Wachezaji Wengi Wa Simba SC Walioenda Kwenye Timu zao za Taifa Wamezisaidiaje?

Mbona unashangaa mafanikio ya cecafa? kwanin stars ishafanikiwa wapi zaidi ya hapo?

Ewaaaa! Ndiyomana nikakwambia Tanzania haijawahi kufanikiwa Kimpira regardless imejaza wachezaji wa Simba au Yanga.

Mwinyi alishamaliza kazi "Ni Kichwa cha Mwendawazimu".
 
Una roho mbaya na mbaguzi sana we dada!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…