa Leonel Messi? Kipi bora zaidi na kipi kilileta mafanikio makubwa zaidi na kwa msaada wa nani?
Majibu ya maswali haya kaa nayo maana kama ya ukweli basi ninayo na siyahitaji.
Ahsante.
Kote kote..

Najua we umelenga national team
Kapitie rekod zake national team..

Kawabeba waargentina lakin hawajabebeka, kombe la dunia 2018 kawababeba kwenye mabega yake kawapeleka kilichotokea ni hadithi kocha kafanya matipu tu, mafanikio ya team si mchezaji mmoja.. Kuna kipindi hata barca kocha anawaangusha, argentina wana tatizo jingine lakini sio messi kusema haupigi mwingi kule, akicheza vizuri wanamuimba timu ikifeli wanamkataa ni kama ozil na wajeruman akicheza vizur mjeruman, timu ikifeli ooohh, mturuki.

Kawapeleka fainal ya kombe la dunia mara moja
Copa america huko amecheza fainali 3 ile ya venezuela 2007 na hizi mbili mfululiz wanakufa kwa penati kwa vijan wa chile.
Rekod ya magoli si haba goli 65 kati games 129 hapo ana wastani wa kufunga goli moja katika kila mechi 2

Kifupi messi kaupiga mwingi kote ila timu ya taifa hajapata mafanikio, ubora na kunyanyua kombe ni vitu viwili tofauti.
 
Vipi kuhusu Diego Almando Maradona alikuwa peke yake sio?....kikosi cha Argentine wakati ule kinafanana na cha sasa wakati wa Leonel Messi? Kipi bora zaidi na kipi kilileta mafanikio makubwa zaidi na kwa msaada wa nani?
Majibu ya maswali haya kaa nayo maana kama ya ukweli basi ninayo na siyahitaji.
Ahsante.
Maradona hakuwa pekee yake alikuwa na jorge valdano kina burruchaga na wengineo

Nimegundua ww kinachokukwaza!! Timu sio aguero, eti messi, higuain, dimaria sijui nani, timu ni muuganiko, lazima kuwe na chemistry nzuri, tizama kilichomkuta Germany na timu yake nzuri 2018, ufaransa 2002, spain 2014 na 2018, hawa katika miaka hyo walikosa nini hasa!!
Hiyo moja..

Pili messi kinachomkosesha heshima ni mechi 3 km sio 4, nazo ni fainali ya 2014, na zile game mbili mfulizo za copa america hebu fikiria argentina angebeba hayo makombe messi saizi mnhekuwa mnamuimba hapa ila kayakosa mnasema hajafanya chochote, jiulize katika mshindano hayo hakuupiga mwingi!?
Jibu baki nalo mwenywe

Noti:komenti hii ni kwa hisani ya futari.
 
Ni maono yako hayo siwezi kukuraumu, ila tunachoamini sisi mashabiki wake na ndicho FIFA n.k wanachokiamini. endelea kuteseka


View attachment 1103810

Uyo de lima kashika mkia, hata ivyo wamemhurumia tu. Hakupaswa kuwemo top 10 jombaa.

Gaucho unaemusifia ata kwa tochi humpati top 10jombaa
Huo mtandao unatungwa na watu kama mimi, pia hayo ni maoni yao

Kwa FIFA Pele ndio kila kitu, akifatiwa na maradona.

Hao for for two ni watu kama wewe na maoni yao
 
Huo mtandao unatungwa na watu kama mimi, pia hayo ni maoni yao

Kwa FIFA Pele ndio kila kitu, akifatiwa na maradona.

Hao for for two ni watu kama wewe na maoni yao
Tunga na wewe basi mke wa hazard
 
Back
Top Bottom