Wachina kujazana Marekani

Wachina kujazana Marekani

unataka tuwaite wawekezaji hawa wanaoleta ma dude ya kamali yale? Hao ni wababaishaji tu hata kama kwao wametuzidi uchumi.
Jiulize kwa nini watu wanayaweka kwenye maeneo ya starehe ina maana yanawalipa.

Elimu ya biashara muhimu sana kwa Watanzania. Wenzetu wanaona fursa sisi tunaona ubabaishaji.

Inaskitisha sana taifa likiwa na vijana kama hawa

Kazi kweli kweli 🤔
 
Inawezekana hujui hata umeandika nini, Bruce Lee ni Mmarekani na kaburi lake lipo Marekani.

Ukijuwa population ya Wahindi na Wachina huwezi kuandika huu ujinga kushangaa watu hawa kuwepo duniani kote.

Marekani kuna Chines town, hii maana yake ni jamii inayotambulika Marekani.
Na china kuna American Town??kama hakuna basi ujue marekani sio kama ushuzi eti useme ukinywa maji bila kula utajamba
 
Raia wa marekani wapo China lakini population haiwezi fanana na Chinese people waliopo US kwa sababu China ina watu wengi tofauti na US.

Hamnaa hutakuta Wamarekani wanahangaika umachinga kule China, mkubali ukweli Marekani ni bingwa dunia, chuki zenu dhidi yake hazisaidii kitu.
 
Kuna mgeni mzungu aliwahi kukamatwa na uhamiaji kisa vibali vya kazi, hiyo ilitokea baada ya kuchongewa.
Sasa ile wanaongozana naye, akasema "I am American", aisei ghafla upepo ukabadilika, wale maofisa wakanywea balaa na kumuambia jameni hatujakukamata, tutakusaidia uombe vibali, na kweli wakamsaidia, ila mwanzoni walikua wanampelekesha balaa.
Kuwa raia wa Marekani ni hadhi ya juu, hata wanawake wengi matajiri huenda kuzalia huko ili watoto wawe na uraia moja kwa moja.
 
Kuna mgeni mzungu aliwahi kukamatwa na uhamiaji kisa vibali vya kazi, hiyo ilitokea baada ya kuchongewa.
Sasa ile wanaongozana naye, akasema "I am American", aisei ghafla upepo ukabadilika, wale maofisa wakanywea balaa na kumuambia jameni hatujakukamata, tutakusaidia uombe vibali, na kweli wakamsaidia, ila mwanzoni walikua wanampelekesha balaa.
Kuwa raia wa Marekani ni hadhi ya juu, hata wanawake wengi matajiri huenda kuzalia huko ili watoto wawe na uraia moja kwa moja.
Naunga mkono hoja
 
Jiulize kwa nini watu wanayaweka kwenye maeneo ya starehe ina maana yanawalipa.

Elimu ya biashara muhimu sana kwa Watanzania. Wenzetu wanaona fursa sisi tunaona ubabaishaji.

Inaskitisha sana taifa likiwa na vijana kama hawa

Kazi kweli kweli 🤔
Sizungumzii ma casino nazungumzia yale ya kuweka coin.

Sehemu za starehe unazijua mkuu? Yani madude yapo mitaani ndio sehemu za starehe? Ukienda kwao uweke hayo mitaani watakuruhusu?

Kwahyo fursa za biashara ni kuweka hayo madude yazagae mtaani unajua athari zake baada ya muda?

Wewe ndio kijana wa hovyo kabisa kama ni mzee basi huna busara ni mtu mzima hovyo.
 
Hamnaa hutakuta Wamarekani wanahangaika umachinga kule China, mkubali ukweli Marekani ni bingwa dunia, chuki zenu dhidi yake hazisaidii kitu.
Nani na nani ana chuki na US ?
 
Kwahiyo unataka tuwaite wawekezaji hawa wanaoleta ma dude ya kamali yale? Hao ni wababaishaji tu hata kama kwao wametuzidi uchumi.

Taifa letu bado halina ufuatiliaji wa karibu wachina machinga wapo kibao hapo K.koo huo ndio ukweli.
Nauli ya kutoka China hadi Tanzania na kurudi kwao ni shilingi ngapi, ili tuone kuna nini wanachokipata hapa kwetu.
 
Nauli ya kutoka China hadi Tanzania na kurudi kwao ni shilingi ngapi, ili tuone kuna nini wanachokipata hapa kwetu.
Sijaelewa mantiki yako mkuu.

Kwamba tukijua nauli yao ndio inakuwa nini?
Kuna wapo wawekezaji wa kichina wanastahili wanaviwanda n.k

Mi nazungumzia hao wenye makolokolo ni wababaishaji hawapaswi kuruhusiwa kama wawekezaji.
 
