Ila Inonga ni kama simuelewi siku hz toka aje huyu Chemalone amekua anacheza kizembe zembe...au macho yangu..
Wacha washupaze shingo umbwa Hawa,Badala ya kujikita kwenye ubora wa scauting Yao Ili kupata usajiri bora.yapo na jazba ya 🖐️yanapaluana.Kama kuna kiongozi yoyote wa simba alikua anafikiri ataifunga yanga nayeye aondoke haraka.Kwani wakikubali kua yanga iko vizuri zaidi kuliko simba ili wapate nafasi yakujipanga upya watapungukiwa nini.Wanakimbilia kuwaza hujuma wakati mpira wenyewe unaonekana tulizidiwa kila mahali.Ata kama kuna hujuma na viongozi watakua wanahusika pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
huyo yamkini alikuwa anatafutiwa fursa ya kuachana nae kwa amani na fursa sasa imepatikanakama hao wachezaji watano walihujumu timu kwanini kocha akatimuliwa??
Yanga tulifungwa na Ihefu Kwa makosa ya kocha kupanga timu mbovu lakini tulivumilia. Kwa hiyo Simba isifungwe wao ni Nani ? Kweli madunduka ni shida
Wachezaji watano wa Simba Sc akiwemo Enock Inonga na Clatous Chota Chama wamesimamishwa kazi kupisha uchunguzi dhidi yao baada ya kufungwa na Yanga SC mabao 5-1 siku ya Jumapili.
Wachezaji hao wanatuhumiwa kuihujumu timu kitendo kilichopelekea kupoteza kwa idadi kubwa ya mabao.
Maamuzi hayo yamefanyika katika kikao cha bodi ya Wakurugenzi ya Simba kilichofanyika jana jijini Dar es salaam.
Chanzo cha uhakika kutoka Simba SC kimeiambia Kishamba Media kuwa uongozi umeshapata ushahidi wa awali kuhusu tuhuma dhidi ya wachezaji hao na sasa imeanza uchunguzi wa kina ili kujiridhisha.
Wachezaji hao watakua nje ya kambi ya timu mpaka hapo maamuzi mengine yatakapofanyika.
Chanzo hicho kimesema huwenda leo klabu ya Simba ikatoa taarifa ya wazi kwa Umma juu ya maamuzi waliyofikia kuhusu wachezaji hao au wasitoe ila wahusika wamepewa taarifa.
Maamuzi mengine yaliyofikiwa na bodi ni kufutwa kazi kwa kocha mkuu Robertinho, msaidizi wake pamoja na kocha wa viungo.
Kishamba Updates
Hata Man U alishawahi kuloweshwa goli 6Ni kweli hata Man City ilinyujwa msimu wa mwaka juzi goli 5-3 na Liverpool wakati ilikuwa na kiwango kizuri kabisa cha gozi.
Hata Man U alishawahi kuloweshwa goli 6
SawaKama huoni tatizo ni Che Malone basi Fanya uchunguzi upya.
Maamaaaeeh kile kiajuza kipuuzi sanaMnge anza na Tatu Malogo ndio kaleta yote haya, alikua anawafichia ugonjwa mmekutana na dokitari bingwa mmefanyiwa full body analysis
Heshima gani mnayompa,huoni kuwa title ya Uzi imehaririwa na haifanani na content yake.
Una hoja DUNDUKA mjingaUpuuzi tuu wa kumsema Tatu..nyie mmebebwaaa na mibahasha yenu msimu ulopita...watu tukamyuti...
Haya Topolo kilaza...Una hoja DUNDUKA mjinga
Inauma kma pasi mbumbumbu fcHaya Topolo kilaza...
Yes Jaribu tena, Mangungo na Kajuro hawafai hata kuongoza abajallo fc.Reformation. Wareform kuanzia uongozi wasiwaonee wengine tu.
Hii hojakama hao wachezaji watano walihujumu timu kwanini kocha akatimuliwa??
barcelona alipigwa bao 7Hata Man U alishawahi kuloweshwa goli 6
Moderator hawawezi kukuomba radhi wewe . Sema Uongozi wa Simba ndio Ukushukuru kwa kutoa wazo litakalosaidia KUWAAMINISHA MASHABIKI KUWA SIMBA ILIHUJUMIWA.Moderators waniombe Radhi kwa kufuta Uzi wangu wa Juzi kuwa Inonga, Kapombe, Manula, Chama na Baleke Wameihujumu Simba SC na Kufungwa 5 kwa 1 na Yanga SC