Buguruni iko Kenya au Hong Kong?Chupa tupu za K-Vant zimepangwa nje ya nyumba.
Mzigo wa Moet & Chandon umepigwa picha ndani ya karakana.
Wachina wawili wamepigwa picha pekee yao.
Kwa ufupi, hakuna kiashiria chochote kuwa hapo ni Tanzania.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Buguruni iko Kenya au Hong Kong?Chupa tupu za K-Vant zimepangwa nje ya nyumba.
Mzigo wa Moet & Chandon umepigwa picha ndani ya karakana.
Wachina wawili wamepigwa picha pekee yao.
Kwa ufupi, hakuna kiashiria chochote kuwa hapo ni Tanzania.
Aisee!Kama tukinywa tunalewa sisi wanywaji tumeridhia.
Zambia wapo kweli wa kutoshaHawa jamaa ni wahuni sana. Sipati picha nchi walikojaa kama Angola na Zambia hali ikoje?
Na blacks anavyobabaikia ngozi ya nguruwe .kafanye huo ujinga kwao uoneBasi utasikia wameshtakiwa,na kulipa faini wanarudi kitaani..hawa ni wauaji ni kuwafukuza kabisa nchini.
Kodi wanakusanya wao. Huoni sticker za TRA hapo?Tatizo hapo ni kodi hawalipi kunywa kinaweze kuwa vizuri tu
Wazee wa kugandamizia.. Mmarekani anamgwaya kwenye hiyo fani[emoji23]
Basi itakuwa walizidisha thinner na hawakuwa na paint ya kutestia.Kuna wakati nikinywa kvant nakata network kabisa naweza kustuka usiku na kujiuliza nilifikaje home. Inawezekana ni za Hawa jamaa
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Kuna kitu kipya kinaitwa Crown100 vodka. Jaribu kiongoziHawa watu tukiwaendekeza watatuua! Juzi kuna dada kasimulia jinsi alivyoendesha baada ya kunywa K Vant fake hana hamu tena na K vant yoyote. Hawa wajinga wataharibu afya za watu na biashara ya K vant halisi maana watu watazikwepa.
Kuna Crown100 vodka imekaa vizuri ,haina harufu na itachukua muda kufeki.Hawa watu tukiwaendekeza watatuua! Juzi kuna dada kasimulia jinsi alivyoendesha baada ya kunywa K Vant fake hana hamu tena na K vant yoyote. Hawa wajinga wataharibu afya za watu na biashara ya K vant halisi maana watu watazikwepa.
Vinywaji feki Dar ni vingi sana.wakali wa hizi kazi...macho madogo
Picha 4 hazina uhusiano wowote,sijui kama hii habari ina ukweli,ingawa imeshazagaa kila kona...Kama ni mla K Vant na Moet, basi hii ni kwa ajili yako. Yasemekana hao mabwana kutoka Asia ya Mashariki wamekamatwa jijini Dar wakiwa kwenye ‘karakana’ yao la kufyatua vinywaji hivi murua.
Hivi huwa wanapataje vifungashio visivyotia shaka?
Kwa uchafu wa hayo madumu, huenda yanahifadhia molasses. Na kama ndivyo, ningependezwa kuona mtambo wao na mchakato wa kukopi ladha na harufu za hivi vinywaji. Bado nabaki na maswali kedekede.
Nimestushwa zaidi na hiyo paint roller na rangi kwenye beseni, sijui vina kazi gani Mungu wangu!
View attachment 1899801View attachment 1899802View attachment 1899805View attachment 1899809
Kiukweli unasononesha.Chupa tupu za K-Vant zimepangwa nje ya nyumba.
Mzigo wa Moet & Chandon umepigwa picha ndani ya karakana.
Wachina wawili wamepigwa picha pekee yao.
Kwa ufupi, hakuna kiashiria chochote kuwa hapo ni Tanzania.
Na wale wa Lumumba ni kama nani Taliban au??Wachina ni kama chadema tu kwa ujanja ujanja usio na tija.
wagonga k vant ya buguruni af asubuhi supu ya utumbo..yani ni balaa juu ya balaaNdo maana wala vant hawaishi kufanya vioja vya ajabu!!!