Username yako imeanza na Dr. na kumalizia PhD. Katikati kuna Matola. Kijijini kwetu Matola ni mavi.
Mzee si ungeuliza? Kwani kuwepo Wachina-Wamarekani kunazuia Wachina wasioWamarekani kwenda kutafuta maisha? Kama unahitaji nyama zaidi kwenye andiko langu si ungeuliza? Poor Makimba.
[emoji23][emoji23] mkuu umedadavua vizur sana jina lake yaan as if una solve zile hesabu za Sin, Cos plus logarithms
 
Hujamjibu ila umemjibu kishabiki tu. China pamoja na kuwa na uchumi wa pili kwa ukubwa duniani lakini watu wake wengi sana bado wanaishi chini ya mstari wa umaskini na ndio maana wengine wanakuja hata kufanya umachinga huku kwetu.

Wakati huohuo serikali yao eti inahangaika kutafuta namna ya kutaka kwenda mwezini. Bure kabisa.
Kwani huko marekani masikini hamna?? "yaleyale tu sema huko wengi wanatambia status ya nchi huku wengine wakiwa makapuku wakifa na tai shingoni
 
Ukiwa na pesa popote ww ni mfalme lakini ukiwa shoga au kahaba kunasehemu utaziona chungu maana hakuna wakukutetea kampani yako haipo wapi ulisikua china anatetea usenge lakini yule jamaa kitendo cha mseveni kukataa usenge yule jamaa kashaanza mala vikwazo
 
Sizungumzii ma casino nazungumzia yale ya kuweka coin.

Sehemu za starehe unazijua mkuu? Yani madude yapo mitaani ndio sehemu za starehe? Ukienda kwao uweke hayo mitaani watakuruhusu?

Kwahyo fursa za biashara ni kuweka hayo madude yazagae mtaani unajua athari zake baada ya muda?

Wewe ndio kijana wa hovyo kabisa kama ni mzee basi huna busara ni mtu mzima hovyo.
Hiyo kampuni inalipa kodi kwa serikali shida iko wapi mkuu?
 
Hamnaa hutakuta Wamarekani wanahangaika umachinga kule China, mkubali ukweli Marekani ni bingwa dunia, chuki zenu dhidi yake hazisaidii kitu.
Labda nikuulize swali: Kwa nini Wachina wanakuja kufanya biashara hapa Tanzania, kwamba Tanzania ni bingwa duniani

Wachina ni watu wa fursa popote wanaingia kutengeneza pesa wanapiga hela hapo Marekani mpaka wenyeji wameanza kuwaonea wivu.

Baadhi ya majimbo wameweka sheria Wachina wasimiliki ardhi
 
Watu wengi huamini China maisha ni poa kwa kuangalia Shanghai, Hongkong, Macau, Guangzhou, Yiwu

Nenda ndani ndani huko utajua uhalisia wa maisha ulivyo mgumu, kwanza hata stendi ni vumbi
Ni kama vile tunavyoiona New York kwa TV na mitandaoni ila tembelea humo mitaani kama Bronx, Brooklyn, Wall Street au Broadway uone masikini na homelessness ilivyoshamiri watu wanalala kwenye maboksi na wanasubiri chakula cha bure
 
Labda nikuulize swali: Kwa nini Wachina wanakuja kufanya biashara hapa Tanzania, kwamba Tanzania ni bingwa duniani

Wachina ni watu wa fursa popote wanaingia kutengeneza pesa wanapiga hela hapo Marekani mpaka wenyeji wameanza kuwaonea wivu.

Baadhi ya majimbo wameweka sheria Wachina wasimiliki ardhi

Wachina wanakuja Bongo maana kwao huko hali mbaya, lini umekuta Wamarekani wamerundikana kwenye nyumba moja hapo Bongo, Wachina wengi wanaona radhi waje kutesekea kwenye shitholes za Kiafrika kuliko mateso wanayopitia kwao.
Mmarekani hata ukiskia maskini sio umaskini wa Kitandale, unakuta mtu anaishi kwenye gari lake anajiita homeless.
Waombaji wengi kwenye street ni wale wameshindikana kwenye madawa au matatizo mengine ya kujitakia.
 
Watu wengi huamini China maisha ni poa kwa kuangalia Shanghai, Hongkong, Macau, Guangzhou, Yiwu

Nenda ndani ndani huko utajua uhalisia wa maisha ulivyo mgumu, kwanza hata stendi ni vumbi
Na wao ni wajanja, huwa hawaoneshi jinsi Buguruni ya China ilivyo mbovu.
 
Back
Top Bottom