Wachina na wahindi wamefanikiwa sana katika kuanzisha viwanda vidogo vidogo hata sisi naamini tunaweza

Wachina na wahindi wamefanikiwa sana katika kuanzisha viwanda vidogo vidogo hata sisi naamini tunaweza

Kweli malengo ya sido kwa sasa hayaeleweki imebakia kama maghofu labda wataonekana kwenye maonesho baada ya hapo hawasikiki tena , sido na veta ilitakiwa wafanye kazi pamoja tungekua mbali sana ,
SIDO wanafanya vitu vizuri sana na vimesaidia wengi. Mashine za kusaga, kukoboa, vipuri vya machine, machine za kukamua mafuta? Assets nk vimetengenezwa na SIDO, shida wabongo malimbukeni wanaona bora wanunue bidhaa ya mchina waache ya SIDO. Tembelea NANE8 na SABASABA ujionee maFanikio ya SIDO.
SIDO wanatoa msaada kwa wajasiliamali wanaosindika bidhaa mbali mbali.
Leo peanut butter ya SIDO imejaa madukani. Shida yenu hamuendi kwenye maonyesho ya SIDO .
Kazi kuponda tu, huyo Faiza ni bingwa wa kiponda black movement and achievements. Ila watakao leta mapinduzi barani Africa ni waafrika wachache wala si kundi kubwa la waafrika ambao ni watumwa wa kifikra.
 
Uwekezaji wa kiwanda hauwezi kufanikiwa kwa kijana wa form one ambaye elimu yake tu inamzuia biashara hizi zinahitaji mtu ambaye at least kuanzia msomi wa diploma mpaka bachelor ambaye anakuwa na mpango wa biashara Yani Business plan ni namna gani biashara utaweza kuiendesha kama mtu anakuwa na mpango mzuri wa biashara kwa nchi yetu ni rahisi sana kupata faida kubwa sana
Dogo fulani alianzisha kiwanda cha sabuni akiwa form one , kama utani kikabamba sana kwa vile aliachiwa ujuzi na mhindi mmoja aliyehama nchi ...Sasa jamaa akapata pesa ile form 3 akaacha shule ,mpaka kufika mwaka alitoakiwa aingiea form 4 alikuwa na kiwanja na nyumba ishaanza .

Sasa sijui ushamba ni hawa vijana wnaopenda kusifia nchi kama USA na south. jinga likachukua mtaji wote likakimbia south Africa , linatupostia mapicha limeajiriwa kweny supermarket huko .


Ninavyokuambia alirudishwa mwaka 2016-2017 akiwa teja hapa bongo , hana anachojua jua anakaa kwao maana alishamjengea kidogo mother wake ..kiwanda wanakula watu wengine kabaki kujisifia eti mwanzilishi.
 
SIDO wanafanya vitu vizuri sana na vimesaidia wengi. Mashine za kusaga, kukoboa, vipuri vya machine, machine za kukamua mafuta? Assets nk vimetengenezwa na SIDO, shida wabongo malimbukeni wanaona bora wanunue bidhaa ya mchina waache ya SIDO. Tembelea NANE8 na SABASABA ujionee maFanikio ya SIDO.
SIDO wanatoa msaada kwa wajasiliamali wanaosindika bidhaa mbali mbali.
Leo peanut butter ya SIDO imejaa madukani. Shida yenu hamuendi kwenye maonyesho ya SIDO .
Kazi kuponda tu, huyo Faiza ni bingwa wa kiponda black movement and achievements. Ila watakao leta mapinduzi barani Africa ni waafrika wachache wala si kundi kubwa la waafrika ambao ni watumwa wa kifikra.
Hongera kwa kazi nzuri nimeona vijana wengi mmewapa ujuzi wanatengeneza hadi wine nzuri nazani mngekuwa mna taarifa zote za watu mnaowapa ujuzi huo ili mjue mmefanikiwa kwa kiwango gani
 
Kichwa chako cheupeee kichwani
China na India wenye viwanda vidogo ni watu binafsi sio serikali wala viongozi wa serikali

Hata wewe ukitaka fungua hakuna wa kukuzuia

U asubuhi kiongozi wa serikali aje akugongee mlango nyumbani kwako kuwa ufungue kiwanda?
Umemuelewa vibaya kwa maana anachozungumzia hapo ni sera kutoka kwa hao viongozi zisiwe kwamishi. Urasim ni mkubwa sana kwenye maofisi na vibali kibao vinatakiwa na wanakuja separate anza na osha, njoo nemc endelea na halmashauri hapo brela na watu wengine lkn kama wakiweka mazingira wezeshi kwa watu wote na kujenga uelewa kwa watu na watu kuona inawezekana.
 
Hongera kwa kazi nzuri nimeona vijana wengi mmewapa ujuzi wanatengeneza hadi wine nzuri nazani mngekuwa mna taarifa zote za watu mnaowapa ujuzi huo ili mjue mmefanikiwa kwa kiwango gani
Mimi sio member wa SIDO ila nimetembelea maonesho mengi na kujionea kazi zao. Walau wana kitu tofauti na watu wanavyowabeza
Kuna majiko niliyaona mwaka jana aisee mazuri sana
 
Back
Top Bottom