Wachezaji wa Kigeni wa Kubakia Simba SC kwa Jicho langu Kali la Kiufundi baada ya Kufurumushwa rasmi na Orlando Pirates FC jana ni hawa tu....

Wachezaji wa Kigeni wa Kubakia Simba SC kwa Jicho langu Kali la Kiufundi baada ya Kufurumushwa rasmi na Orlando Pirates FC jana ni hawa tu....

Utopolo kuwafunga Geita gold ndio wanaona wameshamaliza kila kitu,wamesahau juzi tu walipigwa nje ndani ni timu ya wavuvi wa Nigeria
 
Mchezaji pekee anayeweza kuja kucheza nje siku moja ni Sakho hakuna mwingine Simba. Huyu anahitaji mwalimu mzuri ila ndio kipaji pekee unaweza siku ukasikia yuko nje.
Hapa ni kwao?? Au una maanisha nje ipi??
 
1. Joash Onyango
2. Henock Inonga
3. Clatous Chama
4. Pape Ousmane Sakho
5. Bernard Morrison
6. Peter Banda

Ambao sijawataja hapa waachwe upesi sana Msimu wa Ligi Kuu ya NBC ukimalizika tafadhali kwani hawana Jipya, hawa Msaada kwa Timu na Wameshachoka.

Sina desturi ya Kukosea Kiuchambuzi.
Awana jipya kwako bruh apo umeongea kishabiki zaidi.
 
1. Joash Onyango
2. Henock Inonga
3. Clatous Chama
4. Pape Ousmane Sakho
5. Bernard Morrison
6. Peter Banda

Ambao sijawataja hapa waachwe upesi sana Msimu wa Ligi Kuu ya NBC ukimalizika tafadhali kwani hawana Jipya, hawa Msaada kwa Timu na Wameshachoka.

Sina desturi ya Kukosea Kiuchambuzi.
Kanoute anafaa sana tafakari hilo
 
Simba wametia aibu sana ile cku ya mechi ya orlando kwa kuwasha moto wa kichawi.
Hawaogopi mwezi wa toba!
 
Hapa ni kwao?? Au una maanisha nje ipi??
Nadhani umenielewa sisi kimpira tukisema nje maana ni nje ya continent la Africa, league za ulaya tunasema nje japo sio kiswahili fasaha lakini lugha ya mpira nje ni league za Ulaya.
 
kwa maoni ya watu ukiangalia vzur na mpra ulivyo bas uyu sakho itakua ana shida kuendelea ,mchezaji mzur haitaji maelezo mara aache iki mara apate mwalim mara iv kiualisia wa mpra apo kuna shida so sio mtu kumuamin kwa asilimia zote tena ,ndio yale yale ya akina balotel au rashfod neymar apa kwetu walikuwepo akina manyika peter mohomed Ibrahim akina said ndemla na wengine ukiwaangalia unajua kabisa wa vipaji lkn kuendelea zaid inakua tatzo mara nyng mchezaji ambae ana kipaj alaf naitaji kuendelea hanaga mambo meng mfano mbape au apa kwetu wapo hakina nondo au zimbwer na kapombe unaona kabisa tokea ujanaa wao ad umr unasogea wanacheza kwa juhud inakua aina tena uyu aache iki afanye iki mchezaj mzur mwenyewe anajua majukumu yake ata kama ana mapungufu ni ya kibinadam
 
kwa maoni ya watu ukiangalia vzur na mpra ulivyo bas uyu sakho itakua ana shida kuendelea ,mchezaji mzur haitaji maelezo mara aache iki mara apate mwalim mara iv kiualisia wa mpra apo kuna shida so sio mtu kumuamin kwa asilimia zote tena ,ndio yale yale ya akina balotel au rashfod neymar apa kwetu walikuwepo akina manyika peter mohomed Ibrahim akina said ndemla ama hawa hakina mugalu na wengine ukiwaangalia unajua kabisa wa vipaji lkn kuendelea zaid inakua tatzo mara nyng mchezaji ambae ana kipaj alaf naitaji kuendelea hanaga mambo meng mfano mbape au apa kwetu wapo hakina nondo au zimbwer na kapombe unaona kabisa tokea ujanaa wao ad umr unasogea wanacheza kwa juhud inakua aina tena uyu aache iki afanye iki mchezaj mzur mwenyewe anajua majukumu yake ata kama ana mapungufu ni ya kibinadam
 
Wazawa wa kubaki kwa maon yangu ni hawa.
Zimbwe jr
Shomi
Kakolanya
Manula
Kibu
Kennedy

Wengine wakajaribu kwingine
Kwahiyo timu ifanye usajili tena wa wachezaji kumi na nne wapya ?
 
Banda tuliibiwa na scouts na madalali
Banda ndiyo mchezaji mwenye akili nyingi zaidi uwanjani ukiondoa Chama kwenye kikosi cha Simba tatizo work rate yake ni ndogo tu na hana nguvu anahitaji mwalimu atakayemturn kuwa beast.
 
Hebu ongeza na Kagere, yule kibabu analijua sana goli lilipo...
 
mkiji changanya na kumwacha sakho, tuna mdaka pale terminal3, na hamta amini macho yenu baada ya miezi3 tuu
Hamna kitu hapo kwa Sakho mmepigwa!

Mchezaji mwenyewe hana endless flow ya kuwa na consistency kwa kila mechi zaidi ya kung'aa ng'aa kwa baadhi ya mechi tu [emoji2]
 
Back
Top Bottom