Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Hilo Jamaa linaupiga mwingi sana katika beki zote za MAKOLONilisikia Onyango aligoma kuendelea kubaki Simba Sc. Na kuna klabu kadhaa zimeonesha kutamani huduma yake ikiwemo Yanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo Jamaa linaupiga mwingi sana katika beki zote za MAKOLONilisikia Onyango aligoma kuendelea kubaki Simba Sc. Na kuna klabu kadhaa zimeonesha kutamani huduma yake ikiwemo Yanga
J'mosi weka akiba ya maneno maana siku zote mpira huwa hauna mwenyewe [emoji850]Simba wote wa hovyo na jumamosi litathibitika hilo.
Yaan yule akacheze Ulaya??Nadhani umenielewa sisi kimpira tukisema nje maana ni nje ya continent la Africa, league za ulaya tunasema nje japo sio kiswahili fasaha lakini lugha ya mpira nje ni league za Ulaya.
Shushia maji ya kunywa ya bariiidi, maana bado kipigo cha mmbwa koko toka kwa O' Pirates kule kwa madiba kinakuchanganya [emoji28]Utopolo kuwafunga Geita gold ndio wanaona wameshamaliza kila kitu,wamesahau juzi tu walipigwa nje ndani ni timu ya wavuvi wa Nigeria
Asa kanoute anajua Nini?Bila kumjumuisha Saidou Kaniute hapo,I'ma hujui Mpira au una chuki Binafsi!
Kwanini asicheze? Kumbuka hii iko siku utafungua Ulaya kubwa sio lazima akacheze team kubwa kwenye nchi kubwa ila nakuhakikishia siku utakumbuka. Kuna mtu alipita kama huyu siku za nyuma Shaaban Nonda kama sikosei tunajuwa aliishia wapi. nacho sema ni mchezaji pekee kwenye team hii anaweza kwenda Ulaya siku moja anaweza asiende inategemea na wakala au watu wake ila kwa team yote ya Simba nitajie mchezaji mmoja ana pontetial labda anaweza kuishia huko. Mimi nasema Sakho wewe unaweza kusema unayemuona wewe.Yaan yule akacheze Ulaya??
Sakho hata hapo YANGA hapati Namba.Kwanini asicheze? Kumbuka hii iko siku utafungua Ulaya kubwa sio lazima akacheze team kubwa kwenye nchi kubwa ila nakuhakikishia siku utakumbuka. Kuna mtu alipita kama huyu siku za nyuma Shaaban Nonda kama sikosei tunajuwa aliishia wapi. nacho sema ni mchezaji pekee kwenye team hii anaweza kwenda Ulaya siku moja anaweza asiende inategemea na wakala au watu wake ila kwa team yote ya Simba nitajie mchezaji mmoja ana pontetial labda anaweza kuishia huko. Mimi nasema Sakho wewe unaweza kusema unayemuona wewe.
Sasa unaleta ushabiki mimi sijaongelea Yanga au Simba nimesema Sakho ndio mchezaji pekee namuona ana potential ya kuweza kuwa sehemu nyingine. Anaweza kuwa ana mapungufu lakini kipaji kipo akipata team nzuri mwalimu mzuri kipaji kipo changamoto anataweza kukiendeleza hiyo ndio juu yake Simba ni kama daraja tu kwake na uhakika analijuwa hilo.Sakho hata hapo YANGA hapati Namba.
Kagere akipata wachangamfu kule mbele,bado anauwezo mkubwa Sana wa kupachka magoliHebu ongeza na Kagere, yule kibabu analijua sana goli lilipo...
Huwa unaangalia mpira kweli?Asa kanoute anajua Nini?
Hujui deby zilivyo wewe... Barca mbovu juzijuzi iliifunga Real Madrid inayoongoza la liga 4-0. Yanga yenye wachezaji wazuri mno ikiwahi kufungwa 6-0 na Simba. Na Simba mbovu ya kushuka daraja iliwahi kuifunga Utopolo 2-1 na kuwazuia kuchukua ubingwa.Simba wote wa hovyo na jumamosi litathibitika hilo.
Kama Yanga na Chiko Ushindi.Banda tuliibiwa na scouts na madalali
Ningemtoa Kagere na kumbakiza Mugalu (The Bull Striker).Kagere akipata wachangamfu kule mbele,bado anauwezo mkubwa Sana wa kupachka magoli
Mkuu kama kitu hujui ni bora ukae kimya, Yanga alifungwa 6 baada ya kutokea mgogoro na wachezaji kuondoka kwenda kuunda Pan Africa ikabidi wacheze timu BHujui deby zilivyo wewe... Barca mbovu juzijuzi iliifunga Real Madrid inayoongoza la liga 4-0. Yanga yenye wachezaji wazuri mno ikiwahi kufungwa 6-0 na Simba. Na Simba mbovu ya kushuka daraja iliwahi kuifunga Utopolo 2-1 na kuwazuia kuchukua ubingwa.
Nena msimbaz ukawaambie1. Joash Onyango
2. Henock Inonga
3. Clatous Chama
4. Pape Ousmane Sakho
5. Bernard Morrison
6. Peter Banda
Ambao sijawataja hapa waachwe upesi sana Msimu wa Ligi Kuu ya NBC ukimalizika tafadhali kwani hawana Jipya, hawa Msaada kwa Timu na Wameshachoka.
Sina desturi ya Kukosea Kiuchambuzi.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Inonga na Morrison usha wahi kuwakataa kwenye ID yako nyingine
Yanga hatutaki wapokeaji pensheni [emoji28][emoji28][emoji28]Promo tu za media na kuwajambisha simba, Yanga hakuna kambi ya wazee.
Umeelewa pombe au umevuta bangi ???Ningemtoa Kagere na kumbakiza Mugalu (The Bull Striker).
Acha bangi mkuuNingemtoa Kagere na kumbakiza Mugalu (The Bull Striker).