Wachina na wahindi wamefanikiwa sana katika kuanzisha viwanda vidogo vidogo hata sisi naamini tunaweza

Wachina na wahindi wamefanikiwa sana katika kuanzisha viwanda vidogo vidogo hata sisi naamini tunaweza

Dogo fulani alianzisha kiwanda cha sabuni akiwa form one , kama utani kikabamba sana kwa vile aliachiwa ujuzi na mhindi mmoja aliyehama nchi ...Sasa jamaa akapata pesa ile form 3 akaacha shule ,mpaka kufika mwaka alitoakiwa aingiea form 4 alikuwa na kiwanja na nyumba ishaanza .

Sasa sijui ushamba ni hawa vijana wnaopenda kusifia nchi kama USA na south. jinga likachukua mtaji wote likakimbia south Africa , linatupostia mapicha limeajiriwa kweny supermarket huko .


Ninavyokuambia alirudishwa mwaka 2016-2017 akiwa teja hapa bongo , hana anachojua jua anakaa kwao maana alishamjengea kidogo mother wake ..kiwanda wanakula watu wengine kabaki kujisifia eti mwanzilishi.
 
Hatuwezi chochote zaidi ya wizi, uongo na sifa zote mbaya.

Sido ilianzishwa na Nyerere kwa kusudio hilohilo, imefanya nini cha kujivunia miaka yote hii?
Kweli malengo ya sido kwa sasa hayaeleweki imebakia kama maghofu labda wataonekana kwenye maonesho baada ya hapo hawasikiki tena , sido na veta ilitakiwa wafanye kazi pamoja tungekua mbali sana ,
 
Kama ulivosema viwanda vidogovidogo ni suluhisho kwa Ajira na hapo ilitakiwa kujifunza Pakistan, India , Iran, china hiyo, vitu kama sufuria , majiko ya gesi, rim za magari, koleo , majembe, ndala za kuongea, magodoro , na vingine vingi ambavyo ukiwa na mil 50 unaanza kwa ukubwa, zaidi utakwamishwa na TBS kupata vibali utahitaji uwahonge pesa hadi wachoke wao , hizi mamlaka mara taasisi zinakwamisha mambo mengi Sana kwa wajasiriamali wa ndani
Hapa naiona fursa ya kuanzisha vituo binafsi vya viwango na ubora nje ya TBS. Bila hivyo TBS wataendelea kudhulumu watu.
 
Ukweli hauwezi kuushika uchumi kama haufanyi production ya kitu chochote, ndio maana mataifa ya viwanda yanakimbiza Sana kiuchumi
Ni kweli kabisaa
Ila vipi north korea iv wanaviwanda na wale?
 
Haiwezekani mpaka pale serikali itakapokuwa tayari kuwekeza kwenye uzalishaji wa chuma. Huyo ndiyo mama wa viwanda. Vingine vinavyosaidia viwanda ni uzalishaji wa plastiki, ngozi, vioo, copper na kemikali. Huwezi ukaanzisha kiwanda halafu unaagiza nuts.
 
Dogo fulani alianzisha kiwanda cha sabuni akiwa form one , kama utani kikabamba sana kwa vile aliachiwa ujuzi na mhindi mmoja aliyehama nchi ...Sasa jamaa akapata pesa ile form 3 akaacha shule ,mpaka kufika mwaka alitoakiwa aingiea form 4 alikuwa na kiwanja na nyumba ishaanza .

Sasa sijui ushamba ni hawa vijana wnaopenda kusifia nchi kama USA na south. jinga likachukua mtaji wote likakimbia south Africa , linatupostia mapicha limeajiriwa kweny supermarket huko .


Ninavyokuambia alirudishwa mwaka 2016-2017 akiwa teja hapa bongo , hana anachojua jua anakaa kwao maana alishamjengea kidogo mother wake ..kiwanda wanakula watu wengine kabaki kujisifia eti mwanzilishi.
Duu au pesa zilianza kumuendesha
 
Hapa tumechengana mkuu
yaani, kwenye gharama za kutengeneza bidhaa, gharama ya wafanyakazi(waajiriwa) si mojawapo?

sasa nimegundua(yawezekana isiwe mara zote) bidhaa ambazo ni nafuu sana zinatokana na unyonyaji wa watu

mbona kuna uzi humu nimesoma kwenye viwanda vya bakhresa, vibarua wanalipwa tsh 15 kwa kunyanyua gunia moja? na hata wenye blue collar jobs hawalipwi vizuri

naona kwenye huu uzi watu hawaliibui/hawalikubali jambo hili
 
yaani, kwe gharama za kutengeneza bidhaa, gharama ya wafanyakazi(waajiriwa) si mojawapo?

sasa nimegundua(yawezekana isiwe mara zote) bidhaa ambazo ni nafuu sana zinatokana na unyonyaji wa watu

mbona kuna uzi humu nimesoma kwenye viwanda vya bakhresa, vibarua wanalipwa tsh 15 kwa kunyanyua gunia moja? na hata wenye blue collar jobs hawalipwi vizuri

naona kwenye huu uzi watu hawaliibui/hawalikubali jambo hili

Vibarua wa bakhressa wanalipwa wastani wa elfu 2-6

Kuhusu watu kunyonywa pale ni 90%

Mimi nilijaribu kuangalia swala la serikali kujaribu kuwekeza katika zile bidhaa ambazo tunaweza kutengeneza mfano kutengeneza BUFA materials zote ni rahisi Ila gharama ya bufa ipo juu Sana.


Ndicho nilichomaanisha wala sikulenga kuangailia rasilimali watu Kama mshahara n.k maana viwanda vya Tz degree holder wa udsm mwenye Hon degree analipwa 500k-600k.

Na kibarua wa kila siku ni 3-6 hao ni wahindi serikali nadhani hili swala huwa wanaona haliwahusu
 
Kwa dunia ya sasa haina haja ya kusubiri aje mwekezaji mkubwa kutoka nje ya nchi aje atuletee maendeleo tutabaki kuwa watumwa katika nchi yetu kila muwekezaji anakuja kwa lengo la kuchuma nazani Mimi kwa mtazamo wangu naona wakutukomboa ni sisi wenyewe tunapaswa tuongeze jitihada mahali flani tukiamua tuwekeze kwenye viwanda vidogo vidogo tutapunguza hiyo kasi ya uagizaji wa bidhaa kutoka nje bidhaa kama stick,viberiti,sendol nk hata sisi mbona tunaweza kwa kuanza na viwanda vidogo vidogo Nini kinachotukwamisha
Ukitaka kujua tulivyo ingia reels page za facebook utaona tofauti ilivyo kubwa kati ya watanzania na hao wachina na wahindi, wakati wao wako busy na innovations sisi tunazungumzia kutoshelezana kimahaba
 
Kwa dunia ya sasa haina haja ya kusubiri aje mwekezaji mkubwa kutoka nje ya nchi aje atuletee maendeleo tutabaki kuwa watumwa katika nchi yetu kila muwekezaji anakuja kwa lengo la kuchuma nazani Mimi kwa mtazamo wangu naona wakutukomboa ni sisi wenyewe tunapaswa tuongeze jitihada mahali flani tukiamua tuwekeze kwenye viwanda vidogo vidogo tutapunguza hiyo kasi ya uagizaji wa bidhaa kutoka nje bidhaa kama stick,viberiti,sendol nk hata sisi mbona tunaweza kwa kuanza na viwanda vidogo vidogo Nini kinachotukwamisha
Tuoneshe kiwanda chako kidogo
 
Back
Top Bottom