This is...
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 5,050
- 5,204
Hajadharauliwa tatizo majeraha yamemwandama. Muda mwingi hayuko uwanjani.Banda boli analijua, Sijui kwann tunamdharau !!.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hajadharauliwa tatizo majeraha yamemwandama. Muda mwingi hayuko uwanjani.Banda boli analijua, Sijui kwann tunamdharau !!.
Kanoute abakishwe pia
Kwahiyo sisi maandunje mnatuachaje?? Tukacheze wapi na ndoto yetu ni kucheza de lunyasi kolo fc.KULETA WACHEZAJI MIZIGO.
Kwanini mmepoteza Beno kakolanya kirahisi hivyo????
1. Mohamed Ottara.
2. Joash Onyango.
3. Ismail sawadogo.
4.Peter Banda.
5. Pape Sackho.
6.Agustine Okrah.
7. ( Sadio kanute)
WACHEZAJI WAZAWA WA KUACHWA.
1.John Boko.
2.Jonas Mkude.
3. GADIEL Michael.
4. Nassor Kapama.
5.Habib Kyombo.
NAFASI MUHIMU ZA KUJAZA.
1.Golikipa nambari Mbili.
2. Beki wa kushoto.
3. Mabeki wa kati .
4. Kiungo mkabaji ,, 6 ,, 8.
5. Mshambuliaji wa KIGENI futi sita.
6. Winga wa kushoto.
ZINGATIENI SANA VIMO VYA WACHEZAJI WALAU 6 FEET.
BORA KUSAJILI WACHEZAJI WACHACHE KULIKO KUWA NA RUNDO LA WACHEZAJI MIZIGO.
MOHAMED DEWJI.
TRY AGAIN.
MANGUNGO.
BODI YA WAKURUGENZI.
Yani nimejikuta tuu naumia kutoka kwa wachezaji wote kina gadiel,kina nyoni kina mkude kina kakolanya yani naumia tuu...ujue tuliwazoea....Kalpana tupe maoni yako. Mnyama awatose nani aimarishe wapi
samaani mkubwa angu unaonekana una cheo krab ya simba naomb nije iniboksi unisaidie mudogo wangu achezee krabu hii kubw aflika mashaliki.asante ubalikiwe1. Chama
2. Inonga
3. Phiri
4. Sakho
5. Baleke
Wasajiliwe wengine Saba (7) tu Wazuri kama hawa Watano (5) niliowataja hapa ili Kutimia Idadi ya Wachezaji wa Kigeni Kumi na Mbili (12) Wanaotakiwa ili Simba SC irejeshe Hadhi na Heshima yake.
Chama hakupaswa rudi Simba, ila tatizo la Simba na Yanga zinasikiliza kelele za mashabiki mnoWachezaji wazuri Simba mimi naona ni Inonga na Kanoute tu. Chama msimu ujao mtamkataa.
Wewe umemaliza kabisa, ila cha ajabu Bocco hataondolewaKULETA WACHEZAJI MIZIGO.
Kwanini mmepoteza Beno kakolanya kirahisi hivyo????
1. Mohamed Ottara.
2. Joash Onyango.
3. Ismail sawadogo.
4.Peter Banda.
5. Pape Sackho.
6.Agustine Okrah.
7. ( Sadio kanute)
WACHEZAJI WAZAWA WA KUACHWA.
1.John Boko.
2.Jonas Mkude.
3. GADIEL Michael.
4. Nassor Kapama.
5.Habib Kyombo.
NAFASI MUHIMU ZA KUJAZA.
1.Golikipa nambari Mbili.
2. Beki wa kushoto.
3. Mabeki wa kati .
4. Kiungo mkabaji ,, 6 ,, 8.
5. Mshambuliaji wa KIGENI futi sita.
6. Winga wa kushoto.
ZINGATIENI SANA VIMO VYA WACHEZAJI WALAU 6 FEET.
BORA KUSAJILI WACHEZAJI WACHACHE KULIKO KUWA NA RUNDO LA WACHEZAJI MIZIGO.
MOHAMED DEWJI.
TRY AGAIN.
MANGUNGO.
BODI YA WAKURUGENZI.
samaani mkubwa angu unaonekana una cheo krab ya simba naomb nije iniboksi unisaidie mudogo wangu achezee krabu hii kubw aflika mashaliki.asante ubalikiwe
Top scorer( Saidoo) naye hafai?Wachezaji wazuri Simba mimi naona ni Inonga na Kanoute tu. Chama msimu ujao mtamkataa.
Ila Fraga anaipenda Simba hadi keshooo.Kama kuna mpuuzi huwa simwelewi basi ni huyo Kanoute. Leo yuko form, game kadhaa mbele hayuko form, na anachomesha balaa kwa mikadi ya njano ya kijinga jinga. Kuna wakati niliumia Fraga anaomba kurudi Simba ila uongozi unambania, unaendelea kuliamini hili jinga Kanoute.
Kiungo mkabaji unakuwa nyoro nyoro namna ile? Ni mara nyingi amewapa kazi ngumu mabeki. Akwendeee!!!!
Saidoo nae out?1. Chama
2. Inonga
3. Phiri
4. Sakho
5. Baleke
Wasajiliwe wengine Saba (7) tu Wazuri kama hawa Watano (5) niliowataja hapa ili Kutimia Idadi ya Wachezaji wa Kigeni Kumi na Mbili (12) Wanaotakiwa ili Simba SC irejeshe Hadhi na Heshima yake.
Hujui mpira wewe tuliaHamna mchezaj mule ,ni WA kawaida sana muda wowote anakuchoma
Kabisa yaani. Mi hata sielewi kwanini viongozi wetu wanampotezea kiasi hicho.Ila Fraga anaipenda Simba hadi keshooo.