Wachina wakamatwa wakizalisha vinywaji feki Dar?

Wachina wakamatwa wakizalisha vinywaji feki Dar?

Niliacha k vant kitambo ukinywa mara koo liwe kavu, mara tumbo, mara hang over za ajabu ajabu maranikate moto kumbukumbu zipotee nikaona isiwe tabu niko kwenye nyagi sema kuna wachina wengine hapa bongo wachaga nao wa copy sana
 
Wazee wa kugandamizia.. Mmarekani anamgwaya kwenye hiyo fani[emoji23]

Hawa watu mwana hatari sana...nakumbuka enzi hizo uchinani, wamelisha sana maustaadh kitimoto...

Yaani ile nyama wana isugar coat, inaitwa "tang cu li ji", sasa ukiwa mroho mroho wa misosi, unajipata unaigonga kila siku na ubwabwa wao ule wa vibakuli

DMTTQjeUMAE3kLv
 
Hawa watu tukiwaendekeza watatuua! Juzi kuna dada kasimulia jinsi alivyoendesha baada ya kunywa K Vant fake hana hamu tena na K vant yoyote. Hawa wajinga wataharibu afya za watu na biashara ya K vant halisi maana watu watazikwepa.
Kuna kitu kipya kinaitwa Crown100 vodka. Jaribu kiongozi
Hawa watu tukiwaendekeza watatuua! Juzi kuna dada kasimulia jinsi alivyoendesha baada ya kunywa K Vant fake hana hamu tena na K vant yoyote. Hawa wajinga wataharibu afya za watu na biashara ya K vant halisi maana watu watazikwepa.
Kuna Crown100 vodka imekaa vizuri ,haina harufu na itachukua muda kufeki.
 
Kama ni mla K Vant na Moet, basi hii ni kwa ajili yako. Yasemekana hao mabwana kutoka Asia ya Mashariki wamekamatwa jijini Dar wakiwa kwenye ‘karakana’ yao la kufyatua vinywaji hivi murua.

Hivi huwa wanapataje vifungashio visivyotia shaka?

Kwa uchafu wa hayo madumu, huenda yanahifadhia molasses. Na kama ndivyo, ningependezwa kuona mtambo wao na mchakato wa kukopi ladha na harufu za hivi vinywaji. Bado nabaki na maswali kedekede.

Nimestushwa zaidi na hiyo paint roller na rangi kwenye beseni, sijui vina kazi gani Mungu wangu!

View attachment 1899801View attachment 1899802View attachment 1899805View attachment 1899809
Picha 4 hazina uhusiano wowote,sijui kama hii habari ina ukweli,ingawa imeshazagaa kila kona...
 
Chupa tupu za K-Vant zimepangwa nje ya nyumba.

Mzigo wa Moet & Chandon umepigwa picha ndani ya karakana.

Wachina wawili wamepigwa picha pekee yao.

Kwa ufupi, hakuna kiashiria chochote kuwa hapo ni Tanzania.
Kiukweli unasononesha.
 
Back
Top Bottom