Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
What is source of your content?WACHEZAJI WANAOVUTA MKWANJA MREFU YANGA SC:
1.Aziz Ki -Sh 23.2M
2.Morrison -Sh 23.2M
3.Aucho - Sh 16.2M
4.Mayele - Sh 16.2M
5.Diara-Sh 9.2M
View attachment 2355943
Kama Mzungu anavyovuta mpunga mrefu kuliko juma mgunda 😂😂😂😂😂Kama ni kweli basi Yanga haimtendei haki Mayele
Mayele ana influence kubwa sana katika ubingwa wa msimu uliopita, Morrison alikuwa sio wakumzidi Mayele.
Huyo Azizi Ki hajafikia hadhi ya 16.2M, hayo ni matumizi mabaya ya pesa na ulimbukeni.
Mayele alitakiwa ale sambamba na Nabi ikiwezekana Nabi azidiwe kabisa
WACHEZAJI WANAOVUTA MKWANJA MREFU YANGA SC:
1.Aziz Ki -Sh 23.2M
2.Morrison -Sh 23.2M
3.Aucho - Sh 16.2M
4.Mayele - Sh 16.2M
5.Diara-Sh 9.2M
View attachment 2355943
Vipi Kocha Juma Mgunda na Matola! Nani anavuta mkwanja mrefu zaidi hapo msimbazi?WACHEZAJI WANAOVUTA MKWANJA MREFU YANGA SC:
1.Aziz Ki -Sh 23.2M
2.Morrison -Sh 23.2M
3.Aucho - Sh 16.2M
4.Mayele - Sh 16.2M
5.Diara-Sh 9.2M
View attachment 2355943
Kama ni kweli wanakosea sana na kuna watu hawawapi heshima zao mtu bangala msim uliopita kaupiga mwingi , mayele , Feisal... huyo morison sjui mchawi hata sielewWACHEZAJI WANAOVUTA MKWANJA MREFU YANGA SC:
1.Aziz Ki -Sh 23.2M
2.Morrison -Sh 23.2M
3.Aucho - Sh 16.2M
4.Mayele - Sh 16.2M
5.Diara-Sh 9.2M
View attachment 2355943
Leo umeongea point . Mayele anatakiwa ale mshahara sawa na Nabi + Hersi said+ manaraKama ni kweli basi Yanga haimtendei haki Mayele
Mayele ana influence kubwa sana katika ubingwa wa msimu uliopita, Morrison alikuwa sio wakumzidi Mayele.
Huyo Azizi Ki hajafikia hadhi ya 16.2M, hayo ni matumizi mabaya ya pesa na ulimbukeni.
Mayele alitakiwa ale sambamba na Nabi ikiwezekana Nabi azidiwe kabisa
From hater to loyal fan [emoji23][emoji23]Kama ni kweli basi Yanga haimtendei haki Mayele
Mayele ana influence kubwa sana katika ubingwa wa msimu uliopita, Morrison alikuwa sio wakumzidi Mayele.
Huyo Azizi Ki hajafikia hadhi ya 16.2M, hayo ni matumizi mabaya ya pesa na ulimbukeni.
Mayele alitakiwa ale sambamba na Nabi ikiwezekana Nabi azidiwe kabisa
Hawa wameshachanganyikiwa, ni wa kuwasamehe tu.Source?
Mtaweweseka sana.Leo umeongea point . Mayele anatakiwa ale mshahara sawa na Nabi + Hersi said+ manara
Tomato sauceSource?
Na Fei Toto. Azizi ilikua ni vita ya kifedha ndiyo maana imefika hukoKama ni kweli basi Yanga haimtendei haki Mayele
Mayele ana influence kubwa sana katika ubingwa wa msimu uliopita, Morrison alikuwa sio wakumzidi Mayele.
Huyo Azizi Ki hajafikia hadhi ya 16.2M, hayo ni matumizi mabaya ya pesa na ulimbukeni.
Mayele alitakiwa ale sambamba na Nabi ikiwezekana Nabi azidiwe kabisa