Wachezaji wazawa Simba na Yanga wavae vitambaa vya kupinga Utekaji, upoteaji na mauaji.

Wachezaji wazawa Simba na Yanga wavae vitambaa vya kupinga Utekaji, upoteaji na mauaji.

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Huwa naona timu za mpira ulaya wanahamasisha kampeni za mambo mbalimbali kama vile upingaji ubaguzi wa rangi au kuwanyanyapaa mashoga. Hii ni kutokana na nguvu ya michezo.

Marekani pia timu za mpira wa basketball huwa na harakati mbalimbali dhidi ya mauaji ya bunduki.

Huu ni wakati sahihi wa timu za Simba na Yanga kufanya kampeni mbalimbali za uwanjani dhidi ya utekaji, upoteaji na mauaji holela ya raia kwa sababu ya nguvu yao ya hamasa katika jamii inaweza kuwa na uzito mkubwa sana.
 
wachezaji wenyewe hawa wasngeju mkuu hakuna kitu nchi ina machawa vilaza tu wasanii usiwasahau
 
Back
Top Bottom