GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Yule hajui kitu japo ananizidi mimi kucheza.Banda boli analijua, Sijui kwann tunamdharau !!.
Hamna mchezaj mule ,ni WA kawaida sana muda wowote anakuchomaKanoute abakishwe pia
Naunga hoja kuachwa kwa vile haeleweki anapanda kiwango au anashuka kiwango toka amesajiliwa.Banda boli analijua, Sijui kwann tunamdharau !!.
Mwamba kanunua viberiti vya kutosha subiri msimu ujayo atakavyo uwasha mpeni mda.1. Chama
2. Inonga
3. Phiri
4. Sakho
5. Baleke
Wasajiliwe wengine Saba (7) tu Wazuri kama hawa Watano (5) niliowataja hapa ili Kutimia Idadi ya Wachezaji wa Kigeni Kumi na Mbili (12) Wanaotakiwa ili Simba SC irejeshe Hadhi na Heshima yake.
Peter Banda Hamna kitu. Haiwezekani mchezaji una Misimu 3 huna lolote wakati Babu Ntibanzokiza kaja juzi Amezoa mituzo kama yote. Alafu wewe una jidai wonder kid Hamna kitu.Banda boli analijua, Sijui kwann tunamdharau !!.
Genta, na kwa maoni yako wachezaji wa ndani list yao ikoje unaotaka wabaki?1. Chama
2. Inonga
3. Phiri
4. Sakho
5. Baleke
Wasajiliwe wengine Saba (7) tu Wazuri kama hawa Watano (5) niliowataja hapa ili Kutimia Idadi ya Wachezaji wa Kigeni Kumi na Mbili (12) Wanaotakiwa ili Simba SC irejeshe Hadhi na Heshima yake.
Shako wa nini1. Chama
2. Inonga
3. Phiri
4. Sakho
5. Baleke
Wasajiliwe wengine Saba (7) tu Wazuri kama hawa Watano (5) niliowataja hapa ili Kutimia Idadi ya Wachezaji wa Kigeni Kumi na Mbili (12) Wanaotakiwa ili Simba SC irejeshe Hadhi na Heshima yake.
Nyeto kila siku anaumiaBanda boli analijua, Sijui kwann tunamdharau !!.
Saido humtaki mkuu1. Chama
2. Inonga
3. Phiri
4. Sakho
5. Baleke
Wasajiliwe wengine Saba (7) tu Wazuri kama hawa Watano (5) niliowataja hapa ili Kutimia Idadi ya Wachezaji wa Kigeni Kumi na Mbili (12) Wanaotakiwa ili Simba SC irejeshe Hadhi na Heshima yake.