Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Kijijini kwetu tunawaita akina "Hawa"!awa ndio kina prevadinyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kijijini kwetu tunawaita akina "Hawa"!awa ndio kina prevadinyo
Wewe ndo Mungu?Sawa Mayele sio mzuri ; lakini mtafute striker
Bondeni hamuwezi kutoka kwa namna yoyote ile.Hata akishuka yesu ni lazima MTOKE
Hao si Mabingwa wa kihistoria.Ni Mabingwa wa Stori tena za vijiweni.Tule tuporojo.Umeongea ukweli ila tatizo lako ni uko timu ambayo always inajiita mabingwa wa kihistoria pale tu wakishinda ila wakipigwa wanajiita wananchi.b
Walitegemea Simba atafungw... sasa wanatabiri tena na mikeka yao ilisomeka Opirate anawin or draw.... sababu kuu et mechi za makundi kashinda ugenini na nyumbani!!!Kijijini kwetu tunawaita akina "Hawa"!
Walitegemea Simba atafungw... sasa wanatabiri tena na mikeka yao ilisomeka Opirate anawin or draw.... sababu kuu et mechi za makundi kashinda ugenini na nyumbani!!!
NAWAPA POLE MLIOUMIZWA NA USHINDI WA SIMBA!
Kwa hyo hyo yanga yenye team work na sprit imefikia hatua gani huo ushauri badala uwape yanga ili wafike mbali unakuja kuutoa kwa simba ww unadhani wale Orlando pirates ni geita gold hebu ombeni nao mechi ya kirafiki kabla hawajaondoka somalia tu waliwatoa jasho.
Kwenye timu yako ya utopolo huna mchezaj kama sakhoShomari Kapombe show me the way .......
Juzi niliandika kuwa SSC haijaandaliwa game za knock out kama hizi. Ushindi wa leo means ni point 3 kwenye makundi, hii ndiyo inaibeba SSC kwenye makundi lakini kwenye hizi knock out ni kama imeshapoteza , huo ndiyo ukweli MCHUNGU.
Sitegemei SSC kama itavuka hii hatua lakini kwenye mpira lolote linaweza kutokea.
Nilimwambia Ahmed Ali nilipokutana nae pale Msimbazi kuwa mpira sio uhamasishaji na kusumbua watu mtaani, mpira ni investment na kuwa na team yenye muunganiko, Simba inakosa kitu muhimu kama TEAMWORK na MUUNGANIKO.
Ukiangalia Uchezaji wa SAKO au KIBU, ni uchezaji wa KIUBINAFSI zaidi ambao kimsingi game kama hizi hautakiwa. SAKO anataka kulazimisha kushinda yeye, huku pembeni yake kuna wachezaji walio kwenye position nzuri.... matokeo yake hakuna anayeshinda... hivyo hivyo kwa KIBU. Team work kwenye timu haipo.
Michuano ya KIMATAIFA ni team work na siyo INDIVIDUAL PERFORMANCE. Hii Philosophy inatakiwa kuwa kwenye vichwa vya wachezaji na kuwe na walimu wa kuwafundisha wachezaji maana ya team work, badala yake muda mwingi unatumika kusumbua watu MITAANI , na kusahau TATIZO la MSINGI la SSC.
Sasa ngoja muende SA mkaoneshwe nidhamu ya mpira na maana ya team work.
Nilisema SSC hamuwezi kupita na HAMTOPITA. Huo ndio UKWELI mchungu, mtajadili jadili hapa sijui suluhu kule sijui nini , lakini jibu ni moja, MTAFUNGWA straightforward bila hata ya kutumia nguvu.
Timu ina lack key factors nyingi sana;
1. Hakuna Team work
2. Ubinafsi kwa wachezaji wa SSC, inaelekea hakuna Kiongoz wa SSC anayeliona hili ni tatizo . Kama KIBU na SAKO wasingekuwa wabinafsi , SSC ingeweza kuwa na goli hata tatu. Sako amekuwa mbinafsi snaa kwenye mechi hizi inaelekea akiwa na mpira focus ni yeye kushinda na sio timu ishinde, wachezaji kama hawa hawawezi kuwa msaada kwenye timu. Sako alitakiwa asiingie kipindi cha pili.
Enock , Morison ni watu sana. Enock anayo spirit ya team work, he is always working for the team: SAKO na KIBU are Always working for their little EGO .
3. Hakuna Spirit ya kucheza away game ; nina hakika kule SA , ndani ya kipindi cha 1 simba atakuwa amekalia goli mbili huku lango lake likiandamwa
4 tatizo la nne SSC haina STRIKER sababishi kama vile Mayele ambae kwa nafasi wanazotengeneza SSC , Mayele angekuwa anaondoka na HAT TRICK mara zote .
5 . Tatizo lingine ni Pablo hana maamuz ya haraka, he is always complaining for nothing, mtu kama SAKO alitakiwa atoke kipindi cha kwanza, he is too much into his mind .....
Haya sasa mrudi Kwenye Ligi kusikilizia maumivu ya point 10 ; Pablo nae ajiandae kufukuzwa manaa. Safari ya SSC imefika mwisho.
View attachment 2191216
Hivi bado hujala Kona tu?Una roho ngumu sana.Au umebugia saruji?
Kwani kufungwa na kuondolewa kwenye mashindano ni ajabu?"Sasa ngoja muende SA mkaoneshwe nidhamu ya mpira na maana ya team work.
Nilisema SSC hamuwezi kupita na HAMTOPITA. Huo ndio UKWELI mchungu, mtajadili jadili hapa sijui suluhu kule sijui nini , lakini jibu ni moja, MTAFUNGWA straightforward bila hata ya kutumia nguvu."
KWAMANENO HAYO WEWE UTOPO KALALE!
Kwahiyo tukifungwa wewe na familia yako mtafaidika na nini ... Kwenye mpira lolote linaweza tokeaPole , Umeumia kwa sababu nimeongea Ukweli Mchungu. MTAFUNGWA straightforwardly bila hata kutumia nguvu. Ninasema tena timu haijaandaliwa kimashindano ya mtoano
"Sasa ngoja muende SA mkaoneshwe nidhamu ya mpira na maana ya team work.
Nilisema SSC hamuwezi kupita na HAMTOPITA. Huo ndio UKWELI mchungu, mtajadili jadili hapa sijui suluhu kule sijui nini , lakini jibu ni moja, MTAFUNGWA straightforward bila hata ya kutumia nguvu."
KWAMANENO HAYO WEWE UTOPO KALALE!