Gulio Tanzania
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,325
- 7,807
suluhisho kwa ajira kivipi wakati ajira za huko ni mateso matupu, mazingira ya kazi ni hatarishiKama ulivosema viwanda vidogovidogo ni suluhisho kwa Ajira na hapo ilitakiwa kujifunza Pakistan, India , Iran, china hiyo, vitu kama sufuria , majiko ya gesi, rim za magari, koleo , majembe, ndala za kuongea, magodoro , na vingine vingi ambavyo ukiwa na mil 50 unaanza kwa ukubwa, zaidi utakwamishwa na TBS kupata vibali utahitaji uwahonge pesa hadi wachoke wao , hizi mamlaka mara taasisi zinakwamisha mambo mengi Sana kwa wajasiriamali wa ndani
Hatuwezi kwakuwa siasa ninyi mnoKwa dunia ya sasa haina haja ya kusubiri aje mwekezaji mkubwa kutoka nje ya nchi aje atuletee maendeleo tutabaki kuwa watumwa katika nchi yetu kila muwekezaji anakuja kwa lengo la kuchuma nazani Mimi kwa mtazamo wangu naona wakutukomboa ni sisi wenyewe tunapaswa tuongeze jitihada mahali flani tukiamua tuwekeze kwenye viwanda vidogo vidogo tutapunguza hiyo kasi ya uagizaji wa bidhaa kutoka nje bidhaa kama stick,viberiti,sendol nk hata sisi mbona tunaweza kwa kuanza na viwanda vidogo vidogo Nini kinachotukwamisha
Kichwa chako cheupeee kichwaniKabisa mkuu waelimishe hawa viongozi wetu.
Godbless Lema alichemka alishanunua hadi mashine lakini kama kawaoda yake maneno mengi vitendo zero hizo mashine zitakuwa zilishapata kutuNatafuta mtu tufanye partnership tufungue kiwanda cha kutengeneza toothpick. Ninazo ABCD ninazozifahamu katika hiyo bidhaa.
Mwanzoni nilitaka kufanya na mchina flan bahati mbaya akapata ajali. Karibu kwa aliye tayari.
Tengeneza wewe upige pesa unamkodolea macho nani?Juzi nilifungua sabufa yangu nimeangalia ilivyoundwa na gharama ambayo nilinunua nimeona hawa wachina wanapata Sana hela.
Sisi tumezubaa Sana karibu kila sehemu .
Hizi bufa tunashindwa vipi kuzitengeneza hapa hapa kwetu!?
Aisee ukiona kitu ni bei rahisi mpaka unashtuka ujue kuna binadamu wameteswa kukitengenezaJuzi nilifungua sabufa yangu nimeangalia ilivyoundwa na gharama ambayo nilinunua nimeona hawa wachina wanapata Sana hela.
Sisi tumezubaa Sana karibu kila sehemu .
Hizi bufa tunashindwa vipi kuzitengeneza hapa hapa kwetu!?
Tengeneza wewe upige pesa unamkodolea macho nani?
Umeona hiyo fursa wewe ichukue ifanyie kazi
Aisee ukiona kitu ni bei rahisi mpaka unashtuka ujue kuna binadamu wameteswa kukitengeneza
Mkuu kuna vitu hata sisi tunaweza fanya.Kwa dunia ya sasa haina haja ya kusubiri aje mwekezaji mkubwa kutoka nje ya nchi aje atuletee maendeleo tutabaki kuwa watumwa katika nchi yetu kila muwekezaji anakuja kwa lengo la kuchuma nazani Mimi kwa mtazamo wangu naona wakutukomboa ni sisi wenyewe tunapaswa tuongeze jitihada mahali flani tukiamua tuwekeze kwenye viwanda vidogo vidogo tutapunguza hiyo kasi ya uagizaji wa bidhaa kutoka nje bidhaa kama stick,viberiti,sendol nk hata sisi mbona tunaweza kwa kuanza na viwanda vidogo vidogo Nini kinachotukwamisha
Sawa, material zinatumika.Ni kwamba bei zipo juu ukilinganisha na material zilizotumika.
Hatuwezi chochote zaidi ya wizi, uongo na sifa zote mbaya.Kwa dunia ya sasa haina haja ya kusubiri aje mwekezaji mkubwa kutoka nje ya nchi aje atuletee maendeleo tutabaki kuwa watumwa katika nchi yetu kila muwekezaji anakuja kwa lengo la kuchuma nazani Mimi kwa mtazamo wangu naona wakutukomboa ni sisi wenyewe tunapaswa tuongeze jitihada mahali flani tukiamua tuwekeze kwenye viwanda vidogo vidogo tutapunguza hiyo kasi ya uagizaji wa bidhaa kutoka nje bidhaa kama stick,viberiti,sendol nk hata sisi mbona tunaweza kwa kuanza na viwanda vidogo vidogo Nini kinachotukwamisha