Wachezaji wa Kigeni wa Kubakia Simba SC kwa Jicho langu Kali la Kiufundi baada ya Kufurumushwa rasmi na Orlando Pirates FC jana ni hawa tu....

Wachezaji wa Kigeni wa Kubakia Simba SC kwa Jicho langu Kali la Kiufundi baada ya Kufurumushwa rasmi na Orlando Pirates FC jana ni hawa tu....

Kuna kipindi mtu unapata tabu sana kuielezea Simba na uchezaji wake na wachezake wake kwasababu ya kubadilika badilika kwa performance yake.

Ila kwakua Simba ina malengo ya ndani na nje inabidi kuweza kufanyia kazi mambo kadhaa, nikianza na golini nafikiri ni muda sasa wakumtafutia Manula mshindani wake halisi, goalkeeper wa kisasa mwenye footwork nzuri, commanding na comfortable akiwa na mpira ambae kwa falsafa ya kiuchezaji ya Simba anakua na uwezo wa kuanzisha build up.

Kwenye eneo la ulinzi,beki za pembeni kunahitaji wasaidizi washindani ama wenye uwezo utakaofanana na waliokuwepo,kitu ambacho kitaongeza ari ya kiuchezaji.nafikiri kwa afya ya mashindano ya ligi za kimataifa Gadiel na Mwenda bado hawatoshi kiushindani.

Beki ya kati vilevile,Wawa na Onyango bado ni mabeki wazuri ambao wanaweza kutusaidia kwenye mshindano ya ndani ila kwenye caf champions leagues games bado wameonekana kukosa ubora sana,

Wawa ana footwork nzuri ni good passer
na ana timing kali sana katika kuwin mipira
Ila ni mvivu wa kukaba,haendi juu sana mtegeaji na ni mtu wa kuelekeza zaidi,Onyango hana footwork nzuri na si mpasiaji mzuri pia ni mzito ubora wake mkubwa ni aggressiveness anajua kukaba,anasaidia sana mipira ya vichwa sio mvivu.Kennedy hatoshi anafanya vitu vyote hivyo kwa wastani huwezi kusema ni mbora kwenye Nini na comfortable bado ni mzito.

Nafikiri mabeki wawili wakati wanatakiwa mgeni mmoja mwenye uwezo wa angalau asilimia 80 ya sifa zote na mwenyeji mmoja atakaempokea Kennedy ambae awe na asilimia angalau 75 ya sifa zote urefu unabaki kua sifa ya ziada.

Kwenye midfield nafikiri sasa ni wakati wa kuwaruhusu Mzamiru,Nyoni, na kuwatafutia mibadala wazawa,Bwalya na lwanga kama wageni,Kanoute ni mchezaji mzuri aliekosa maarifa yani hana wonders,hawezi kupiga pasi kali na sio mjanja mjanja ila anaweza kukuofa commitment,and energy ni bodi yenyewe itaamua abaki au aende.

Viungo wa pembeni Dilunga nafikiri bila injuries hua anaweza kusaidia kidogo angalau kuliko huyu Kibu ambae amekosa maarifa kabisa nafikiri mwalimu amhamishe nafasi kucheza pembeni kunamtaka mtu tricky na mwenye maarifa na yeye hayuko hivyo labda aanze kucheza kwenye central position.

Nafikir Banda anakosa nguvu ya kupambana ni mchezaji aina ya Walcott wanahitaji space kubwa kuweza kucheza kwa ufanisi mkibana space mambo yanakua magumu,kama atapatikana winger mwenye sifa za Morrison ambae sio mvivu sivibaya kumimuachia.

Sacko ni childish and selfish anajua sana ila anacheza zaidi kwa faida take ila kipaji kikubwa sana anaweza kupatiwa mwaka mmoja ila wapatikane watu ambao watamfanya akae benchi hapo nahisi atabadilika.

