Wachezaji wa SSC Team-Work inawagharimu

Wachezaji wa SSC Team-Work inawagharimu

"Sasa ngoja muende SA mkaoneshwe nidhamu ya mpira na maana ya team work.

Nilisema SSC hamuwezi kupita na HAMTOPITA. Huo ndio UKWELI mchungu, mtajadili jadili hapa sijui suluhu kule sijui nini , lakini jibu ni moja, MTAFUNGWA straightforward bila hata ya kutumia nguvu."

KWAMANENO HAYO WEWE UTOPO KALALE!
 
IMG_7420.jpg
 
Kwa hyo hyo yanga yenye team work na sprit imefikia hatua gani huo ushauri badala uwape yanga ili wafike mbali unakuja kuutoa kwa simba ww unadhani wale Orlando pirates ni geita gold hebu ombeni nao mechi ya kirafiki kabla hawajaondoka somalia tu waliwatoa jasho.
 
Walitegemea Simba atafungw... sasa wanatabiri tena na mikeka yao ilisomeka Opirate anawin or draw.... sababu kuu et mechi za makundi kashinda ugenini na nyumbani!!!

NAWAPA POLE MLIOUMIZWA NA USHINDI WA SIMBA!

Subiri wiki ijayo, uje hapa

IMG_7420.jpg
 
Kwa hyo hyo yanga yenye team work na sprit imefikia hatua gani huo ushauri badala uwape yanga ili wafike mbali unakuja kuutoa kwa simba ww unadhani wale Orlando pirates ni geita gold hebu ombeni nao mechi ya kirafiki kabla hawajaondoka somalia tu waliwatoa jasho.

Sawa. Muda utaongea
 
Shomari Kapombe show me the way .......

Juzi niliandika kuwa SSC haijaandaliwa game za knock out kama hizi. Ushindi wa leo means ni point 3 kwenye makundi, hii ndiyo inaibeba SSC kwenye makundi lakini kwenye hizi knock out ni kama imeshapoteza , huo ndiyo ukweli MCHUNGU.

Sitegemei SSC kama itavuka hii hatua lakini kwenye mpira lolote linaweza kutokea.

Nilimwambia Ahmed Ali nilipokutana nae pale Msimbazi kuwa mpira sio uhamasishaji na kusumbua watu mtaani, mpira ni investment na kuwa na team yenye muunganiko, Simba inakosa kitu muhimu kama TEAMWORK na MUUNGANIKO.

Ukiangalia Uchezaji wa SAKO au KIBU, ni uchezaji wa KIUBINAFSI zaidi ambao kimsingi game kama hizi hautakiwa. SAKO anataka kulazimisha kushinda yeye, huku pembeni yake kuna wachezaji walio kwenye position nzuri.... matokeo yake hakuna anayeshinda... hivyo hivyo kwa KIBU. Team work kwenye timu haipo.

Michuano ya KIMATAIFA ni team work na siyo INDIVIDUAL PERFORMANCE. Hii Philosophy inatakiwa kuwa kwenye vichwa vya wachezaji na kuwe na walimu wa kuwafundisha wachezaji maana ya team work, badala yake muda mwingi unatumika kusumbua watu MITAANI , na kusahau TATIZO la MSINGI la SSC.

Sasa ngoja muende SA mkaoneshwe nidhamu ya mpira na maana ya team work.

Nilisema SSC hamuwezi kupita na HAMTOPITA. Huo ndio UKWELI mchungu, mtajadili jadili hapa sijui suluhu kule sijui nini , lakini jibu ni moja, MTAFUNGWA straightforward bila hata ya kutumia nguvu.

Timu ina lack key factors nyingi sana;

1. Hakuna Team work
2. Ubinafsi kwa wachezaji wa SSC, inaelekea hakuna Kiongoz wa SSC anayeliona hili ni tatizo . Kama KIBU na SAKO wasingekuwa wabinafsi , SSC ingeweza kuwa na goli hata tatu. Sako amekuwa mbinafsi snaa kwenye mechi hizi inaelekea akiwa na mpira focus ni yeye kushinda na sio timu ishinde, wachezaji kama hawa hawawezi kuwa msaada kwenye timu. Sako alitakiwa asiingie kipindi cha pili.
Enock , Morison ni watu sana. Enock anayo spirit ya team work, he is always working for the team: SAKO na KIBU are Always working for their little EGO .

3. Hakuna Spirit ya kucheza away game ; nina hakika kule SA , ndani ya kipindi cha 1 simba atakuwa amekalia goli mbili huku lango lake likiandamwa

4 tatizo la nne SSC haina STRIKER sababishi kama vile Mayele ambae kwa nafasi wanazotengeneza SSC , Mayele angekuwa anaondoka na HAT TRICK mara zote .

5 . Tatizo lingine ni Pablo hana maamuz ya haraka, he is always complaining for nothing, mtu kama SAKO alitakiwa atoke kipindi cha kwanza, he is too much into his mind .....

Haya sasa mrudi Kwenye Ligi kusikilizia maumivu ya point 10 ; Pablo nae ajiandae kufukuzwa manaa. Safari ya SSC imefika mwisho.

View attachment 2191216
Kwenye timu yako ya utopolo huna mchezaj kama sakho
 
"Sasa ngoja muende SA mkaoneshwe nidhamu ya mpira na maana ya team work.
Nilisema SSC hamuwezi kupita na HAMTOPITA. Huo ndio UKWELI mchungu, mtajadili jadili hapa sijui suluhu kule sijui nini , lakini jibu ni moja, MTAFUNGWA straightforward bila hata ya kutumia nguvu."

KWAMANENO HAYO WEWE UTOPO KALALE!
Kwani kufungwa na kuondolewa kwenye mashindano ni ajabu?
Hiyo ni sehemu ya mchezo. Utopolo alishiriki haya mashindano ya CAF lakini aliishia Kuliingiza taifa katika historia mbaya ya aibu ya kusuguliwa kotekote na Rivers .Leo ya simba mnayashadadia utafikiri nyie mko fainali. Uto [emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196] mna matatizo Sana vichwani
 
"Sasa ngoja muende SA mkaoneshwe nidhamu ya mpira na maana ya team work.
Nilisema SSC hamuwezi kupita na HAMTOPITA. Huo ndio UKWELI mchungu, mtajadili jadili hapa sijui suluhu kule sijui nini , lakini jibu ni moja, MTAFUNGWA straightforward bila hata ya kutumia nguvu."

KWAMANENO HAYO WEWE UTOPO KALALE!

Mimi ni SSC ninayeongea ukweli TUPU
 
Uchambuzi wako unanikumbusha Thiery Henry,Henry alikua mchambuzi nguli mpaka wadau wakaona ngoja tumpe timu afundishe,akapewa Ajax kilichofatia ni aibu kusema.
Bongo wachambuzi ni wengi mpaka mnajichanganya wenyewe.
 
Back
Top Bottom