Wachezaji wa Taifa Stars baada ya kuambiwa Kocha Mkuu Adel hayuko tena wamefurahi na kuahidi kufanya kweli

Wachezaji wa Taifa Stars baada ya kuambiwa Kocha Mkuu Adel hayuko tena wamefurahi na kuahidi kufanya kweli

Unamwachaje beki Kijili? Wenzetu wamepeleka majitu kama kijili kila namba
Sasa tatizo letu kiwango tu.
Tulishaweka majitu akina Mwaikimba yalikuwa yana kimbia kimbia tu uwanjani tukapigwa nne pale CCM Kirumba Mwanza enzi za Maximo. Boko naye jitu hakufanya maajabu yoyote enzi zake.
 
Unavuka mipaka sasa. Ko tuseme Maza ako alizaa andazi yaani!!!

Usimdharau dingi ako kumpiga pumbu maza ako na matako kayakaza utokee wewe alafu ujione andazi bwege wewe😂😂😂

Jifunze kuchunga mdomo wako kwanza ukikua utaacha makalio ya mbuzi wewe😂😂😂😂😂😂😂
We pumbavu unafikiri mi na wewe tunalingana mpaka inaanza kuniita andazi, kwa hiyo imekuuma nilivyokwambia aliyekuzaa ndio chawa. Kama aliyekuzaa angekulea vizuri ingekuwa na adabu kenge we
 
Hausomi
Haufanyi past papers
Unaamini uniform yako utakayovaa ikishonwa na bibi utafaulu dvshen wan kama ya manara

Hata team apewe guardiola badoooo
 
Kwa tz hata tungemuazima Messi tukampa jezi ya taifa stars avae lazima tungefungwa au nasema uwongo bro kataa
Kaka hapa bongo hatujui vitu vizuri hatuangalii mbali na hatuna nia ya dhati ya kufikisha soka letu mbali tumejawa na zile akili za nikipata nafasi napiga changu mapema viongozi wengi wanaangalia maslahi yao sifuatilii sana mpira ila naumia timu ya taifa ikifungwa sijui kwa nini mpaka nawaona manyani tu yafungwe ndio basi tena
 
Wayanzania wajinga wengi sana acha ccm.wafanye watakalo
....
 
Kwa mujibu wa chanzo changu muhimu kilichopo kambini Ivory Coast kimesema kwa furaha iliyoko sasa kambini kwani hata wachezaji nao kuanzia nahodha Samatta walikuwa hawamkubali na hawamtaki kocha mkuu dalali Adel Amrouche.

Wamesema wanaenda kuwafunga Zambia na hata Congo DR ili tu kuwaheshimisha makocha wazawa kaimu kocha mkuu hemed morocco na msaidizi wake kocha Juma Mgunda.

Soma:
- CAF yamfungua mechi 8 Kocha wa Taifa Stars, huku TFF ikimsimamisha. Aliishutumu Morocco kwa kupanga mechi
Ni upuuzi mtupu. Timu yetu ni mbovu tu. Mbwana Samatta na Saimon Msuva wakati wao umeshapita.
Watamfunga Zambia au DRC kwa mpira upi? Hivi ni nani alichagua hii timu? Karia au kocha? Naona hii ni timu ya wanasiasa si timu ya watu wanaojua mpira.
 
Ila kwa nini sisi hatuwaamini makocha wazawa? Ona Senegal, Cameroon wanafanya vyema na makocha wao wazawa.
Cameroon wamefanya nini na kocha mzawa. Wamenyakua kombe gani.
 
hivi, tuseme ukweli, tukimweka kocha wa kibongo tukamlipa pesa nzuri kama wanayolipwa makocha wanaotoka nje, atashindwa kweli kutufikisha pazuri? chukua kocha mbongo lipa hata milioni 20 kwa mwezi uone kama hajafundisha timu kufa na kupona.
Wewe mbona una akili za kichuchu? Nani alikwambia pesa huongeza ujuzi..😳😳😳
 
Kwa hiyo hao wachezaji walienda Cote D'Ivoire kumchezea huyo kocha...!!!
 
Hata wachezaji wetu wa Stars hasa wazawa nao wanaficha madhaifu yao kwa kumsingizia kocha. Kiufupi ni kwamba hatuna wachezaji wa viwango.
Hatupaswi kuwabeza tunapaswa kuja na suluhisho ya Changamoto walizozionyesha.Kwao kucheza Makundi ni hatua kubwa sana.
 
Back
Top Bottom