Forward lines, striker's.nafikiri Mugallu inatosha,tunataka striker's ambao wanauwezo wa kutumia nafasi zinazopatikana,kama ni mimi nafikiri hata Bocco ningempa mkono wa kwaheri kwa afya ya kimataifa,Striker mmoja mgeni mwenye uwezo wa kucheka na nyavu na kukaa na mpira anahitajika.na striker mmoja wakitanzania mwenye footwork nzuri na awe poacher.

Lusajo. Namungo
Mpole. Geita
Anwar jabir. Dodoma jiji
 
Hiyo takataka Sakho irudishwe kwao, game 2 tatu anaona kama timu iko mabegani mwake, anaigharimu mno timu yake kwa chenga au kukaa na mipira bila sababu za msingi.

Kwa jinsi wanavyocheza Yanga, Kwenye nafasi ya Moloko akipatikana BWALYA nina imani atafit sana kwenye aina ile ya uchezaji wa Yanga.
Bwalya huyu slowslow? Yanga mpira wetu mperampera hawezi yule akae hukohuko pasi mia hata mstari wa kati hawajavuka
 
Hujui deby zilivyo wewe... Barca mbovu juzijuzi iliifunga Real Madrid inayoongoza la liga 4-0. Yanga yenye wachezaji wazuri mno ikiwahi kufungwa 6-0 na Simba. Na Simba mbovu ya kushuka daraja iliwahi kuifunga Utopolo 2-1 na kuwazuia kuchukua ubingwa.
Kwahio hii Simba mbovu itashinda ngapi?
 
Kuna kipindi mtu unapata tabu sana kuielezea Simba na uchezaji wake na wachezake wake kwasababu ya kubadilika badilika kwa performance yake.

Ila kwakua Simba ina malengo ya ndani na nje inabidi kuweza kufanyia kazi mambo kadhaa, nikianza na golini nafikiri ni muda sasa wakumtafutia Manula mshindani wake halisi, goalkeeper wa kisasa mwenye footwork nzuri, commanding na comfortable akiwa na mpira ambae kwa falsafa ya kiuchezaji ya Simba anakua na uwezo wa kuanzisha build up.

Kwenye eneo la ulinzi,beki za pembeni kunahitaji wasaidizi washindani ama wenye uwezo utakaofanana na waliokuwepo,kitu ambacho kitaongeza ari ya kiuchezaji.nafikiri kwa afya ya mashindano ya ligi za kimataifa Gadiel na Mwenda bado hawatoshi kiushindani.

Beki ya kati vilevile,Wawa na Onyango bado ni mabeki wazuri ambao wanaweza kutusaidia kwenye mshindano ya ndani ila kwenye caf champions leagues games bado wameonekana kukosa ubora sana,

Wawa ana footwork nzuri ni good passer
na ana timing kali sana katika kuwin mipira
Ila ni mvivu wa kukaba,haendi juu sana mtegeaji na ni mtu wa kuelekeza zaidi,Onyango hana footwork nzuri na si mpasiaji mzuri pia ni mzito ubora wake mkubwa ni aggressiveness anajua kukaba,anasaidia sana mipira ya vichwa sio mvivu.Kennedy hatoshi anafanya vitu vyote hivyo kwa wastani huwezi kusema ni mbora kwenye Nini na comfortable bado ni mzito.

Nafikiri mabeki wawili wakati wanatakiwa mgeni mmoja mwenye uwezo wa angalau asilimia 80 ya sifa zote na mwenyeji mmoja atakaempokea Kennedy ambae awe na asilimia angalau 75 ya sifa zote urefu unabaki kua sifa ya ziada.

Kwenye midfield nafikiri sasa ni wakati wa kuwaruhusu Mzamiru,Nyoni, na kuwatafutia mibadala wazawa,Bwalya na lwanga kama wageni,Kanoute ni mchezaji mzuri aliekosa maarifa yani hana wonders,hawezi kupiga pasi kali na sio mjanja mjanja ila anaweza kukuofa commitment,and energy ni bodi yenyewe itaamua abaki au aende.

Viungo wa pembeni Dilunga nafikiri bila injuries hua anaweza kusaidia kidogo angalau kuliko huyu Kibu ambae amekosa maarifa kabisa nafikiri mwalimu amhamishe nafasi kucheza pembeni kunamtaka mtu tricky na mwenye maarifa na yeye hayuko hivyo labda aanze kucheza kwenye central position.

