Wachezaji wa kitanzania wenye thamani kubwa.

Wachezaji wa kitanzania wenye thamani kubwa.

Nyoni amewazidi thamani kina idd nado, kibabage hadi yule joshua wa tusker hayupo kwenye list.. duuh makolo mpira umewashinda
 
Nyoni amewazidi thamani kina idd nado, kibabage hadi yule joshua wa tusker hayupo kwenye list.. duuh makolo mpira umewashinda
images (9).jpeg
images (8).jpeg
 
Yaani kwanza hii list ilipoanza tu manula na bocco Plus gadiel kumpita feisal fundi nimeipuuzia.

Hii itakuwa mudi kaedit, sasa bocco na nyoni nani atawanunua africa hapa?
Ila makolo huwa mnavunja mbavu sana watu
Sasa feisal ana thamani gani nawewe ebu acha mapenzi yako
 
Sasa feisal ana thamani gani nawewe ebu acha mapenzi yako
Bocco na nyoni ndio wenye thamani nchi nzima?
Hebu acha unazi wenu mnataka jf nzima iwe hivi tu.
Kwanza hiyo source haiaminiki.
 
Bocco na nyoni ndio wenye thamani nchi nzima?
Hebu acha unazi wenu mnataka jf nzima iwe hivi tu.
Kwanza hiyo source haiaminiki.
Niwekee source unayo iamini tuitumie hiyo hiyo kama mzani tuone kama huko feisal kamzidi bocco
 
Kashabikie porno tu we kolo
Kila nikikumbuka kuwa umezaliwa 2002 na hii akili unayotumia ya kijinga unayotumia kucomment kwenye mijadala mbalimbali humu Jf, nashawishika kuamini kwamba wewe ni tatizo la baadae.
 
Back
Top Bottom