Nafikir Banda anakosa nguvu ya kupambana ni mchezaji aina ya Walcott wanahitaji space kubwa kuweza kucheza kwa ufanisi mkibana space mambo yanakua magumu,kama atapatikana winger mwenye sifa za Morrison ambae sio mvivu sivibaya kumimuachia.

Sacko ni childish and selfish anajua sana ila anacheza zaidi kwa faida take ila kipaji kikubwa sana anaweza kupatiwa mwaka mmoja ila wapatikane watu ambao watamfanya akae benchi hapo nahisi atabadilika.

Forward lines, striker's.nafikiri Mugallu inatosha,tunataka striker's ambao wanauwezo wa kutumia nafasi zinazopatikana,kama ni mimi nafikiri hata Bocco ningempa mkono wa kwaheri kwa afya ya kimataifa,Striker mmoja mgeni mwenye uwezo wa kucheka na nyavu na kukaa na mpira anahitajika.na striker mmoja wakitanzania mwenye footwork nzuri na awe poacher.

Lusajo. Namungo
Mpole. Geita
Anwar jabir. Dodoma jiji
Hapo striker ni mmoja tu Lusajo Reliant hao wengine ni one season wonder tu.
 
Mkuu kama kitu hujui ni bora ukae kimya, Yanga alifungwa 6 baada ya kutokea mgogoro na wachezaji kuondoka kwenda kuunda Pan Africa ikabidi wacheze timu B
Mechi hii ilichezwa mwaka mmoja baada mgogoro huo na mgogoro wa Simba uliozaa Nyota Nyekundu. Utopolo ilikuwa na wachezaji wazuri sana wa timu ya taifa, akina Ezekiel Grayson aliyejifunga goli moja, n.k. Pitia vizuri history
 
Ifike time wachezaji wazawa nao waongeze juhudi,mtu kama MHILU alikuwa wa moto mno sijui kwenye timu kubwa hizi wanafanywaga nini yaani hajiamini kabisaaa...Binafsi namkubali sana MUZAMIRU kwa muda mrefu sana amekuwa akikaza licha ya kupitia vipindi vigumu...Sakho anatafuta soko lake binafsi mwisho wa siku anaharibu mambo.
 
Kagere ndiye mchezaji pekee anaongoza kwa magoli pale Makolo fc tena akitokea benchi bado hamumpi nafasi?
 
Wazawa wa kubaki kwa maon yangu ni hawa.
Zimbwe jr
Shomi
Kakolanya
Manula
Kibu
Kennedy

Wengine wakajaribu kwingine
Kibu ana bahati sana aisee [emoji1] yani kwenye orodha yumo
 
Ni muda wa Mawakala kutuletea wachezaji kanyaboya
 
Mi nadhani kwa strikers mugalu imetosha aende,bocco na kagere tukubali umri umewatupa plus kasi imepungua,tukiwa na mentality ya sijui akiondoka hatupati fowadi mwingi hapo tunajidanganya stikers wapo afrika hii ni suala la scouting tu na pesa.Viungo mzamiru,nyoni waende, bwallya hana consistency anawaka mechi moja anazima mechi kumi,huyu afikiriwe lakini wachezaji aina yake wapo,Wawa na onyango tumewaona game za kimataifa tukiwa away umri,kuchoka,kasi vinawagharimu, fullback wanaowasaidia kapombe na zimbwe hawafanani quality yani quality ya anayetoka zimbwe na anayeingia gadiel au kapombe kwa Israel ni mbingu na ardhi kwa timu kubwa inayotegemea kufanya vizuri kimataifa hili tatizo,hapo katikati thadeo anatumia muda mwingi injury na aina ya uchezaji wake anazidi kupata kadi,golini sina tatizo sana,chama sawa,Banda anakosa nguvu tu ila sawa,kibu deniss kwangu hapana,kiufupi timu isajili huu msimu ilikua bahati nasibu katika usajili.
 
Back
Top Bottom